Tafadhali CAG usijiuzulu

Tafadhali CAG usijiuzulu

Kama mifumo iko vizuri na inafanya kazi kwa sheria, kanuni na taratibu bila kuvunja katiba ya nchi, sioni sababu ya kuulizana maswali kama mko darasani kwa lengo la kupata publicity, if you act smart jamii itakuelewa tu, hauna haja ya kuuliza maswali ya kutafuta sympathy kwa wananchi, shukrani!
 
Mimi nina wasiwasi huo pia Mkuu, baada ya kudhalilishwa leo hadharani hataona umuhimu wa kuendelea kuwepo na akiondoka kitaletwa kikaragosi cha jiwe ambacho hakitagusa ovu lolote lile bali kula bata zake kimya kimya. Angalia TAKUKURU! Pale hakuna chochote cha maana kinachoendelea zaidi ya kutafuna mabilioni ya walipa kodi.

CAG najua huwa unapita humu nami nakuomba sana usijiuzulu Taifa linakuhitaji kuliko wakati mwingine wowote ili kupambana na maovu chungu nzima ndani ya hii Serikali na taasisi zake mbali mbali.


Habari wakuu.

Pamoja na yote unayokumbana nayo ktk kazi yako. Tafadhali CAG usijiuzulu.
Kitendo cha leo ulichofanyiwa ikulu mbele ya vyombo vya usalama na umma najua kimekuudhi sana.

Ila nakuomba sana usijiuzulu. Ukikosea ukafanya hivyo itakuwa Sherehe kubwa sana kwa fisadi mkuu jiwe. Hilo ndio lengo lake.

Wewe tulia pamoja na visa vyote anavyokufanyia hadharani na sirini.

Ukweli watu wameujua.

Namba hazijibiwi na porojo au vitisho na ubabe..

Swali uliloulizwa umejibu sahihi kabisa.
Ni sawa na mtu aniulize leo. Eti Ben Saanane ameuwawa. Jibu ni Hapana.
Maelezo yake ndo HAJULIKANI ALIPO.

Bado tunasema serikali iseme ipo wapi trillion 1.5?!!!
 
Nakumbuka tukivyokuwa shule ya msingi nilifanya tendo la baba na mama na binti mmoja wa darasa langu. Kwa sababu ya utoto nikaenda kuwahadithia ile habari wenzangu darasani. Habari zikamfikia yule binti. Yule binti alivyopata habari akaniita mimi na wenzangu wote pamoja na marafiki zake. Akanisimamisha akaniuliza mbele ya watu wote, "Eti wewe umesema kuwa mimi na wewe tumefanya tendo la baba na mama?". Mimi katika yale mazingira na kwa utashi wangu nikasema "Hapana hatujafanya". Nikakaa. Lakini kiukweli tulikuwa tumelifanya lile tendo.
 
Nakumbuka tukivyokuwa shule ya msingi nilifanya tendo la baba na mama na binti mmoja wa darasa langu. Kwa sababu ya utoto nikaenda kuwahadithia ile habari wenzangu darasani. Habari zikamfikia yule binti. Yule binti alivyopata habari akaniita mimi na wenzangu wote pamoja na marafiki zake. Akanisimamisha akaniuliza mbele ya watu wote, "Eti wewe umesema kuwa mimi na wewe tumefanya tendo la baba na mama?". Mimi katika yale mazingira na kwa utashi wangu nikasema "Hapana hatujafanya". Nikakaa. Lakini kiukweli tulikuwa tumelifanya lile tendo.
Duh!
 
Mimi nina wasiwasi huo pia Mkuu, baada ya kudhalilishwa leo hadharani hataona umuhimu wa kuendelea kuwepo na akiondoka kitaletwa kikaragosi cha jiwe ambacho hakitagusa ovu lolote lile bali kula bata zake kimya kimya. Angalia TAKUKURU! Pale hakuna chochote cha maana kinachoendelea zaidi ya kutafuna mabilioni ya walipa kodi.

