Tafrani Kimara: Msongamano kituo cha Mwendo kasi - Abiria wakiwemo wanafunzi wazimia!

Yaani utendaji kazi wa Mabasi ya mwendo kasi jamani umebadilika ghafla yaani wapiga kazi sio kawaida.Anayebisha akae kituo chochote cha mwendo Kasi.Hupotezi muda kituoni gari imeshatokea
 
Mchana kuanzia saa sita hadi nane Na nusu mchana walikuwa pia wana tabia mbaya mabasi yalikuwa hamna leo ghafla wamebadilika kuanzia mchana usafiri wa kimara kibao.Kitu ambacho ni cha ajabu hawako hivi siku zote.Shukrani kwa wote waliosaidia hili.Wanapiga mzigo hasa.Hebu Tusubiri jioni pia tuone

watakuwa wapuuzi sana.
Ina make sense kupunguza magari mchana sababu abiria ni wachache, sasa wanayaachia yazurule hovyo sababu gani?

moja ya kitu ambacho huwa wanakosea ni kusubiri abiria wajae kule feri na kariakoo wakati wa asubuhi badala ya kukimbia kuwachukua Kimara.

Alafu kuna disconnection imetokea kati yao na askari wa barabarani, mwanzoni yalikuwa yanaruhusiwa kuvuka njia panda haraka yakifika, sikuhizi yanasimamishwa kama wengine.

Na labda pia ujenzi unaoendelea hapo ubungo, sababe pale sasa hamna barabara ya mwendo kasi, kila mtu anajiachia tu.

watakuwa wajinga sana kukimbilia kubadiridisha taratibu zao sababu huku JF kuna watu wanalalamika
 
watakuwa wapuuzi sana.
Ina make sense kupunguza magari mchana sababu abiria ni wachache, sasa wanayaachia yazurule hovyo sababu gani?

moja ya kitu ambacho huwa wanakosea ni kusubiri abiria wajae kule feri na kariakoo wakati wa asubuhi badala ya kukimbia kuwachukua Kimara.

Alafu kuna disconnection imetokea kati yao na askari wa barabarani, mwanzoni yalikuwa yanaruhusiwa kuvuka njia panda haraka yakifika, sikuhizi yanasimamishwa kama wengine.

Na labda pia ujenzi unaoendelea hapo ubungo, sababe pale sasa hamna barabara ya mwendo kasi, kila mtu anajiachia tu.

watakuwa wajinga sana kukimbilia kubadiridisha taratibu zao sababu huku JF kuna watu wanalalamika
Mkuu mchana kuna abiria njiani kibao sijaona basi tupu hata kimara au kariakoo kukiwa hamna watu yote yanajaza njiani
 
Unapandajepandaje kwenye daladala yenye mlango kushoto mwa dereva wakati abiria wa mwendokasi wanakaa kulia mwa davoo?
Watafanya kinyumenyume....ukitoka kimara kwenda posta daladala zitapita upande wa kulia na kinyume chake.
 
Hali ni tete katika kituo cha kimara kama ilivyoripotiwa na Benjamin Mzinga wa ITV msongamano wa abiria ni mkubwa na watu wanaathirika kwa kuumizana na kukosa hewa.

Source: ITV mubashara!


=====


Katika hali ya kuonekana kuchoshwa na kutosikilizwa kwa malalamiko yao, abiria wanaotumia mradi wa Mabasi ya Mwendokasi waamua kuoandia dirishani

Kwa muda mrefu abiria hao wamekuwa wakilalamikia utaratibu wanaouita mbovu wa watoa huduma hiyo ya usafiri.

Mapema leo kulikuwa na taarifa zinazodai kuwa madereva wa mabasi hayo wamegoma kutokana na kutolipwa malimbikizo ya mishahara yao
Turudishieni daladala zetu.
 
Mabasi 70 si wanasema TRA wameyashikilia haya ndiyo madhara yake
Kama makontena ya makonda yalizuiliwa, hata haya mabasi lazima yalipiwe kodi. La sivyo yapigwe mnada kisha ajitokeze mtu kama "barkhresa" ayanunue kisha apewe kibali ayaingize barabarani. Huyu udart anyoonywe ila bahati mbaya udart ni msukuma.
Imekula kwetu.
 
Hapa ndio namshangaa Makonda.... kutwa kuchwa kupiga kelele za mambo mengi, mbona hili yuko kimya? Au wanaoteseka sio wana Dar? Kwanini haangaiki na mambo yanayogusa wananchi wengi kila siku.
 
