Tafadhali Serikali uzeni mahindi Kenya, sio unga

Tafadhali Serikali uzeni mahindi Kenya, sio unga

Good point. Kulazimisha wakenya wanunue unga badala ya mahindi, huo ni Ubeberu.
Pia hii inamnyonya mkulima. Mkulima akiuza mahindi kwenye soko la nje hupata pesa mingi kuliko akiuza mahindi kwenye viwanda ambavyo husaga unga na ku export.
Ni jambo la ajabu kuwalazimisha wote eti wale ugali au uji.
 
Any processed food add value. Its a good strategy. Do analysis before creating threads like this. I hope you are not one of those from the other side opposing everything good the government doing to the Tzs. Think selling unprocessed/ processed cashewnut where there is more money?

Back to maize after processing there is animal feeds.
Be wise, you can't force anyone to take things she/he didn't like, because your country want to create employment and maximize profits.
And youthink every thing that government is done is good for tzs, l don't think so, l have to express my views, especially those which touchs my daily life.
 
Wakulima wa mahindi wanapenda wapate soko la mazao yao. Ila iwapo kutakuwa na vikwazo vingi kama lazima mauzo ya nje yawe unga, ushuru na tozo mbali mbali, matokeo yake, biashara ya nje itashindikana, hivyo kukosa soko jumla, mnatuumiza sana.

Ni kwanini ulazimishe unga, kama wao wanapenda kande inakuwaje. Pia ifahamike, unga unaharibika mapema kuliko mahindi, Mahindi yataendelea kulimwa kwa wingi tu, iwapo yataendelea kupata soko la uhakika.

Kwa kweli sijui kwa nini hamjifunzi makosa ya kuingilia mazao kama kwanye korosho, hadi leo baadhi ya watu hawalipwa korosho, na hata waliosafirisha korosho kutoka vyama vya msingi hadi maghala ya mnada baadhi wamepata malipo theluthi ya madai yao.

Mimi nikiwa mkulima sipendi uingiliaji huo, na sijali habari ya misifa ya sgr, ndege, bwawa la umeme wala elimu bure, na nawaangalia tu akina Mpoto misifa kibao, sisi huku sijui kwanini na asimwambie atulipe ndio aendelee na sifa zake.
Kama sera kila kitu ni kupinga basi Wapinzani mlipofikia ndo maana watu wanawaita malofa na wapumbavu kwa staili mlipofikia
 
Nashukuru sana kunifananisha na watu wanaowasumbua sana kwa wakati wa sasa
Mpoto ananikera kweli sifa nyingi wakati sisi tunadai, Musiba haniumizi kichwa kabisa, yeye anashambulia watu waliokuwa chini ya watu, ni mjinga anafikiri hao bila wakubwa wake wanaweza kuuza TV au kampuni ya simu, ni mwoga tu anapaswa kupiga kichwa kama anataka kuuwa nyoka.
 
Mahindi ni mali ghafi ambayo unaweza kuzalisha.
1. Unga wa Sembe
2. Unga wa dona
3. Pumba
4. Mafuta
5. Makande
6. Maize grits au chenga chenga kwa ajili ya kuzalisha bia
7. Maize grits kwa ajili ya chakula cha wanyama/kuku
8. Pombe za kienyeji.

