King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 62,948
- 95,330
Wanini kuchukua watoto wa Form II B wakati Makonki wapo kitaa kibao wametega MINGO? Miaka 30 ipo nafahamu kama watu wawili walichezea Mvua 30 kama masikhara kwa kutembea na vitoto vya shule!!! Naipongeza sana serikali kwa kuweka sheria hizo kali kwa mabazazi,naona waongeze ziwe nyundo aka mvua 50.