gwaitolo
Member
- Nov 22, 2010
- 29
- 15
Kuna uwezekano kuwa hivo, lakini pia wapinzani wake kibiashara wanaweza ingiza hujuma ndani ya makampuni ya Azam.
Kama kuna mfanyakazi wa azam anasoma thread hii ni vizuri afanyie kazi na siyo kupinga tu. Mimi mwenyewe nilikuwa na mke wangu nilinunua EMBE Juice kumbe zote zimeoza, sikujali maana najua admin ya kiswahili, kuna uwezekano haikuwa na preservatives sahihi, sasa ikienea sana ataingia hasara kubwa maana watu tumejenga imani kiasi fulani na bidhaa za huyu jamaa na pia nadhani ni uzalendo TANZANIAN buy TANZANIAN but not to the expense of my life
Biashara ni upinzani.
Kama kuna mfanyakazi wa azam anasoma thread hii ni vizuri afanyie kazi na siyo kupinga tu. Mimi mwenyewe nilikuwa na mke wangu nilinunua EMBE Juice kumbe zote zimeoza, sikujali maana najua admin ya kiswahili, kuna uwezekano haikuwa na preservatives sahihi, sasa ikienea sana ataingia hasara kubwa maana watu tumejenga imani kiasi fulani na bidhaa za huyu jamaa na pia nadhani ni uzalendo TANZANIAN buy TANZANIAN but not to the expense of my life
Biashara ni upinzani.