- Thread starter
- #81
Ni kweli. Ila soma hiiingekuwa mimi CAG ningejiudhuru sio tu kwa kusimamishwa bali kwa kudhalilisha u profesa wake,kwa maelezo ya naibu waziri fedha ina manisha CAG hakujua kuwa zile ni recevable! na hakujua kuwa TRA wanatumia mfumo wa accrual basis richa ya kupelekewa nyaraka na serikali na kwa maana hiyo ile report yake yote haina maana na ni takataka
The 10 Worst Accounting Scandals of All Time
Kuna wkt auditors wanakuwa intimadated kuficha ukweli ila baada ya miaka ukweli unakuja hadharani