Amina barikiwa nawe pia, jeshi la Bwana ni kubwa mno,Eliya alifikiri yuko peke yake Mungu akamwambia wapo wengeni 50 kwenye pago".........lieni nao waliao....furahini nao wafurahio."Ameen,Asante sana kwa maombi yako,hakika Mungu yupo na anatenda,nakukumbuka sana ulikuwa wa kwanza kunijulia hali after surgery,Barikiwa mkuu.
Amina barikiwa nawe pia, jeshi la Bwana ni kubwa mno,Eliya alifikiri yuko peke yake Mungu akamwambia wapo wengeni 50 kwenye pago".........lieni nao waliao....furahini nao wafurahio."
Hahahahaha! Babu Asprin asante sana umo mwiongoni mwa MMU wote,Hao ni miongoni waliocomment siku hiyo,tena niombee nipone haraka haswaaa mjukuu wako asijechepuka bure!!!
Habari za asubuhi wana MMU,
Muda mfupi ujao nitakuwa nikiingia chumba cha upasuaji,nasumbuliwa na uvimbe kwenye utumbo mpana.
Tafadhali naombeni maombi yenu wana MMU wote mwenyezi Mungu awe nami,maneno yenu ni faraja na uponyaji tosha kwangu.
Mungu awabariki.
Damu ya Yesu na ikutakase upone haraka kuliko matarajio ya madaktari. Sema amina, upate uponyaji.
Nguvu za shetani na zishindwe. Kojoleo na mjukuu lipate aleji na K za mchepuko mpaka njia kuu itakapokuwa imekarabatika. sema amina shetani afe, na kojoleo liwe na nidhamu.
Mentor ni shemeji yako kwa nani? kama kwa mdogo wako basi kala hasara. mwambie azame kwenye maombi kabla hajaanza kulea watoto wa wanawake wenzie.