LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,507
Hahahah kujiuzulu angefanya hivo akiwa mgeni 2014 saivi ni ngumu mnoo...Kwa kudhalilishwa kulikotokea leo anaweza kabisa kuamua kubwaga manyanga jiwe atafurahi sana hilo likitokea kwani ni nafasi ya kupewa kikaragosi chake ambacho hakitaandika chochote kibaya dhidi ya hili genge la wahuni na majizi wanaojichotea trillions hazina bila idhini ya Bunge.