mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
CAG ni mcha Mungu sana ana mbwembwe ukikutana naye anapokuwa anatoka maikitini uwezi amini kama ni yule kichwa mwenye CV ya kurasa 14. Anamwamini sana Mungu hivyo tusiwe na wasiwasi na visokoeokwino kumfanyia chochote. Hata Utoh anamwamini sana yeye chakula yake ni sala tuu