Tafadhali soma hapa.....

Tafadhali soma hapa.....

Pole dada Mungu akutangulie na akutetee
 
Allah akupe shifaa ya mapema na akuponye in shaa allah
 
Habari za asubuhi wana MMU,
Muda mfupi ujao nitakuwa nikiingia chumba cha upasuaji,nasumbuliwa na uvimbe kwenye utumbo mpana.

Tafadhali naombeni maombi yenu wana MMU wote mwenyezi Mungu awe nami,maneno yenu ni faraja na uponyaji tosha kwangu.
Mungu awabariki.

Ni maombi yangu Yesu akutetee utoke salama
 
Habari za asubuhi wana MMU,
Muda mfupi ujao nitakuwa nikiingia chumba cha upasuaji,nasumbuliwa na uvimbe kwenye utumbo mpana.

Tafadhali naombeni maombi yenu wana MMU wote mwenyezi Mungu awe nami,maneno yenu ni faraja na uponyaji tosha kwangu.
Mungu awabariki.

Pole sana na nakuombea uzima. Mungu akubariki
 
Habari za asubuhi wana MMU,
Muda mfupi ujao nitakuwa nikiingia chumba cha upasuaji,nasumbuliwa na uvimbe kwenye utumbo mpana.

Tafadhali naombeni maombi yenu wana MMU wote mwenyezi Mungu awe nami,maneno yenu ni faraja na uponyaji tosha kwangu.
Mungu awabariki.

Mungu akutangulie, Mungu akawe ndie daktari wako mkuu kupitia madaktari,Mungu awe nawe mpendwa.
 
Asanteni sana kwa dua na sala zenu na sasa ndo naingia chumba cha upasuaji,nimefarijika sana na kujiona niko kama na watu maelfu ,kwa kweli mmenipa moyo sana maana nilikuwa very stressed. Mungu awabariki sana na muendelee kuniombea.
 
Pole sana mkuu Bwana akafanikishe salama op.na akupe kupona kidonda haraka"......nitakurudishia afya asema Bwana wa Majeshi"
 
Asanteni sana kwa dua na sala zenu na sasa ndo naingia chumba cha upasuaji,nimefarijika sana na kujiona niko kama na watu maelfu ,kwa kweli mmenipa moyo sana maana nilikuwa very stressed. Mungu awabariki sana na muendelee kuniombea.

Tayari niko nakuombea usihofu ni jeshi kubwa liko nyuma yako nikiwemo na mimi"......ombeni nanyi mtapewa"

 
Back
Top Bottom