Tafakuri yangu juu ya chanjo ya Corona

Mungu haleti magonjwa.
Bali sisis wenyewe KWA ASILI YA BINADAMU NA WANYAMA LAZMA TUUMWE
Jinsi unavyokula ndivyo utavyokuwa mzima
Ila hao walikaa kabisa MAABARA wakatengeneza corona ndo tujiulize waliitengeneza Corona kwa NIA GANI?
Na vipi leo waseme wanataka kuleta chanjo Nani atawaamini?
Mkuu tuambie basi scenario ilivokua mpaka huu ugonjwa ukapatika au kama una refference yoyote ya maneno yako kua ilitengenezwa maabara basi share hapa nasi tupate kujua.
Kwa kuanza tu tujuze walioitengeneza ni kina nani??

Nawasilisha
 
Kumbe kwahiyo hizo wanazokazana kuchanjana hazina hakika ya 100%?
Yaah, si umeona UK kilicho tokea,tena hicho kirusi kipya kina nguvu hatari,walilegeza masharti ya lockdown mpaka mashabiki 2000 wakawa wanaingia uwanjani kwenye mechi za EPL lkn baada ya kirusi hiki kipya kugundulika masharti ya lockdown yamekuwa makali zaidi ya mwanzo.

Sijajua system za kiafya duniani zina operate vipi,manake hizi kampuni zenyewe zina angalia hela tu bila kuwa na uhakika na wanacho kizalisha.Najiuliza hivi WHO hawana maabara za kucheki hizi chanjo zote za Corona baadae waje na kauli moja kwamba,chanjo hii na hii zipo sawa ila msitumie chanjo hii kwa sababu ..hizi na hizi...naona nao kama wamekaa kimya.
 
Mungu haleti magonjwa.
Bali sisis wenyewe KWA ASILI YA BINADAMU NA WANYAMA LAZMA TUUMWE
Jinsi unavyokula ndivyo utavyokuwa mzima
Ila hao walikaa kabisa MAABARA wakatengeneza corona ndo tujiulize waliitengeneza Corona kwa NIA GANI?
Na vipi leo waseme wanataka kuleta chanjo Nani atawaamini?
Siiwazii corona sana
Nawazia majela yetu yalivyojaa wafungwa wenye magonjwa ya kila aina na bila tiba sahihi ya uhakika
Nawazia hospital zetu zilivyofurika wagonjwa wa kila aina na zenye huduma duni za usafi
Nawazia sehemu tunazopata vyakula na vinywaji
Maduka mbalimbali yanayouza vyakula na vinywaji vyenye kila aina ya vitu vyenye madhara mwilini...pombe kali zisizo na viwango, vyakula vya kusindika, vinywaji vya kuongeza nguvu nknk
Kila ninakopita naona vyanzo vya magonjwa mbalimbali makubwa na mabaya kabisa
 
Na sio Kila kitu unacholetewa ukubali.
Vita ya chanjo sio Tanzania tu hata huko ulaya na marekani ipo.
Kuna watu wanamlaumu bill gates kuwa katengeneza Corona ili apige hela.
huu ugonjwa sio wa mungu ni wa binadamu ameutengeneza makusudi kwa maslahi yake binafsi
Hata UKIMWI walisema hivyo hivyo ni wa kutengeneza...
 
Bado haujajibu swali.
Unajua waliitengeneza Corona kwa NIA GANI?
wao walikaa MAABARA wakate ngeneza hivhi Cha KUTENGENEZA leo wanatuletea chanjo TUTAWAAMINI KWELI?
Ni nchi gani ilifanya hiyo kazi na kwa lengo gani mkuu? Tupunguze mjadala hapa
 
vyanzo vipi vingi vinavyoelezea chimbuko la covid 19.
Google utapata mwanga.
Ila jua tu ni ugonjwa wa MAABARA.yaani watu walikaa wakatengeneza.
Huko China Wana MAABARA yao ya KUTENGENEZA magonjwa kabisa
Mkuu tuambie basi scenario ilivokua mpaka huu ugonjwa ukapatika au kama una refference yoyote ya maneno yako kua ilitengenezwa maabara basi share hapa nasi tupate kujua.
Kwa kuanza tu tujuze walioitengeneza ni kina nani??

Nawasilisha
 
Mungu haleti magonjwa.
Bali sisis wenyewe KWA ASILI YA BINADAMU NA WANYAMA LAZMA TUUMWE
Jinsi unavyokula ndivyo utavyokuwa mzima
Ila hao walikaa kabisa MAABARA wakatengeneza corona ndo tujiulize waliitengeneza Corona kwa NIA GANI?
Na vipi leo waseme wanataka kuleta chanjo Nani atawaamini?
Mbona walitengeneza UKIMWI
Wakaleta na ARV mkaikubali na kuipokea kwa mikono miwili,

Inakuwaje hii chanjo mnaikataa?
 
