YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,907
Kwani upinzani wanaipenda serikali?Toka lini wamekuwa na hayo mapenzi?Kuapishwa Magufuli walisusa wakasema hawamtambui,Bungeni wakasusa hotuba yake kuwa hawamtambui kama Raisi!!!Sasa yeye awatambue wakati hawajawahi tengua hiyo kauli ya kutomtambua kama Raisi?serikali kwanini haipendi upinzani?