Tafadhali soma hapa.....

Tafadhali soma hapa.....

Huu uzi umeshafikishwa malangoni pa Mbingu, amini unakwenda kupona kabisa!
 
God z greater kaka utapona tu na ukitoka tupe mrejesho.

asante dagii nimeshafanyiwa operation na sasa naendelea vizur nauguza kidonda.
 
Last edited by a moderator:
Nashukuru kufahamu waendelea vizuri.
Naamini Mwenyezi Mungu ataendelea kukupigania.
 
Pole mamy.
Upone haraka kidonda urejee katika shughuli zako za kila siku ukiwa na afya njema.
Stay blessed.
 
habari za asubuhi wana mmu,
muda mfupi ujao nitakuwa nikiingia chumba cha upasuaji,nasumbuliwa na uvimbe kwenye utumbo mpana.

Tafadhali naombeni maombi yenu wana mmu wote mwenyezi mungu awe nami,maneno yenu ni faraja na uponyaji tosha kwangu.
Mungu awabariki.
nakuombea upone haraka,mungu aongoze operation yako
 
Nawashukuru sana kwa Maombi yenu,operation ilienda vizur kabisa na nimeruhusiwa kutoka hospital sasa niko nyumbani nikijiuguza kidonda, Namshukuru Mungu kwa uzima alionipatia hakika ni mwema na kama mlivyoomba hakika alinipatia wepesi sana na ninaendelea vizuri sana.

MUNGU AWABARIKI SANA hakika mlinitia moyo sina lugha nzuri ya kuongea ila Mwenyezi Mungu awakumbuke katika kila mnalolihitaji.

Nokia83 utafiti Kongosho mdesi Blue G Magembeh miss chagga mwekundu Dannycage Leomimi Evelyn Salt Eiyer mpuko badiebey The Boss shahnaz Ennie NAMTUMBA Mbimbinho Straight corner magombe junior kijani11 Khantwe(samahan kwa kukuita kaka) Daddo google helper xiexie mtzmweusi LexAid Kichwa Ndio Mtu ng'wana ong'wa kulwa NI MTAZAMO TU neggirl Sizinga enhance miss neddy Ablessed Zamiluni Zamiluni thinky ndiga usiniguse gfsonwin na hips.com(mistari mliyonipatia ilinipa nguvu sana)

Common language kwa mwanaadamu :- unapo ugua au kupatwa na maradhi/ugonjwa, Hiyo niishara kuwa aliyekuumba anatamani umkumbuke na kuwa amekusafishia kitabu/jalada ya matendo yako hapa. hivyo You start from zero again.
pole na karibu upya katika ulimwengu huu. ubarikiwe mwenzetu.
 
ha! Amebadilika sasahivi ya kale yamepita tazama sasa ni mapya,ngoja nimuite... Mentor njoo pande hizi umthibitishie babu kwamba sasahivi wewe umeokoka na hauna tena mambo mabaya.

Babu Asprin, kwani hufahamu!??

Mimi sasa naabudu Usharika wa Azania Front...
 
Last edited by a moderator:
Habari za asubuhi wana MMU,
Muda mfupi ujao nitakuwa nikiingia chumba cha upasuaji,nasumbuliwa na uvimbe kwenye utumbo mpana.

Tafadhali naombeni maombi yenu wana MMU wote mwenyezi Mungu awe nami,maneno yenu ni faraja na uponyaji tosha kwangu.
Mungu awabariki.

mmmmh pole sana mungu akutangulie
 
Back
Top Bottom