Atembee akajifunze sio kujifungia ndani tuAnatamani atudhibiti kama China mtu wa ajabu sana.
Lini alimteua?Alimteua hadharani na sio chumbani kwa hiyo lazima aulizwe hadharani. Over
IgnoredLini alimteua?
KabisaHuu mchezo hautaji hasira........
Je akiteuliwa kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza akatae ?Habari wakuu.
Pamoja na yote unayokumbana nayo ktk kazi yako. Tafadhali CAG usijiuzulu.
Kitendo cha leo ulichofanyiwa ikulu mbele ya vyombo vya usalama na umma najua kimekuudhi sana.
Ila nakuomba sana usijiuzulu. Ukikosea ukafanya hivyo itakuwa Sherehe kubwa sana kwa fisadi mkuu jiwe. Hilo ndio lengo lake.
Wewe tulia pamoja na visa vyote anavyokufanyia hadharani na sirini.
Ukweli watu wameujua.
Namba hazijibiwi na porojo au vitisho na ubabe..
Swali uliloulizwa umejibu sahihi kabisa.
Ni sawa na mtu aniulize leo. Eti Ben Saanane ameuwawa. Jibu ni Hapana.
Maelezo yake ndo HAJULIKANI ALIPO.
Bado tunasema serikali iseme ipo wapi trillion 1.5?!!!
Kazi ya CAG sio ya ukibaraka, ila RAS ni kibaraka. Lakini ili ateuliwe RAS lazima atenguliwe CAG...sasa hio haiwezekani labda wampyu pyu pyu...Je akiteuliwa kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza akatae ?
Hiyo hapo in pdfNina shida na report ya CAG...NAIPATAJE?
Stupidity’s not a crime, so feel free to go.Alimteua hadharani na sio chumbani kwa hiyo lazima aulizwe hadharani. Over
Fulk ass, go evacuateStupidity’s not a crime, so feel free to go.
I mean FULL assStupidity’s not a crime, so feel free to go.
Ignored tooStupidity’s not a crime, so feel free to go.
Umesoma ripoti yote ya CAG kweli??Acheni unafiki nyie.
Ni juzi tu Zitto alikuwa anaranda nchi nzima KUMLISHA CAG maneno ya uongo, eti ametoa hati chafu kwa serikali.
Sijamsikia mtu yoyote akimuonea huruma CAG na kumsihi asijiuzuru kwa kudhalilishwa.
Ukimaanisha nini hapa?Umesoma ripoti yote ya CAG kweli??
Basi unahitaji kusaidiwa yani unahitaji msaada mkubwa wewe...Ukimaanisha nini hapa?
Maana yake ninayo hapa hiyo ripoti. Usilete ule uswahili wa Zitto kuwa eti "isome ripoti ukurasa huu halafu utafakari mwenyewe."
That won't cut it. Hiyo itakuwa kumlisha maneno CAG.
Your ass must be pretty jealous of all the shit that comes out of your mouthFulk ass, go evacuate
Alimteua hadharani na sio chumbani kwa hiyo lazima aulizwe hadharani. Ove
..Hainununliwi Gulioni-Bagonza.HEKIMA