Tafadhali soma hapa.....

Tafadhali soma hapa.....

Naomba nimtetee hapa,shemeji yangu Mentor kaokoka kabisaaa,sasahivi anapiga injili kwa sana tu,hayumo tena kwenye #team bazazi,usishangae siku moja yupo jukwaani pale jangwani akimtangaza Yesu. Babu Asprin kijana wako sasahivi ni mpya kabisa ni Mentor wa Yesu.

Hapa sijui unamzungumzia Yesu gani anayetumikiwa na huyu mwizi wa wake za watu.
 
Last edited by a moderator:
hahahahahaha!! Babu Asprin umeniacha hoi! Kidonda kitafumuka bure! !!!

Ameen! Ameen! AMINAAAAA!!!!!
Dah! Bahati mbaya hiki kimeo hakina kitufe cha like ningekupa like mia.

Kicheko chako ni furaha yangu na kilio kwa bakteria. Endelea kucheka bakteria wacheze mbali na kidonda chako kitakatifu kisicho na hatia.
 
Last edited by a moderator:
Hapa sijui unamzungumzia Yesu gani anayetumikiwa na huyu mwizi wa wake za watu.

ha! Amebadilika sasahivi ya kale yamepita tazama sasa ni mapya,ngoja nimuite... Mentor njoo pande hizi umthibitishie babu kwamba sasahivi wewe umeokoka na hauna tena mambo mabaya.
 
Last edited by a moderator:
Kicheko chako ni furaha yangu na kilio kwa bakteria. Endelea kucheka bakteria wacheze mbali na kidonda chako kitakatifu kisicho na hatia.

Asante sana yaani leo umefanya siku yangu iwe mwaaa!!
Kidonda kisicho na hatia? Hapa umeniacha njia panda,kumbe kuna vidonda vyenye hatia??
 
Tunafurahi unaendelea vizuri,i wish you a fast recovery ,get well soon
 
Asante sana yaani leo umefanya siku yangu iwe mwaaa!!
Kidonda kisicho na hatia? Hapa umeniacha njia panda,kumbe kuna vidonda vyenye hatia??

Hebu nambie kwa mfano umetiwa ngeu kwa ugomvi wa kufumaniwa na mme wa mtu. Hicho kidonda kitakuwa na baraka za Roho Mtakatifu?
 
God z greater kaka utapona tu na ukitoka tupe mrejesho.
 
Mungu atasimama upande wako mambo yataenda sawia


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hebu nambie kwa mfano umetiwa ngeu kwa ugomvi wa kufumaniwa na mme wa mtu. Hicho kidonda kitakuwa na baraka za Roho Mtakatifu?

loh! Babu una hekima sana,sasa nimekuelewa
 
Habari za asubuhi wana MMU,
Muda mfupi ujao nitakuwa nikiingia chumba cha upasuaji,nasumbuliwa na uvimbe kwenye utumbo mpana.

Tafadhali naombeni maombi yenu wana MMU wote mwenyezi Mungu awe nami,maneno yenu ni faraja na uponyaji tosha kwangu.
Mungu awabariki.

pole sana. ugua pole
 
Nawashukuru sana kwa Maombi yenu,operation ilienda vizur kabisa na nimeruhusiwa kutoka hospital sasa niko nyumbani nikijiuguza kidonda, Namshukuru Mungu kwa uzima alionipatia hakika ni mwema na kama mlivyoomba hakika alinipatia wepesi sana na ninaendelea vizuri sana.

MUNGU AWABARIKI SANA hakika mlinitia moyo sina lugha nzuri ya kuongea ila Mwenyezi Mungu awakumbuke katika kila mnalolihitaji.

Nokia83 utafiti Kongosho mdesi Blue G Magembeh miss chagga mwekundu Dannycage Leomimi Evelyn Salt Eiyer mpuko badiebey The Boss shahnaz Ennie NAMTUMBA Mbimbinho Straight corner magombe junior kijani11 Khantwe(samahan kwa kukuita kaka) Daddo google helper xiexie mtzmweusi LexAid Kichwa Ndio Mtu ng'wana ong'wa kulwa NI MTAZAMO TU neggirl Sizinga enhance miss neddy Ablessed Zamiluni Zamiluni thinky ndiga usiniguse gfsonwin na hips.com(mistari mliyonipatia ilinipa nguvu sana)


Get well soon!:violin::violin:
 
Back
Top Bottom