Tahadhari: Huu ni msimu wa nyoka!

Tahadhari: Huu ni msimu wa nyoka!

nasikia cobra wakiingia ndani break ya kwanza chini ya mto au ndani ya shuka,, sasa siku mmoja akiingia kwako na ukagundua kama nakuona unavyoenda kuhama nyumba..
Yaani mie naogopa nyoka hadi sio vizuri. Nikipita mahali nikakuta kauawa yaani kitu kikinigusa tu naruka na silali kwa amani siku hiyo.
 
Jana maeneo ya Singida,nilisimama nikate gogo, aisee nilikutana na nyoka mweusi mkubwa sana, yaani alikata jicho, nikajikuta narudisha boxer mahala pake gogo linarudi ndani, nikageuza taratibu, nikavumilia mpaka nilipofika dodoma ndio nikaenda kushika adabu zangu.
 
Jana maeneo ya Singida,nilisimama nikate gogo, aisee nilikutana na nyoka mweusi mkubwa sana, yaani alikata jicho, nikajikuta narudisha boxer mahala pake gogo linarudi ndani, nikageuza taratibu, nikavumilia mpaka nilipofika dodoma ndio nikaenda kushika adabu zangu.
 
Bela Ciao kumbe ndio maana nyoka wa kijani wanamwita nyoka mmbeya sababu mkiwa chini ya mti mnapiga soga yeye anawasanifu kumbe ni green mamba
Inaonekana kuna species maelfu ya nyoka duniani.Yuko mmoja anaitwa Puff Adder (kifutu) ni mfupi mno lakini mnene na sio mchokozi ila ukimkanyaga ndio anakuuma na mguu unaweza oza hadi ukatwe ninavyosikia.
**Tabora inasemekana kuna nyoka mrefu akiwa juu ya mti ukipita anarukia utosini anakugonga ni huyu koboko?
**Nyoka wapo wanawinda usiku au ni mchana tu.
**Wengi wa nyoka normally hawako aggressive hadi washokozwe au wakanyagwe.Je wapo ambao bila kuchokozwa akikuona unakuja anakusubiri au pengine kukukimbiza?
Ahsante Mshana Jr kuanzisha mada hii.
Ahsante Bela Ciao kujibu kitaalamu.
 
Bela Ciao kumbe ndio maana nyoka wa kijani wanamwita nyoka mmbeya sababu mkiwa chini ya mti mnapiga soga yeye anawasanifu kumbe ni green mamba
Inaonekana kuna species maelfu ya nyoka duniani.Yuko mmoja anaitwa Puff Adder (kifutu) ni mfupi mno lakini mnene na sio mchokozi ila ukimkanyaga ndio anakuuma na mguu unaweza oza hadi ukatwe ninavyosikia.
**Tabora inasemekana kuna nyoka mrefu akiwa juu ya mti ukipita anarukia utosini anakugonga ni huyu koboko?
**Nyoka wapo wanawinda usiku au ni mchana tu.
**Wengi wa nyoka normally hawako aggressive hadi washokozwe au wakanyagwe.Je wapo ambao bila kuchokozwa akikuona unakuja anakusubiri au pengine kukukimbiza?
Ahsante Mshana Jr kuanzisha mada hii.
Ahsante Bela Ciao kujibu kitaalamu.
 
1.Angalizo msije dhani black mamba aliitwa hivyo vile mweusi la hasha wapo black mamba wa kijani.
Waliitwa hivyo sababu ufizi wao ni mweusi sio mwekundu.
2.Ni kweli mafuta ya taa na jamii za petrol ni kero kwao sana na mafuta ya samli.Ukifanikiwa kumpaka mwilini anapata hasira mno atakutafuta kukushambulia ila ukweli baadae atakufa lazima
Mahali popote penye maoil yaliyomwagika garage au petrol station uliza wameshawahi ona nyoka?
Yaaa oil chafu inasaidia sana. Mimi hii kila mwezi naimwaga mazingira ya hom. Kuwapa karaha nyoka waone sio sehem salama ya kuishi.
 
nasikia cobra wakiingia ndani break ya kwanza chini ya mto au ndani ya shuka,, sasa siku mmoja akiingia kwako na ukagundua kama nakuona unavyoenda kuhama nyumba..
Niliwahi kuhama kwangu kwa mwezi mzima. Nilikuta kitoto cha nyoka nje ya nyumba, nikaambiwa mama yake hayuko mbali. Weeeeeh nilihama kabisa.
 
Nyoka waliowengi hawapo agressive,hivyo sio rahisi kukudhuru hasa kama hujamuona. Unaweza kaa nae ndani kila mtu akawa na mishe zake. Hata ukimuona unaweza mpisha asepe zake.

Inasemekana nyoka anauwezo wa kujua kusudio lako ( what u think to act) hata kabla hujafanya kitendo.
 
Hii pia inaweza kukusaidia kufahamu unakabiliana na nyoka wa aina gani.
20191118_190622.jpeg
 
haki nimecheka hadi nimepaliwa,, kwahiyo hao waliokuambia kuwa mama yake hayuko mbali ndiyo wakakufurugha kabisa?? Ukaona uwaachie nyumba mtu na mama yake wajinafasi vizuri

Hivi mtu akikuambia anakupa offer ya kuenda kutembelea kisiwa fulani kiko Brazil kinaitwa Snake Island yaani wanaishi nyoka tu wa kila aina dunia hii,, halafu gharama zote juu yake na anakupa hela ya ziada utakubali??
Niliwahi kuhama kwangu kwa mwezi mzima. Nilikuta kitoto cha nyoka nje ya nyumba, nikaambiwa mama yake hayuko mbali. Weeeeeh nilihama kabisa.
 
haki nimecheka hadi nimepaliwa,, kwahiyo hao waliokuambia kuwa mama yake hayuko mbali ndiyo wakakufurugha kabisa?? Ukaona uwaachie nyumba mtu na mama yake wajinafasi vizuri

Hivi mtu akikuambia anakupa offer ya kuenda kutembelea kisiwa fulani kiko Brazil kinaitwa Snake Island yaani wanaishi nyoka tu wa kila aina dunia hii,, halafu gharama zote juu yake na anakupa hela ya ziada utakubali??
Huko mbali hivyo hapo snake park Arusha tu sikanyagi hata kwa milioni.


Sasa wewe unaambiwa mama yake hayuko mbali unafikiri masikhara hayo? Nikaona huu mfurugano sitouweza, wabakie tu na nyumba yao.

Yote tisa sasa, kuna siku tai ilidondokea uvunguni, ike kuinama nisafishe uvunguni nikaona kitu kimejikunja. Haki sio kwa mbio zile, nikaisusa nyumba wiki. Walipokuja kuangalia wakakuta ni tai eti
 
Back
Top Bottom