Hali ni tete katika kituo cha kimara kama ilivyoripotiwa na Benjamin Mzinga wa ITV msongamano wa abiria ni mkubwa na watu wanaathirika kwa kuumizana na kukosa hewa.
Source: ITV mubashara!
=====
Katika hali ya kuonekana kuchoshwa na kutosikilizwa kwa malalamiko yao, abiria wanaotumia mradi wa Mabasi ya Mwendokasi waamua kuoandia dirishani
Kwa muda mrefu abiria hao wamekuwa wakilalamikia utaratibu wanaouita mbovu wa watoa huduma hiyo ya usafiri.
Mapema leo kulikuwa na taarifa zinazodai kuwa madereva wa mabasi hayo wamegoma kutokana na kutolipwa malimbikizo ya mishahara yao
Kosa kubwa sana lililofanyika wakati wa inception ya UDART ni kusitisha traditional routes ambazo miaka kwa miaka zimehudumia wakazi wa Dar es Salaam kwa kuamini kuwa UDART wange- substitute huduma hiyo at a satisfactory level. Monopoly hata siku moja haijawahi kuwa na ufanisi, kwa hiyo routes zote za zamani zilitakiwa ziende parrallel na UDART services ili wapeane changamoto