CAG najua huwa unapita humu nami nakuomba sana usijiuzulu Taifa linakuhitaji kuliko wakati mwingine wowote ili kupambana na maovu chungu nzima ndani ya hii Serikali na taasisi zake mbali mbali.
Wewe unafikiri hata asipojiudhuru atafanya kazi kawaida kama mwanzo?
 
ingekuwa mimi CAG ningejiudhuru sio tu kwa kusimamishwa bali kwa kudhalilisha u profesa wake,kwa maelezo ya naibu waziri fedha ina manisha CAG hakujua kuwa zile ni recevable! na hakujua kuwa TRA wanatumia mfumo wa accrual basis richa ya kupelekewa nyaraka na serikali na kwa maana hiyo ile report yake yote haina maana na ni takataka
*ningejiuzulu
*licha

Yawezekana alijua ndo mana hakuona kama kuna issue pale..ile tuendelee kuangalia hili picha mana Zitto kashajibu
 
Mimi nina wasiwasi huo pia Mkuu, baada ya kudhalilishwa leo hadharani hataona umuhimu wa kuendelea kuwepo na akiondoka kitaletwa kikaragosi cha jiwe ambacho hakitagusa ovu lolote lile bali kula bata zake kimya kimya. Angalia TAKUKURU! Pale hakuna chochote cha maana kinachoendelea zaidi ya kutafuna mabilioni ya walipa kodi.

CAG najua huwa unapita humu nami nakuomba sana usijiuzulu Taifa linakuhitaji kuliko wakati mwingine wowote ili kupambana na maovu chungu nzima ndani ya hii Serikali na taasisi zake mbali mbali.
Hivi hii ni ishu ya Prof kujiuzulu?.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Eti "china google haiko huru".sasa kwani sisi wachina?

Yeye kipimo chake cha maendeleo na demokrasia ni China, sisi wengine kipimo chetu ni US maana hao wana maendeleo na demokrasia kubwa kuliko China.
 
Kama mifumo iko vizuri na inafanya kazi kwa sheria, kanuni na taratibu bila kuvunja katiba ya nchi, sioni sababu ya kuulizana maswali kama mko darasani kwa lengo la kupata publicity, if you act smart jamii itakuelewa tu, hauna haja ya kuuliza maswali ya kutafuta sympathy kwa wananchi, shukrani!
Nimeshangaa sana Mkuu yaani nimeshangaa mno tunashida kubwa sana.
 
Kwa kudhalilishwa kulikotokea leo anaweza kabisa kuamua kubwaga manyanga jiwe atafurahi sana hilo likitokea kwani ni nafasi ya kupewa kikaragosi chake ambacho hakitaandika chochote kibaya dhidi ya hili genge la wahuni na majizi wanaojichotea trillions hazina bila idhini ya Bunge.

Hivi hii ni ishu ya Prof kujiuzulu?.
 
Siwezi kubishana na na mtu anae mtumikia kafili aisee mimi najiamini na maisha yangu na huwa naumia sana kuona hii nchi watu waki ishi kwa tabu kwajili ya watu wavhache kama nyie.
Haya ni majibu ya mtu aliepanic na haamini kile kinachotokea sasa. Mnaumbuliwa kweupeeeeee
 
Kama mifumo iko vizuri na inafanya kazi kwa sheria, kanuni na taratibu bila kuvunja katiba ya nchi, sioni sababu ya kuulizana maswali kama mko darasani kwa lengo la kupata publicity, if you act smart jamii itakuelewa tu, hauna haja ya kuuliza maswali ya kutafuta sympathy kwa wananchi, shukrani!
Sikh hizi kila hafla anaita wakuu wa vyombo vya usalama, ili kutisha watu, kulikuwa na ulazima gani CAG kuwepo pale??

kulikuwa na ulazima gani kuongelea mambo yanashugulukiwa na bungeni
 
Back
Top Bottom