Tafadhali soma hapa.....

Tafadhali soma hapa.....

Nawashukuru sana kwa Maombi yenu,operation ilienda vizur kabisa na nimeruhusiwa kutoka hospital sasa niko nyumbani nikijiuguza kidonda, Namshukuru Mungu kwa uzima alionipatia hakika ni mwema na kama mlivyoomba hakika alinipatia wepesi sana na ninaendelea vizuri sana.

MUNGU AWABARIKI SANA hakika mlinitia moyo sina lugha nzuri ya kuongea ila Mwenyezi Mungu awakumbuke katika kila mnalolihitaji.

Nokia83 utafiti Kongosho mdesi Blue G Magembeh miss chagga mwekundu Dannycage Leomimi Evelyn Salt Eiyer mpuko badiebey The Boss shahnaz Ennie NAMTUMBA Mbimbinho Straight corner magombe junior kijani11 Khantwe(samahan kwa kukuita kaka) Daddo google helper xiexie mtzmweusi LexAid Kichwa Ndio Mtu ng'wana ong'wa kulwa NI MTAZAMO TU neggirl Sizinga enhance miss neddy Ablessed Zamiluni Zamiluni thinky ndiga usiniguse gfsonwin na hips.com(mistari mliyonipatia ilinipa nguvu sana)

Hakika upendo wa Mungu kwetu haupimiki

Mungu akubariki sana na upone kabisa mpendwa

I know Jesus is there with you dear

Stay blessed!
 
Always God is great. Mungu ashukuriwe na upone haraka.
 
Hakika upendo wa Mungu kwetu haupimiki

Mungu akubariki sana na upone kabisa mpendwa

I know Jesus is there with you dear

Stay blessed!

Thank you baba Paroko.
 
Nawashukuru sana kwa Maombi yenu,operation ilienda vizur kabisa na nimeruhusiwa kutoka hospital sasa niko nyumbani nikijiuguza kidonda, Namshukuru Mungu kwa uzima alionipatia hakika ni mwema na kama mlivyoomba hakika alinipatia wepesi sana na ninaendelea vizuri sana.

MUNGU AWABARIKI SANA hakika mlinitia moyo sina lugha nzuri ya kuongea ila Mwenyezi Mungu awakumbuke katika kila mnalolihitaji.

Nokia83 utafiti Kongosho mdesi Blue G Magembeh miss chagga mwekundu Dannycage Leomimi Evelyn Salt Eiyer mpuko badiebey The Boss shahnaz Ennie NAMTUMBA Mbimbinho Straight corner magombe junior kijani11 Khantwe(samahan kwa kukuita kaka) Daddo google helper xiexie mtzmweusi LexAid Kichwa Ndio Mtu ng'wana ong'wa kulwa NI MTAZAMO TU neggirl Sizinga enhance miss neddy Ablessed Zamiluni Zamiluni thinky ndiga usiniguse gfsonwin na hips.com(mistari mliyonipatia ilinipa nguvu sana)

Sasa mbona hujanishuru na mimi? Hutaki hicho kidonda kipone haraka?
 
Last edited by a moderator:
Mungu wa mbinguni akuinue, azikumbuke sadaka zako zote na kuzitakabali akuletee msaada kutoka patakatifu pake, akujibu siku ya tabu akupe haja ya moyo wako na kuyatimiza mahitaji yako yote,.

Ameen,asante kwa neno zuri.
 
Haleluya hata sasa Bwana anatenda ngoja nijipe dakika kadhaa nimshukuru Mungu kwa matendo makuu aliyokutendea...
.
"...... shukuruni Mungu kwa kila jambo ....."
 
Sasa mbona hujanishuru na mimi? Hutaki hicho kidonda kipone haraka?
Hahahahaha! Babu Asprin asante sana umo mwiongoni mwa MMU wote,Hao ni miongoni waliocomment siku hiyo,tena niombee nipone haraka haswaaa mjukuu wako asijechepuka bure!!!
 
Last edited by a moderator:
Mungu akujalie na kukubariki, na pia abariki na mikono ya madaktari na manesi watakaofanya hiyo operation! Ubarikiwe sana everlenk !
 
Last edited by a moderator:
Mungu akujalie na kukubariki, na pia abariki na mikono ya madaktari na manesi watakaofanya hiyo operation! Ubarikiwe sana everlenk !

Ameen,Asante md4doctor2000,operation ilishafanyika na ninamshukuru Mungu naendelea vzur hapa nilileta mrejesho tu.
 
Last edited by a moderator:
Mimi sikusoma hapa hadi leo..ila nitakuombea kidonda kipone haraka.
 
Haleluya hata sasa Bwana anatenda ngoja nijipe dakika kadhaa nimshukuru Mungu kwa matendo makuu aliyokutendea...
.
"...... shukuruni Mungu kwa kila jambo ....."

Ameen,Asante sana kwa maombi yako,hakika Mungu yupo na anatenda,nakukumbuka sana ulikuwa wa kwanza kunijulia hali after surgery,Barikiwa mkuu.
 
Back
Top Bottom