BOMBAY
JF-Expert Member
- Apr 16, 2014
- 4,744
- 3,544
Nimefurahi sana mkuu
Always ni great thinkers......,bahati mbaya kimeo hiki hakina kitufe cha like.
Always ni great thinkers......,bahati mbaya kimeo hiki hakina kitufe cha like.
hahahahahaha!! Babu Asprin umeniacha hoi! Kidonda kitafumuka bure! !!!
Ameen! Ameen! AMINAAAAA!!!!!
Dah! Bahati mbaya hiki kimeo hakina kitufe cha like ningekupa like mia.
Hapa sijui unamzungumzia Yesu gani anayetumikiwa na huyu mwizi wa wake za watu.
Namshukuru Mungu naendelea vizuri,ni maumivu madogo tu ya kidonda.
Kicheko chako ni furaha yangu na kilio kwa bakteria. Endelea kucheka bakteria wacheze mbali na kidonda chako kitakatifu kisicho na hatia.
Asante sana yaani leo umefanya siku yangu iwe mwaaa!!
Kidonda kisicho na hatia? Hapa umeniacha njia panda,kumbe kuna vidonda vyenye hatia??
Habari za asubuhi wana MMU,
Muda mfupi ujao nitakuwa nikiingia chumba cha upasuaji,nasumbuliwa na uvimbe kwenye utumbo mpana.
Tafadhali naombeni maombi yenu wana MMU wote mwenyezi Mungu awe nami,maneno yenu ni faraja na uponyaji tosha kwangu.
Mungu awabariki.
Nawashukuru sana kwa Maombi yenu,operation ilienda vizur kabisa na nimeruhusiwa kutoka hospital sasa niko nyumbani nikijiuguza kidonda, Namshukuru Mungu kwa uzima alionipatia hakika ni mwema na kama mlivyoomba hakika alinipatia wepesi sana na ninaendelea vizuri sana.
MUNGU AWABARIKI SANA hakika mlinitia moyo sina lugha nzuri ya kuongea ila Mwenyezi Mungu awakumbuke katika kila mnalolihitaji.
Nokia83 utafiti Kongosho mdesi Blue G Magembeh miss chagga mwekundu Dannycage Leomimi Evelyn Salt Eiyer mpuko badiebey The Boss shahnaz Ennie NAMTUMBA Mbimbinho Straight corner magombe junior kijani11 Khantwe(samahan kwa kukuita kaka) Daddo google helper xiexie mtzmweusi LexAid Kichwa Ndio Mtu ng'wana ong'wa kulwa NI MTAZAMO TU neggirl Sizinga enhance miss neddy Ablessed Zamiluni Zamiluni thinky ndiga usiniguse gfsonwin na hips.com(mistari mliyonipatia ilinipa nguvu sana)