Hewaaa wewe Sasa inaonekana unataka kujua.. aliyetengeneza covid 19 ni china.walikaa maabara wakafanya yao.ndo maana nauliza kabla ya kukubali kutumika chanjo zao tujiulize kwanza waliitengeneza Corona kwa NIA GANI
Ni nchi gani ilifanya hiyo kazi na kwa lengo gani mkuu? Tupunguze mjadala hapa
 
Ndio ukweli wenyewe huo.
Magonjwa ya ASILI ya mwanadamu kwa ASILI mia kubwa yanatibika .ila haya ya kukaa maabara n KUTENGENEZA Mara nyingi ngoma uwa nzito
Hata UKIMWI walisema hivyo hivyo ni wa kutengeneza...
 
Hao wanatengeneza tatizo alafu wanatafuta suluhisho lake.
Inaonekana ni ujanja ujanja kwa sababu ni ugonjwa mpya. Ulikuwepo wakati UKIMWI unaingia? Japo hakukuwa na mitandao wakati ule lakini kulikuwa na habari za kila aina. Nao tuliambiwa ulikuwa umetengenezwa makusudi kuja kutumaliza Waafrika ila leo watu wetu wanafakamia ARVs zilizotengenezwa na hao hao wanaotaka kutumaliza!

Kama hatutaki madawa na chanjo zao, tutengenezeni za kwetu. Ile tonic juice ya Antananarivo ilifikia wapi? Si tuliagiza ile?
 
Hewaaa wewe Sasa inaonekana unataka kujua.. aliyetengeneza covid 19 ni china.walikaa maabara wakafanya yao.ndo maana nauliza kabla ya kukubali kutumika chanjo zao tujiulize kwanza waliitengeneza Corona kwa NIA GANI
Naona ungemalizia tu kujibu...enhee nia iliuwa nn
 
Neno la utangulizi: TULIKOSEA PAKUBWA MNO TULIPOIPA SIASA THAMANI KUBWA KULIKO TAALUMA! Leo hii wanasiasa wana nguvu kubwa kuliko wanataaluma wetu.

Jambo linapokuwa kubwa huja na makubwa mengi pia. Corona imetuletea mengi, mazuri na mabaya ya kushangaza na ya kutia simanzi pia.

Vita ya maneno bado inaendelea kati ya wanasiasa wetu na wafadhili wetu wadau wa maendeleo yetu hawa mabwana wakubwa tunaowaita mabeberu.

Tunajaribu kuwatisha na kuwaaminisha wananchi wetu kuwa chanjo ya Corona ni mbaya na haifai lakini kamwe hatuwaoneshi ithibati thabiti ya kitaalam kuhusu ubaya wa chanjo.

Tunatumia nguvu nyingi kisiasa kupinga chanjo eti zina madhara kiafya lakini kuna maeneo mengi muhimu yanayohusika na afya ya mtanzania tumeyafumbia macho.

1. Viwango vyetu vya tiba ni hafifu na vya hali ya chini mno: Hatujawekeza vya kutosha kwenye hili eneo. Wananchi wanaathiriwa pakubwa na huduma mbovu za afya, madawa bandia na madawa yasiyokidhi viwango. Wataalam wasio na ujuzi kamili na watoa huduma wasiokidhu viwango.

2. Vyakula na vinywaji: Kila wakati tunaletewa aina mpya ya vyakula na vinywaji vinavyorembwa na kila aina ya uzuri lakini baada ya muda watu wanapoanza kupata madhara serikali ndio huchukua hatua. Mwanzoni kodi na mapato ndio kipaumbele sio afya na usalama wa Mtanzania.

3. Vipodozi na mapambo ya mwili. Hili ni eneo hatarishi mno kwa afya zetu lakini mkono wa serikali uko wapi hapa? Watu wanaathirika mno. Vipodozi bandia na vyenye kemikali za sumu viko kila mahali, lakini kipaumbele ni kodi na mapato

4. Vinywaji: Hapa hata sijui nisemeje..kila siku tunawaangamiza vijana wetu nguvu kazi ya taifa kwa vinywaji vikali vibaya kwa afya, lakini vipo madukani na vina stakabadhi ya kodi za serikali.

5. Vyakula vya wanyama: Nani alisejua haya makuku tunayoita ya kizungu yalivyo na madhara makubwa kiafya. Shida inaanzia kwenye vyakula, lakini hatuoni serikali yetu ikipiga kelele hapa.

Tuna vingi vingi vibaya vinavyotuangamiza kila siku mbele ya macho ya serikali. Mitumba ya kila aina toka ulaya kuanzia mavazi vyombo vya usafiri mpaka vyombo vya ndani.

Zaidi ya asilia sabini ya madawa na vifaa tiba vinatoka nje. Pembejeo za kilimo pia. Sisi ni tegemezi wa hao watoa chanjo kwa asilimia 95. Kukataa chanjo kwa kisingizio cha madhara na bila ithibati hatuwatendei haki wananchi wengi wanaoangamia na mengi kila uchao

Huduma za kijamii ni mbovu. Maji safi na salama ni wangapi tunapata?