Kwa maana hiyo, ukimpelekea mtu unga unakuwa umenyima kupata vitu vingine 7.
Katika biashara kitu kinachotawala ni 'demand and supply'. Na katika hili anayetawala ni 'demand'.
Sisi ni supplier kwa nini tunataka kumtawala demand?
Rais Uhuru Kenyata yuko Zambia sasa na Inchi hii ni wazalishaji wakubwa wa mahindi.
Je tunajua amefuata nini kule isije kuwa katema masharti magumu ya Tanzania kumuuzia chakula.
Kuna wakati tulipotofautiana na Kenya kwa kuzuia nafaka za Tanzania kwenda Kenya, mahindi yalikuwa yanaenda Kenya toka Zambia kupitia Uganda.
Rais wetu Mheshimiwa Makufuli ni msikivu sana hasa anapoambiwa kuwa swala Fulani lina tija kubwa kwa watu wake.
Mara nyingi washauri wake wanaupeo mdogo kuhusu mambo ya biashara. Zaidi humpa ushauri kuhusu usalama wa Chakula ambacho ni kigezo kinachodumaza kuendelezwa kwa zao la mahindi kwa kuliweka kama zao la chakula tu badala ya kuliweka kama zao la biashara.
Serikala inaunda wakala mbali mbali kwa ajili ya kushughulia zao moja tu la mahindi bila kuangalia kuliendeleza kwa kuzalisha zaidi.
1. Kuna Wakala wa hifadhi ya chakula wa Taifa (NFRA).
2. Kuna bodi ya nafaka na mazao mchanganyiko.
3. Kuna vyama vya Ushirika.
4. Kuna SACCOS mbali mbali.
5. Wizara ya Kilimo
6. NGOS Mbali mbali
7. Halmashauri na masnipaa za miji
8. Serikali za Kijiji
Vyombo vyote hivi ni mzigo na urasimu kwa Serikali makini.
Chompo za kushughulikia nafaka kinatakiwa kiwe kimoja na kiwe na mikakati endelevu kuhakikisha kuwa mkulima analima sana na nafaka zake zinanunuliwa kwa pesa tasimu na si kupewa stakabadhi.
Tuusiige Inchi tajiri ambazo wakulima huikopesha Serikali mbali tujue kuwa wakulima wetu ni maskini na wanahitaji kukopeshwa na si kukopwa.
 
Hahaha wakulima kama walimu malalamiko hayaishi.
Wakulima ni wengi na walimu ni wengi pia, usumbufu mnaoleta kwao kujifanya mnawatete huku mkiaribu masoko yao na kutopata stahiki zao, hawawezi kaa kimya.
 
Wakulima wa mahindi wanapenda wapate soko la mazao yao. Ila iwapo kutakuwa na vikwazo vingi kama lazima mauzo ya nje yawe unga, ushuru na tozo mbali mbali, matokeo yake, biashara ya nje itashindikana, hivyo kukosa soko jumla, mnatuumiza sana.

Ni kwanini ulazimishe unga, kama wao wanapenda kande inakuwaje. Pia ifahamike, unga unaharibika mapema kuliko mahindi, Mahindi yataendelea kulimwa kwa wingi tu, iwapo yataendelea kupata soko la uhakika.

Kwa kweli sijui kwa nini hamjifunzi makosa ya kuingilia mazao kama kwanye korosho, hadi leo baadhi ya watu hawalipwa korosho, na hata waliosafirisha korosho kutoka vyama vya msingi hadi maghala ya mnada baadhi wamepata malipo theluthi ya madai yao.

Mimi nikiwa mkulima sipendi uingiliaji huo, na sijali habari ya misifa ya sgr, ndege, bwawa la umeme wala elimu bure, na nawaangalia tu akina Mpoto misifa kibao, sisi huku sijui kwanini na asimwambie atulipe ndio aendelee na sifa zake.

Hawana mahindi yoyote ya kuuza nje. Wala usipoteze muda wako boss kutoa ushauri
 
Any processed food add value. Its a good strategy. Do analysis before creating threads like this. I hope you are not one of those from the other side opposing everything good the government doing to the Tzs. Think selling unprocessed/ processed cashewnut where there is more money?

Back to maize after processing there is animal feeds.
Unaambiwa wakenya wanataka mahindi na siyo unga. Wewe unajidai na kiingereza chako cha Ras simba hapa
 
Wakulima ni wengi na walimu ni wengi pia, usumbufu mnaoleta kwao kujifanya mnawatete huku mkiaribu masoko yao na kutopata stahiki zao, hawawezi kaa kimya.
Hahaha kilimo na ualimu ni utumwa wa kujitakia, waache wafanye biashara. Watalia mpaka kiama. Magufuli ni mwalimu alikimbia akaingia kwenye siasa, aliishasema tafuteni suluhu ya matatizo yenu, muache kulialia. Yeye aliacha kulialia aka solve tatizo lake permanently, nyie mnangoja aje awatatulie matatizo yenu?! Hahaha mtalia sana.
 
