This is my argument...!!!Alafu Mwafrika mbona sio tishio kwa mataifa,, mzungu angeamua kutupunguza mbona zipo njia nyingi tu tofauti na chanjo..
Vyakula vyote na viwatilishi vya kilimo tunapewa na wao, vinywaji wao,, apo kama kutuua wangeshatupunguza tena wote..
Mungu yupo lakini pia ametupa maarifa tuyatumie ndio maana katika kitabu cha mithali anatuasa TUMSHIKE SANA ELIMUJohn Okelo wakati anahojiwa na vyombo vya Habari baada ya mapinduzi ya Zanzibar na mtafsiri Mohamedi Babu kwa lugha ya Kiingereza mwandishi wa Habari mzungu alimuuliza Siri ya ushindi akajibu tumeshinda kwa msaada wa Mungu wa Afrika.Inawezekana hatari yote uliyoisema tuna survive kwa Sababu ya Mungu wa Afrika.
Mkuu una uhakika na hili??cha kushangaza hao wazungu hawaleti chanjo yake isipokua Covid-19 pekee
Na hizi asilimia zenu tafiti mnafanyiaga wapi mpaka unaconclude eti 90% ya watanzania. Huoni nchi jirani ugonjwa ulivoshamiri na sio kua eti hatujui uraisi ni idara nyeti ila sasa rais jinsi anavowasilisha ayo mambo ya siri ni kwa hovyo kabisaNi kwei kuna nyakati akisema Mbowe au Tundu basi kila anaye shabikia upinzani hudhani wako sawa..any way kua wazungu ndo watoa dawa si sababu ya kua wazembe na dhaifu,ikiwa hivyo hata wewe kuna siku mkeo atabebwa na jirani yako kwa kua ni tajiri mwenye uwezo kifedha zaidi yako.
Ugonjwa upo lakini unaishi kwetu kama Malaria na kwa uwezo wa miili ya wazungu unawatingisha sana,hata mafua tu ya kawaida wao huteseka japo sisi hua yanapona yenyewe,waTanzania tuna mtindo wa maneno mengi sana bila kuona uhalisia,nowdays watu hawaoni Malaria inaua ila wanaona Covid-19 na 90% hatujakutwa na vifo vya ndugu wala majirani kwa huo ugonjwa isipokua magonjwa ya siku zote ambayo cha kushangaza hao wazungu hawaleti chanjo yake isipokua Covid-19 pekee
Shida nyingine mnadhani Rais anakurupuka bila kutumia wataalau wake na idara nyingine za siri kwake,mnadhani taasisi ya Rais ni kitu kidogo kama ofisi ya kijiji.
Iko wapi chanjo ya Malaria? Ulisha iona wapi?Mkuu una uhakika na hili??
Hao majirani unaowasema hua wanalenga pesa wapewe na mzungu wazipige..sisi tuko kwenye miradi bana tunajua we naeNa hizi asilimia zenu tafiti mnafanyiaga wapi mpaka unaconclude eti 90% ya watanzania. Huoni nchi jirani ugonjwa ulivoshamiri na sio kua eti hatujui uraisi ni idara nyeti ila sasa rais jinsi anavowasilisha ayo mambo ya siri ni kwa hovyo kabisa
Apo ulipo una ndui mkononi mwako chanjo za magonjwa kibao zishaletwa hapa kama polio achana na iyo izo dawa za malaria zenyewe mnatoa kwao, dawq za kufubaza virusi (HIV) mnatoa huko bado misaada kibao hadi vyandarua ivi mnaosema chanjo ina madhara em mje na tafiti na chunguzi zinazoeleweka aisee haya maneno maneno tu kisa raisi kasema bila ushahidi wowote na kuamini ni ujinga.Iko wapi chanjo ya Malaria? Ulisha iona wapi?
Uwezo alionao ni wa kuongoza kijiji, ndio maana kila siju anaalika wakuu kijijini kwao.Nadhani huyo jamaa yenu ana shida kwenye reasoning.
Viatu alivyovaa ni vikubwa sana.