Kwanini CDF atoe ushauri kuhusu suala hili kwa mhe rais hadaharani?
Kuna mtu anatafutwa kisiasa? Ndiyo! Kuna mfukunyuku amenipa hint kwamba yule mtu wa watu ambaye mara nyingi hupata ajali za kiafya ndiye target ktk hili. Sababu kubwa ni kwamba mama mwenye nyumba anamhofia sana ktk mbio za kutafuta taji. Sasa atamtoaje kwenye reli?
Ndiyo maana hili linasemwa hadharani ili hatua za kumuondosha zikichukuliwa umma usishangaye.
Ushauri huu wa CDF una shari, tena shari kamili. Ungekuwa na heri ungetolewa na CDF kule kule ikulu kwenye briefingi za kila siku zinazohusu ulinzi na usalama wa taifa hili.
Yetu macho, acha tuone.
Kuna mtu anatafutwa kisiasa? Ndiyo! Kuna mfukunyuku amenipa hint kwamba yule mtu wa watu ambaye mara nyingi hupata ajali za kiafya ndiye target ktk hili. Sababu kubwa ni kwamba mama mwenye nyumba anamhofia sana ktk mbio za kutafuta taji. Sasa atamtoaje kwenye reli?
Ndiyo maana hili linasemwa hadharani ili hatua za kumuondosha zikichukuliwa umma usishangaye.
Ushauri huu wa CDF una shari, tena shari kamili. Ungekuwa na heri ungetolewa na CDF kule kule ikulu kwenye briefingi za kila siku zinazohusu ulinzi na usalama wa taifa hili.
Yetu macho, acha tuone.