Mkuu kutokujua haimaanishi wewe ni mpumbavu.. Unaweza tu kukubali ulikuwa hujui, na hakuna binadamu anaejua kila kitu... Naomba nikufahamishe mimi nyoka nacheza nao nawajua tabia zao zaidi ya unavyofikiri..
Nimesoma vitabu zaidi ya 6 vya reptiles na hakuna hata kimoja kimesema kuna BLACK MAMBA wa kijani
Nimewaona Black mamba, Tabora, Mikumi, serengeti, Arusha (Metheran snake park), Snake park ya Mji wa Mikumi, Mwanga... Hakuna sehem nimeona wa kijani
Hata saivi ukienda google watakuambia rangi ya Black mamba kuanzia mtoto inakuwa Grey adi anapevuka inakua dark brown
ata kama ikitokoea ana tatizo la "Melanism Pigmentation" hawezi kuwa GREEN...
Acha story za vijiweni, Tembelea vivutio ujifunze