TAHADHARI: Kwa watumiaji wa juice za AZAM

THE GEEK

Member
Dec 10, 2010
90
32
Habari Watanzania na Wasio Watanzania,

Jana nilinunua juice ya Azam ya "tropical mix" ya TZS. 2500,
Nilipofika home nikamimina kwenye glass ili ninywe, nikapiga funda la kwanza nikastuka kidogo, nikapiga la pili nikakutana na radha ambayo ni ya ajabu ajabu sana yani kama uozo ulochanganyika na mafuta ya taa, nikataka nimrudishie mwenye duka ila nikaona niachane naye, nikaenda kuitupa niki-assume labda mwenye duka aliiangushia mafuta ya taa.

Leo tena nikaamua kununua juice ya AZAM sehemu ya mbali kabisa na niliponunulia jana, this time nikanunua juice aina ya "APPLE", basi mida ya usiku hivi baada ya msoc nikaamua nichukue glass moja niipige, nimefika nusu kabla haijaisha nikaiwa nimeiweka ile glass kwenye meza ambapo inapigwa na mwanga direct ndani, OMG... nimeona mauchafu uchafu kibao aisee kwenye glass, nikaanza kujiuliza au glass ni chafu??? Ikabidi nichukue glass kubwa halafu nimimine ile ile iliyopo kwenye box niione nayo, daaaaaaahhhh, aisee ni mauchafu kibao yan.

Hapa nilipo hadi nahisi nishaanza kuumwa, nimeamua kuiweka hapa ili iwe ushahidi nikiumwa walau nikashtaki. (Mungu Aniponye kwa kweli).

Nawashauri wapenzi wa hizi juice kabla hujaibugia uwe unapenda kuangalia ikoje kwanza maana waweza dhurika kwa kweli.

N.B

Sijaweka bandiko hili ili kuvuruga biashara ya AZAM, nop, ninawatahadharisha wenzangu na nilichokiandika ni ukweli mtupu.
 
shukrani kwa taarifa,ingawa mashtaka yako itakuwa ngumu kwako kushinda kesi kutokana na mazingira yalivyo maana juice umeifungulia kwako,huo uchafu umeuona peke yako,watakuruka mita mia kama ujuavyo wafanyabiashara wanasema kitu kikifika nyumbani hawana imani nacho sababu waweza kuta ww ndo umefanya huo uchafuzi halafu unawatupia shutuma.
 
shukrani kwa taarifa,ingawa mashtaka yako itakuwa ngumu kwako kushinda kesi kutokana na mazingira yalivyo maana juice umeifungulia kwako,huo uchafu umeuona peke yako,watakuruka mita mia kama ujuavyo wafanyabiashara wanasema kitu kikifika nyumbani hawana imani nacho sababu waweza kuta ww ndo umefanya huo uchafuzi halafu unawatupia shutuma.

Thanks cwryy!!
 
Hii ni kweli kabisa!! imenitisha sana nimezipiga marufuku ndani!

Kibaya zaidi my CEO last week nae ilitokea kwake nae akazipiga marufuku!

Watoto wanazipenda sana lakini nadhani umakini wa Azam umepungua.
 
Kamanda Mnyika anahamasisha tujitokeze kwa wingi kwenye maandamano yA Kupinga T 2012 ZERO KAMA NDUGU JAMAA NA MDAU unakaribishwa!
 
shukrani kwa taarifa,ingawa mashtaka yako itakuwa ngumu kwako kushinda kesi kutokana na mazingira yalivyo maana juice umeifungulia kwako,huo uchafu umeuona peke yako,watakuruka mita mia kama ujuavyo wafanyabiashara wanasema kitu kikifika nyumbani hawana imani nacho sababu waweza kuta ww ndo umefanya huo uchafuzi halafu unawatupia shutuma.
Unachosema ni kweli lakini bado ushahidi utapatikana tu unless box alilonunua liwe one of the 'isolated cases'. Nina hakika suala analozungumzia ni la kawaida kwa sasa ktk juice hizo za azam. Nadhani ni muda mwafaka tuihamasishe TFDA ifanye kazi ya kukagua bora wa hizi juice zilizoko madukani. Wamesema hazina preservatives(which gives them credit coz preservatives are chemicals and may be harmful). My worry ni kwamba shelf life ya hizi juice ni ndogo kuliko muda zinaokaa kwenye shelves madukani, hivyo huharibikia madukani, that's one. Vile vile zinaweza kuwa zinatoka huko kiwandani na mauchafu hayo...whatever the case, bado ni hatari kwa afya zetu. Bora tutengeneze zetu kwa ajili ya matumizi yetu na familia zetu.

Hata hivyo si kila mtu na kila wakati tutaweza kufanya hivyo, kuna mazingira tunajikuta tunahitaji kununua 'ready-made'. Mfanyabiashara anayo obligation ya kuweka sokoni bidhaa salama kwa kila mtu, vinginevyo atakuwa anavunja sheria na kanuni za nchi na anatkiwa kushtakiwa na kuadhibiwa.
 
Kuna nini umeficha kifuani kwako !? Funguka ndugu katika Adam tukusoma, maana issue yako sio juice !
 
Hii ni kweli kabisa!! imenitisha sana nimezipiga marufuku ndani!

Kibaya zaidi my CEO last week nae ilitokea kwake nae akazipiga marufuku!

Watoto wanazipenda sana lakini nadhani umakini wa Azam umepungua.

Naona umekazia point na CEO wako !
 
Aise bac azam kuna tatizo hapa mtoni mtongani kuna mtoto wa shule ya msingi kama miaka 6hv amefariki kwa kunywa juice ya azama zile nyeusi ndani,alilia asubuhi akapewa hela kaenda nunua, gafla akaanza kulia tukaona ni tatizo kufika muhimbili akawa hoisana akafariki,tukarudi nyumbani tukachukua juice walivyoipima wakasema ina kemikali hatari kwa afya,ndio imemuua,nikasema nitakwepa bidhaa zote za azam,c juice wala maji ctaki tena,KUWENI MAKINI.
 
Duh kweli ww huna akili si uipeleke kwa TFDA basi ama ndo wale wale

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Mkuu kwenye issue kama hizi ni vema ukiambatanisha na picha maana ukileta bla bla kama hizo tunahisi kwamba lengo lako ni kuvuruga biashara ya SSB,mie ni mtumiaji mzuri sana wa bidhaa zake sijawahi ona kosa au hayo mambo,weka picha tuone hayo mauchafu....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom