Tafadhali Serikali uzeni mahindi Kenya, sio unga

Tafadhali Serikali uzeni mahindi Kenya, sio unga

unadhani biashara ya kimataifa inafanywa kama unavuouza maharagwe soko la kariakoo?
Ndio maana amemtaja mpaka kabudi kwa sababu ndio waziri wa mambo ya nje na ni wajibu wake kuchangamkia fursa za nje
 
Jamani haya masuala ya kulazimisha kuuza Unga yatasababisha bei ya Mahindi iporomoke kama waKenya watagoma kulazimishwa kununua Unga wakati wao wanataka Mahindi

Acha wanunue tu hayo Mahindi kigezo cha kusema wao watafaidika na pumba wakati kuna pumba ya ngano wanayoweza kuimport kwa makontena mengi toka nje tutachemka

Mwaka huu afadhali bei ya Mahindi imekuwa nzuri, itaporomoka hawa viongozi watakapojifanya viburi jeuri baadae waanze kutupiana mpira kama kawaida yao mambo yakichacha
 
Wakenya wengi wananua mahindi na kuyasaga mashine za jirani bila kukoboa.Dona linalika Kenya zaidi ya sembe. Bashe go back to drawing board.
 
Jamani haya masuala ya kulazimisha kuuza Unga yatasababisha bei ya Mahindi iporomoke kama waKenya watagoma kulazimishwa kununua Unga wakati wao wanataka Mahindi

Acha wanunue tu hayo Mahindi kigezo cha kusema wao watafaidika na pumba wakati kuna pumba ya ngano wanayoweza kuimport kwa makontena mengi toka nje tutachemka

Mwaka huu afadhali bei ya Mahindi imekuwa nzuri, itaporomoka hawa viongozi watakapojifanya viburi jeuri baadae waanze kutupiana mpira kama kawaida yao mambo yakichacha
Ni kweli, na Kenya ikithibitika tu hawanunui lazima bei itatikisika kwa kushuka, wao awajali, tunakubali mmethubutu kumshawishi anunue unga, imeshindikana, basi uzeni mahindi, acheni kiburi, kutojali, liwalo na liwe, hayo mambo ya kizamani.
 
Kwani waziri Bashe amesemaje..!!??
Hawa nao wakipata madaraka maono yao upotea, ni jambo ambalo kama mfanyabiasha nilitegemea alifanyie kazi kwa kuwaelimisha wenzake sio hadi dili lipotee, na kama asikilizwi ni bora akae pembeni, kwa kuwa wapo wengi wasio na mchango au mawazo mbadala huko.
 
Kabudi na Bashe wachangamkie fursa ya Mahindi Iran. Kwasababu Iran sasa hivi inasitisha kununua mahindi, nyama (beef) na soya kutoka Brazil baada ya Brazil kushikilia meli zake mbili.

Waende Iran siyo kukodoakodoa mimacho na kusifusifu kutolowa jalalani
Bonge ya wazo Lakini Serikali ya Magufuli imewawekea vikwazo waIran kuja Tanzania. No longer visa on arrival
 
Ukiona bei inapanda nenda ukalime boss, sio kuwalalia wakulima. Mko maofisini mnapanga bei ya mazao ya wakulima, nyie mnaishia kuota vitambi huku wakulima wanateseka.
Kaka nafikiri hukinifahamu. Hela haina maana kukiwa na upungufu wa chakula. E.g. Kuna kipindi Zimbabwe ilikuwa hakuna mkate hata kwa US$100 huupati, mtu anakwambia kaa na hela yako.

Ninachosema mimi ni kuwa kama nchi tunatakiwa tujipange kwa uzalishaji wa ku export. Sio uzalishaji wa sasa kama ni matumizi ya ndani halafu ghafla tuamue ku export. Watakaoathirika ni wengi sana itakapokuwa kg ya mahindi iko Tshs2500. Halafu exportation ni kama uteja wa unga. Wakulima watauza mpaka chakula chao kwa kutegemea pesa. Matokeo yake watu watakimbilia kwenye mazao mengine kama mchele, ndizi, viazi vitamu, mihogo, vyote hivyo vitapanda bei na vitakuwa havikamatiki. Be careful what you wish for!
 
Gharama za kusafirisha gunia la mahindi kutoka Tanzania hadi Irani ni Kiasi gani na muda gani unatumika baharani?
Kabudi na Bashe wachangamkie fursa ya Mahindi Iran. Kwasababu Iran sasa hivi inasitisha kununua mahindi, nyama (beef) na soya kutoka Brazil baada ya Brazil kushikilia meli zake mbili.

Waende Iran siyo kukodoakodoa mimacho na kusifusifu kutolowa jalalani
 
Ni kweli, na Kenya ikithibitika tu hawanunui lazima bei itatikisika kwa kushuka, wao awajali, tunakubali mmethubutu kumshawishi anunue unga, imeshindikana, basi uzeni mahindi, acheni kiburi, kutojali, liwalo na liwe, hayo mambo ya kizamani.

Viongozi wetu inatakiwa wafikiri kwa mapana kwenye suala hili

Mahindi yanaamua sana kuhusu vipato vya wengi nami nikiwa mmojawapo
 
Kaka nafikiri hukinifahamu. Hela haina maana kukiwa na upungufu wa chakula. E.g. Kuna kipindi Zimbabwe ilikuwa hakuna mkate hata kwa US$100 huupati, mtu anakwambia kaa na hela yako.

Ninachosema mimi ni kuwa kama nchi tunatakiwa tujipange kwa uzalishaji wa ku export. Sio uzalishaji wa sasa kama ni matumizi ya ndani halafu ghafla tuamue ku export. Watakaoathirika ni wengi sana itakapokuwa kg ya mahindi iko Tshs2500. Halafu exportation ni kama uteja wa unga. Wakulima watauza mpaka chakula chao kwa kutegemea pesa. Matokeo yake watu watakimbilia kwenye mazao mengine kama mchele, ndizi, viazi vitamu, mihogo, vyote hivyo vitapanda bei na vitakuwa havikamatiki. Be careful what you wish for!
Kwa hiyo wakulima wa nchi hii umewageuza kuwa bima yako ya chakula? Wacha vipande na wakulima nao wafaidi keki ya taifa.
 
Kaka nafikiri hukinifahamu. Hela haina maana kukiwa na upungufu wa chakula. E.g. Kuna kipindi Zimbabwe ilikuwa hakuna mkate hata kwa US$100 huupati, mtu anakwambia kaa na hela yako.

Ninachosema mimi ni kuwa kama nchi tunatakiwa tujipange kwa uzalishaji wa ku export. Sio uzalishaji wa sasa kama ni matumizi ya ndani halafu ghafla tuamue ku export. Watakaoathirika ni wengi sana itakapokuwa kg ya mahindi iko Tshs2500. Halafu exportation ni kama uteja wa unga. Wakulima watauza mpaka chakula chao kwa kutegemea pesa. Matokeo yake watu watakimbilia kwenye mazao mengine kama mchele, ndizi, viazi vitamu, mihogo, vyote hivyo vitapanda bei na vitakuwa havikamatiki. Be careful what you wish for!
Hii ndo point, mwisho wa siku wataanza kuililia serikali iwaletee chakula. Kumbuka uzalishaji wa mahindi mwaka huu ni hafifu saana baada ya maeneo mengi kukosa mvua.
 
Kwa hiyo wakulima wa nchi hii umewageuza kuwa bima yako ya chakula? Wacha vipande na wakulima nao wafaidi keki ya taifa.
Kwa hiyo na mimi daktari ndio wamenigeuza bima yao ya nini?

Wacha majibu ya kina James Delicious hayo! Katika kujenga taifa kila mmoja ana umuhimu wake na lazima wajitolee kwa kiasi fulani. Kwa hiyo na madaktari na wao waombe ajali ziwe nyingi ili wapate majeruhi wa kuwatibu wapige hela? Kama ni hela basi tungezalisha bangi tukauza Holland na nchi zilizoruhusu bila kuathiri jamii yetu kwa utapia mlo. Huwezi kuuza chakula nje wakati wananchi wako wanafanya kazi hand to mouth!
 
Back
Top Bottom