Tahadhari kwa wana JF wote wa kiume

Tahadhari kwa wana JF wote wa kiume

Akili mkichwa miaka 30 lupango ikitokea 2020 hutoki hadi 2050 kama ukiwa hai.
Hahaha nilinusurika mwaka 2013 sema wazazi wabinti waliniurumia kwasababu kiumri nilikuwa sawa na bint yao, sitaki kukumbuka lile kasheshe
 
Ukiwa naye hutaona tatizo kwa sababu akili yako inakuwa haifanyi kazi vizuri, mwili unakua umetawaliwa na hormones,

Unaweza jiona mjanja ila ukinasika ufahamu utakurudia vizuri wakati huo tushakupoteza,

Kaa nao mbali
Kajileta mwenyewe... nataka nimwachishe shule nimpe mimba kwanza... nikashamuoa nitamsomesha hadi chuo kwa gharama zangu
 
Ze problem kitaa ni kwamba mwenye nacho huongezewa. Namaanisha kuwa mwenye dem au mke anakuwa na uwezekano kama sio abundance ya KE. Wale masingle ndio kujiunga na chama au vinginevyo
Sisi wababa wenye watoto wa kike tunasema ziwanyeshee tu.
Wanawake wengi mitaani Wana shida ya kukojolewa unaenda kuwinda watoto wa shule??
 
Hakuwa na hela tu huyo!
Kwa dunia ya sasa ni jambo la kawaida sana.
Nakazia tena, Hakuwa na hela tu.
 
Back
Top Bottom