Sisi ni wafu hata kabla hatujauawa
Neno la utangulizi: TULIKOSEA PAKUBWA MNO TULIPOIPA SIASA THAMANI KUBWA KULIKO TAALUMA! Leo hii wanasiasa wana nguvu kubwa kuliko wanataaluma wetu.

Jambo linapokuwa kubwa huja na makubwa mengi pia. Corona imetuletea mengi, mazuri na mabaya ya kushangaza na ya kutia simanzi pia.

Vita ya maneno bado inaendelea kati ya wanasiasa wetu na wafadhili wetu wadau wa maendeleo yetu hawa mabwana wakubwa tunaowaita mabeberu.

Tunajaribu kuwatisha na kuwaaminisha wananchi wetu kuwa chanjo ya Corona ni mbaya na haifai lakini kamwe hatuwaoneshi ithibati thabiti ya kitaalam kuhusu ubaya wa chanjo.

Tunatumia nguvu nyingi kisiasa kupinga chanjo eti zina madhara kiafya lakini kuna maeneo mengi muhimu yanayohusika na afya ya mtanzania tumeyafumbia macho.

1. Viwango vyetu vya tiba ni hafifu na vya hali ya chini mno: Hatujawekeza vya kutosha kwenye hili eneo. Wananchi wanaathiriwa pakubwa na huduma mbovu za afya, madawa bandia na madawa yasiyokidhi viwango. Wataalam wasio na ujuzi kamili na watoa huduma wasiokidhu viwango.

2. Vyakula na vinywaji: Kila wakati tunaletewa aina mpya ya vyakula na vinywaji vinavyorembwa na kila aina ya uzuri lakini baada ya muda watu wanapoanza kupata madhara serikali ndio huchukua hatua. Mwanzoni kodi na mapato ndio kipaumbele sio afya na usalama wa Mtanzania.

3. Vipodozi na mapambo ya mwili. Hili ni eneo hatarishi mno kwa afya zetu lakini mkono wa serikali uko wapi hapa? Watu wanaathirika mno. Vipodozi bandia na vyenye kemikali za sumu viko kila mahali, lakini kipaumbele ni kodi na mapato

4. Vinywaji: Hapa hata sijui nisemeje..kila siku tunawaangamiza vijana wetu nguvu kazi ya taifa kwa vinywaji vikali vibaya kwa afya, lakini vipo madukani na vina stakabadhi ya kodi za serikali.

5. Vyakula vya wanyama: Nani alisejua haya makuku tunayoita ya kizungu yalivyo na madhara makubwa kiafya. Shida inaanzia kwenye vyakula, lakini hatuoni serikali yetu ikipiga kelele hapa.

Tuna vingi vingi vibaya vinavyotuangamiza kila siku mbele ya macho ya serikali. Mitumba ya kila aina toka ulaya kuanzia mavazi vyombo vya usafiri mpaka vyombo vya ndani.

Zaidi ya asilia sabini ya madawa na vifaa tiba vinatoka nje. Pembejeo za kilimo pia. Sisi ni tegemezi wa hao watoa chanjo kwa asilimia 95. Kukataa chanjo kwa kisingizio cha madhara na bila ithibati hatuwatendei haki wananchi wengi wanaoangamia na mengi kila uchao

Huduma za kijamii ni mbovu. Maji safi na salama ni wangapi tunapata?

Sisi ni wafu hata kabla hatujauawa
Tanzania wakiweza kutenganisha hivi vitu vitatu SIASA, KAZI, na SHERIA. Hakika haitakuwa tena katika nchi za dunia 3
 
Kama huu ugonjwa Hautuui chanjo yanini?.
Ukimwi ulikuwa unaua KWELI ndo maana walikubali ARV .Sasa hivi mtu haumwi Corona,Hana ndugu anayeumwa corona atakubali KWELI hyo chanjo
Mbona walitengeneza UKIMWI
Wakaleta na ARV mkaikubali na kuipokea kwa mikono miwili,

Inakuwaje hii chanjo mnaikataa?
 
Kama huu ugonjwa Hautuui chanjo yanini?.
Ukimwi ulikuwa unaua KWELI ndo maana walikubali ARV .Sasa hivi mtu haumwi Corona,Hana ndugu anayeumwa corona atakubali KWELI hyo chanjo
Bro hiyo ni chanjo kwa ajiri ya kinga sio mpaka upate CORONA.

Alafu kama mnasema chanjo haifai tupeni ushaidi wa kisayansi sio mnaleta siasa kwenye mambo ya kisayansi
 
Ebu nipe takwimu za nchi ambazo wameanza kutumia hzo chanjo.
He maambukizi yanapungua au yanaongezeka?
Bro hiyo ni chanjo kwa ajiri ya kinga sio mpaka upate CORONA.

Alafu kama mnasema chanjo haifai tupeni ushaidi wa kisayansi sio mnaleta siasa kwenye mambo ya kisayansi
 
Back
Top Bottom