Viongozi wetu wote vilaza. Darisalama ina watu milion 5 kushinda hata los angeles/ chicago/ dallas/ toronto nk lakini miundo mbinu yake haiifikii hata kiduchu hizo sehemu nilizozitaja. Tatizo hili na mengine hayawezi kuisha mpaka wakati viongozi waache kuwa vilaza. Itafika mahala mtu utakosa hata. Pa kuegeshea injini kiuno hapo mjini.
 
Yaani watu wana biashara moja, isiyo na ushindani wowote lakini bado inawashinda! Shocking hii.
 
Halafu nimemsikia Rto wa kanda maalum DSM anatetea huu ujinga eti ni kwa sababu watu wanapenda mabasi mazuri hajui kuwa hawa hawana mshindani. Aweke mshindani aone nani atayapanda hayo mabasi mazuri.
Yaani watu wana biashara moja, isiyo na ushindani wowote lakini bado inawashinda! Shocking hii.
 
Vilaza watupu hao Mjomba. Tuna hali mbaya sana ndugu zangu. Hii mambo ya kupandia mabasi madirishani ikikuwa enzi hizoo za origino uda aka bayankata ! Na sasa hali inajirudia tena.
Halafu nimemsikia Rto wa kanda maalum DSM anatetea huu ujinga eti ni kwa sababu watu wanapenda mabasi mazuri hajui kuwa hawa hawana mshindani. Aweke mshindani aone nani atayapanda hayo mabasi mazuri.
 
Wakifika Kituo cha mwendokasi wanashuka barabarani Milango ya dala dala kushuka ni kushoto hawaingii kwenye jengo unashuka kituoni unaendelea na safari Kama wanavyoshuka vituo vingine Na kupanda hivyo hivyo
Akili za kiccm hizi, hovyo kabisa...!
Hiyo miundombinu ilivyo unadhani hiyo idea yako itafanya kazi? Athari za kufanya hivyo unazijua...?!
Malumumbas mmeharibu kila kitu...
 
Hali ni tete katika kituo cha kimara kama ilivyoripotiwa na Benjamin Mzinga wa ITV msongamano wa abiria ni mkubwa na watu wanaathirika kwa kuumizana na kukosa hewa.

Source: ITV mubashara!


=====


Katika hali ya kuonekana kuchoshwa na kutosikilizwa kwa malalamiko yao, abiria wanaotumia mradi wa Mabasi ya Mwendokasi waamua kuoandia dirishani

Kwa muda mrefu abiria hao wamekuwa wakilalamikia utaratibu wanaouita mbovu wa watoa huduma hiyo ya usafiri.

Mapema leo kulikuwa na taarifa zinazodai kuwa madereva wa mabasi hayo wamegoma kutokana na kutolipwa malimbikizo ya mishahara yao
Rais Magufuli ni kiongozi msikivu na mfuatiliaji!
 
Kwasababu sasa hivi serikali ipo kwenye ujenzi wa reli, ni heri pia ifanye mpango wa kusogeza reli hadi Mbezi. Hii ya Pugu iwe inaifika Mbezi.

Wakiruhusu daladala zitasababisha tatizo la foleni kuwa kubwa sana na watu kuchelewa kazini.

Kituo cha mabasi ya mikoani kitakapokuwa Mbezi, ni vizuri sana Treni ya mjini iwe inafika huko ili kupunguza foleni barabara ya Morgoro.
Ama sivyo abiria tutapata taabu sana ya kusota barabarani.
 
Hali ni tete katika kituo cha kimara kama ilivyoripotiwa na Benjamin Mzinga wa ITV msongamano wa abiria ni mkubwa na watu wanaathirika kwa kuumizana na kukosa hewa.

Source: ITV mubashara!


=====


Katika hali ya kuonekana kuchoshwa na kutosikilizwa kwa malalamiko yao, abiria wanaotumia mradi wa Mabasi ya Mwendokasi waamua kuoandia dirishani

Kwa muda mrefu abiria hao wamekuwa wakilalamikia utaratibu wanaouita mbovu wa watoa huduma hiyo ya usafiri.

Mapema leo kulikuwa na taarifa zinazodai kuwa madereva wa mabasi hayo wamegoma kutokana na kutolipwa malimbikizo ya mishahara yao

Serikali na biashara wapi na wapi? Zikiwapi KAMATA, UDA, KAUMA, KAUDO nk.

Hamna ujuzi wa uendeshaji wala uboreshaji. Kaeni pembeni mdhibiti rushwa na kulinda usalama.
 
Back
Top Bottom