Tahadhari: Huu ni msimu wa nyoka!

Tahadhari: Huu ni msimu wa nyoka!

6. Siyo nyoka tu wanatambaa na kuweza kukung'ata usiku bali hata tandu wenye sumu kali



IMG-20191115-WA0138.jpeg



Unforgetable
 
1.Angalizo msije dhani black mamba aliitwa hivyo vile mweusi la hasha wapo black mamba wa kijani.
Waliitwa hivyo sababu ufizi wao ni mweusi sio mwekundu.
2.Ni kweli mafuta ya taa na jamii za petrol ni kero kwao sana na mafuta ya samli.Ukifanikiwa kumpaka mwilini anapata hasira mno atakutafuta kukushambulia ila ukweli baadae atakufa lazima
Mahali popote penye maoil yaliyomwagika garage au petrol station uliza wameshawahi ona nyoka?
 
1.Angalizo msije dhani black mamba aliitwa hivyo vile mweusi la hasha wapo black mamba wa kijani.
Waliitwa hivyo sababu ufizi wao ni mweusi sio mwekundu.
2.Ni kweli mafuta ya taa na jamii za petrol ni kero kwao sana na mafuta ya samli.Ukifanikiwa kumpaka mwilini anapata hasira mno atakutafuta kukushambulia ila ukweli baadae atakufa lazima
Mahali popote penye maoil yaliyomwagika garage au petrol station uliza wameshawahi ona nyoka?
Hakuna black mamba wa kijani... Bali hawa nyoka aina ya MAMBA, wapo aina nyingi ikiwemo wa kijani
 
Asante Kwa angalizo mkuu, nyoka ni kiumbe hatari sana, hata tandu ni hatari pia. Ngoja nikatafute oil chafu ..
 
Nimekuja mbio nikajua unamaanisha wale nyoka binadamu..ila pia nao ni msimu wao huu wakukaribia holidays,,tujaribu kuwakwepa
 
Angalia hapo chini👇


Tujadili njia za asili za kufukuza au kuzuia nyoka shambani au nyumbani kwako
 
Back
Top Bottom