Chloe 92
JF-Expert Member
- Aug 7, 2018
- 568
- 821
Naogopa nyoka uwiii, majuzi nmetoka kwenye saa 4 usik kufunga geti kubwa la nje ile kurudi ndan mlangoni kumbe kuna nyoka sijamuona nikamkanyaga lkn hakuniuma ila alishtuka akanigusa kwenye mguu. Alikua wa rangi ya majivu sijui ndo anaitwaje nilikimbia na kilio juu. Muda wa kulala sasa nilihangaika kulala nashindwa nahisi na yeye yupo kitandan. Nyoka ni balaa


