Amante
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 232
- 221
KaribuShukrani Mkuu🙏🏽👍🏽
KaribuShukrani Mkuu🙏🏽👍🏽
Bora umekataa, jela siyo pazuriMambo yenye ndo kama hayo ananiomba mapenzi na mambo mengi kuweka hapa ni aibuView attachment 1123311
Lupango si wanahesabu siku kwa 12 hours ama ilishabadilishwa??
Ngoja wasome kwanza wamalize shuleBora umekataa, jela siyo pazuri
Huyu ulikutana nae wapi boss ? DaahHawa watoto acha tuu. Wananipenda sijui wanaanzia wapi. Ninao kama watatu hivi.Ngoja wasome kwanza wamalize shuleView attachment 1123317View attachment 1123318View attachment 1123319View attachment 1123320
Anatoka na mkongojo kabisaAkili mkichwa miaka 30 lupango ikitokea 2020 hutoki hadi 2050 kama ukiwa hai.
Mkuu hio si dalili nzuri kabisa 😀Hawa watoto acha tuu. Wananipenda sijui wanaanzia wapi. Ninao kama watatu hivi.Ngoja wasome kwanza wamalize shuleView attachment 1123317View attachment 1123318View attachment 1123319View attachment 1123320
Huyu ulikutana nae wapi boss ? Daah
Mkuu hio si dalili nzuri kabisa 😀
Kwani hizo zilizolegea zimeregezwa na nani kama si wao?Wanadai wanataka mnato [emoji23][emoji23][emoji23]🤣[emoji23]
Wanahesabu vipi na kupata wastani wa miaka hiyo?Miaka 30 ni wastan wa miaka 20 kamili
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kuna siku nimemuona yule sio mzimaNdiyo waende jela wakakutane na minato[emoji16][emoji16][emoji16]wakirudi wanatembea kama yule anajiita nabii Tito.
Naweza kua mdadisi kidogo, ila naomba kufahamu chanzo cha wewe kuwa na mazoea na hao mabintiBoss nifanyeje sasa.
Wanahesabu vipi na kupata wastani wa miaka hiyo?
Itakuwa wewe ni handsome. Mabinti wa umri huo wana shobo sana na wanaume wazuri.Nilikutana nae Kilimanjaro Int. Airport. Alinisumbua sana kwenye Ndege nikampa namba. Ndo tukafikia huko. Leo kamenipigia kananiuliza nipo Dar au Arusha, sijui kanataka nn
Naweza kua mdadisi kidogo, ila naomba kufahamu chanzo cha wewe kuwa na mazoea na hao mabinti
Hawezi kunengua vile, halafu akawa ni mzima.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kuna siku nimemuona yule sio mzima
Itakuwa wewe ni handsome. Mabinti wa umri huo wana shobo sana na wanaume wazuri.