Mimi huku nikienda nakufa kabla ya kuumwa na hao nyoka![]()
Huyu apaMe nilikuta kitoto cha nyoka ndani bafuni hio inaashiria nini? Yaan kuna mama yao ndani?!
MzimaMzima au aliyekufa?




Siyo nyoka wote wa kijani ni mamba,wale wanaokaa sehemu za mito wana kijani iliokolea siyo green mamba,halafu huna haja ya kuogopa Sana nyoka uwapo nyumbani sababu mojawapo ni kwamba nyoka akiwa kwenye sehemu yenye tiles speed yake inapungua kwa 90%,halafu nyoka wakali kama familia ya mamba(hongera) hawapendi bugudha za wanadamu,hapa unielewe kwamba jinsi makazi ya binadamu yanavyozidi kusogea katika pori nao wanazidi kuhama,halafu unaweza kuishi maeneo yenye nyoka Hawa iakuchukua miaka kuweza kuwaona sababu hata unapopita njiani anasikia kishindo cha binadamu halafu anaondoka,ukiona amefikia hatua ya kushambulia ujue ameshtukizwa,ila kwa bahati mbaya kama utakutananae uso kuwa uso ana asilimia kubwa za kukung'ata kutokana na spidi yake ya kushambulia.kUNA NYOKA MWINGINE HATARI wengi hawamjui. Ni kama mwoga ila ukimchokoza ndio asili yake hujionyesha. Green Mamba ni yule nyoka wa kijani. Sifa zake ni kama Black Mamba. Ila Wengi humuita nyoka wa kijani. Ni mpole na kama mwoga vile mana unaweza mkaribia yeye akakukimbia. Ila ukimfuatilia zaidi au akajua unataka kumdhuru ndio dhoruba yake huanzia hapo. Tabia yake inakuwa kama Black mamba.
Nishaua kama hawa wawili mwaka huu tayari, wanapenda kuingia pahala pana mitungi ya Maji, kwenye corner. Mmoja nilimpata amejiingiza bafuni, uzuri kuna tiles, si alichezea kichapo wewe 🤣 mm mwoga wa nyoka lakini nimuone karibu na home, nitamtafuta juu chini, vuruga kila sehemu, bora nimkamate, ale kichapo cha kufa mtu alafu nimwagie vidonda vyake Acid, hehe... Torture ka yote 🤣Nilimkuta gheto... Mama ake na msaka vibaya mno. View attachment 1265438
Tarantula ni wadogo, na sidhani yako hizi nchi zetu. Utawapata Australia kwa wingi, na ni hatari kuruka, akifuatiwa na shemeji yake "Black widow"Kuna yale mabuibui makubwa kama ganja la mkono
Yanaitwa great tarantula
Kama yana manyoya hivi.
Kweli, kwenye garage hapafiki nyoka. Hapa home kila baada ya mwezi, wanamwaga oil chafu ya pikipiki au gari, kila kona ya nyumba upande wa nje, nakwambia utakawia kabla hujapishana na hao wadudu. Na ukiwaona basi bahati mbaya kapenya pahali hapajafikiwa na ile oil vizuri.1.Angalizo msije dhani black mamba aliitwa hivyo vile mweusi la hasha wapo black mamba wa kijani.
Waliitwa hivyo sababu ufizi wao ni mweusi sio mwekundu.
2.Ni kweli mafuta ya taa na jamii za petrol ni kero kwao sana na mafuta ya samli.Ukifanikiwa kumpaka mwilini anapata hasira mno atakutafuta kukushambulia ila ukweli baadae atakufa lazima
Mahali popote penye maoil yaliyomwagika garage au petrol station uliza wameshawahi ona nyoka?
Kule Pemba wanamuita ukukwi tuliwachezea sana kama vifaranga vya kuku.kUNA NYOKA MWINGINE HATARI wengi hawamjui. Ni kama mwoga ila ukimchokoza ndio asili yake hujionyesha. Green Mamba ni yule nyoka wa kijani. Sifa zake ni kama Black Mamba. Ila Wengi humuita nyoka wa kijani. Ni mpole na kama mwoga vile mana unaweza mkaribia yeye akakukimbia. Ila ukimfuatilia zaidi au akajua unataka kumdhuru ndio dhoruba yake huanzia hapo. Tabia yake inakuwa kama Black mamba.
Hehe, huwa mwoga mwoga vile alafu anambio kweli. Lakini omba asikung'ate, ana sumu kali ka Mamba mwenzie!Kule Pemba wanamuita ukukwi tuliwachezea sana kama vifaranga vya kuku.
Kweli, kuku hawapishi. Niliona kuku wamemvamia kijoka flani wakakifanya kichungi! 🤣kama uko mashambani dawa yao ni kufuga kuku tu
Offer hiyo haiwezekani, hakuna anayekubaliwa kufika Snake Island. Wanajeshi wa Brazil wamehakikisha hivyo.Kama kakimbia nyumba kisa kitoto cha nyoka hiyo offer ya kwende kutalii snake island si atakimbia Dunia na kuhamia Mars kabisa.
Hao nyoka walioko Australia, hata chatu ukikutana naye tena afadhali sana, ile nchi ina bahati mbaya ya kuwa na kiwango kikubwa cha nyoka deadly wanaoshikilia record ya juu dunia nzima. 😂Wabongo bana huko Australia ,Canada na nchi zenye misitu kuna kipindi unaweza kutana na chatu kwenye sinki la choo tena ch a kukaa