Chonde chonde jamani! Bei ya unga wa sembe itakuja kufika sh2000+ hapa tuje tutafute mchawi ni nani?

Biashara ya kuexport bidhaa nje inataka tujipange katika uzalishaji na kudhibiti kiwango cha matumizi ya ndani itosheleze bila ya kumuathiri mlaji kutokana na mripuko wa bei. Tanzania bado hatijajipanga uzalishaji wa ku export na tukilazimisha kutakuwa na mripuko wa bei na tushindwe kumiliki hata mlo mmoja kwa siku
Wacha uoga mkuu
 
Any processed food add value. Its a good strategy. Do analysis before creating threads like this. I hope you are not one of those from the other side opposing everything good the government doing to the Tzs. Think selling unprocessed/ processed cashewnut where there is more money?

Back to maize after processing there is animal feeds.

Unaongea kiingereza cha kipuuzi, kisha unakuta huna hata gunia moja la mahindi. Huu ujinga mnautoa wapi wandugu?
 
Mpoto ananikera kweli sifa nyingi wakati sisi tunadai, Musiba haniumizi kichwa kabisa, yeye anashambulia watu waliokuwa chini ya watu, ni mjinga anafikiri hao bila wakubwa wake wanaweza kuuza TV au kampuni ya simu, ni mwoga tu anapaswa kupiga kichwa kama anataka kuuwa nyoka.
Hapo kwenyewe kuandika mineno yote hio ameshakusumbua
 
Kama sera kila kitu ni kupinga basi Wapinzani mlipofikia ndo maana watu wanawaita malofa na wapumbavu kwa staili mlipofikia
Siwezi pigia makofi kila kitu bila kutafakari, wewe kwa akili yako ndogo, unataka mahindi ili uanda kande, muuzaji anamahindi anakuambia hapa nakusagia kabisa, utakubali? Utaweza andaa kande kwa unga wa mahindi? Acha ujinga.
 
Chonde chonde jamani! Bei ya unga wa sembe itakuja kufika sh2000+ hapa tuje tutafute mchawi ni nani?

Biashara ya kuexport bidhaa nje inataka tujipange katika uzalishaji na kudhibiti kiwango cha matumizi ya ndani itosheleze bila ya kumuathiri mlaji kutokana na mripuko wa bei. Tanzania bado hatijajipanga uzalishaji wa ku export na tukilazimisha kutakuwa na mripuko wa bei na tushindwe kumiliki hata mlo mmoja kwa siku

Ukiona bei inapanda nenda ukalime boss, sio kuwalalia wakulima. Mko maofisini mnapanga bei ya mazao ya wakulima, nyie mnaishia kuota vitambi huku wakulima wanateseka.
 
Ikitokea demand kubwa tutalima zaidi wakulima ndo wataneemeka
Hili la kuuza mahindi Kenya badala ya unga naunga mkono.Kenya hoteli nyingi Mashule na wenyeji hula Sana githeri yaani kande.Kuwapelekea unga tutawaonea.Afrika mashariki nzima hakuna nchi wanakula kande Kama wakenya
 
Kabudi na Bashe wachangamkie fursa ya Mahindi Iran. Kwasababu Iran sasa hivi inasitisha kununua mahindi, nyama (beef) na soya kutoka Brazil baada ya Brazil kushikilia meli zake mbili.

Waende Iran siyo kukodoakodoa mimacho na kusifusifu kutolowa jalalani


Ushauri mzuri sana, Tena Bashe ana uwezo wa ku connect kirahisi na IRAN, kwani Bosi wake ndiye sponsor wa mambo ya serekali ya Iran hapa TZ. hata ule mtambo wa gesi, Investment ilikuwa ya wa Irani kabla hajawauzia Hisia Australia compnay.
 
Back
Top Bottom