macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,846
- 39,708
Jamaa ana mashine latest ! State of the art ! Kama unataka Study Tour naweza kukufanyia taratibu uvitembelee !
Wewe akili zako ni kama za ngedere. Hata kama huyo Azam ni ndugu yako (japokuwa najua unamtetea kwa kuwa ni mwiislam) ungapaswa kufanya uchunguzi kwanza. Hizi juice nimeshasikia malalamiko kutoka kwa watumiaji wengine. Sasa ulivyo mjinga umekomaa na ubishi kwa vitu ambavyo hata hutakiwi kubisha. Basi undelea kubisha kama unafikiri utamsaidia.