Jesse Royal
JF-Expert Member
- Feb 17, 2018
- 323
- 465
Mkuu hapo ulipo kwanza pegani una chanjo ya Ndui. Nawakati mdogo umeisha chomwa sana machanjo ya kila aina, na bado watoto wako wanaendelea kuchomwaNa sio Kila kitu unacholetewa ukubali.
Vita ya chanjo sio Tanzania tu hata huko ulaya na marekani ipo.
Kuna watu wanamlaumu bill gates kuwa katengeneza Corona ili apige hela.
huu ugonjwa sio wa mungu ni wa binadamu ameutengeneza makusudi kwa maslahi yake binafsi
Note. Wazungu wakitaka kutuua awashindwi sabubu kila kitu tunategemea kutoka kwao kama alivyo sema hapo juu mleta mada
Alafu ukiambiwa ulete ushaidi kwamba Bill Gates ndo katengeneza uo ugonjwa unaweza kusibitisha