Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,494



nasikia cobra wakiingia ndani break ya kwanza chini ya mto au ndani ya shuka,, sasa siku mmoja akiingia kwako na ukagundua kama nakuona unavyoenda kuhama nyumba..


Yaani mie naogopa nyoka hadi sio vizuri. Nikipita mahali nikakuta kauawa yaani kitu kikinigusa tu naruka na silali kwa amani siku hiyo.


