johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,979
Nafikiri tukijua dhamana aliyonayo CAG kikatiba pamoja na majukumu yanayomzunguka itatusaidia sana siku za usoni kufanya rejea.
Nauliza swali hili baada ya kukumbuka kuwa wakati fulani katika bunge la mama Makinda mbunge wa ubungo mh JJ Mmyika alidai bungeni kuwa Rais Kikwete ni dhaifu ( ipo tofauti kati ya Rais Kikwete na mh Kikwete). Sikumbuki Mmyika alichukuliwa hatua gani ila ninachofahamu ni kuwa mbunge ana kinga azungumzapo akiwa bungeni.
Kadhalika sikumbuki kama mstaafu Kikwete alitunisha msuli kuwa kadhalilishwa.
Kwa kuwa tupo hapa jamvini kujifunza pia, naomba nijibiwe swali langu tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!
Nauliza swali hili baada ya kukumbuka kuwa wakati fulani katika bunge la mama Makinda mbunge wa ubungo mh JJ Mmyika alidai bungeni kuwa Rais Kikwete ni dhaifu ( ipo tofauti kati ya Rais Kikwete na mh Kikwete). Sikumbuki Mmyika alichukuliwa hatua gani ila ninachofahamu ni kuwa mbunge ana kinga azungumzapo akiwa bungeni.
Kadhalika sikumbuki kama mstaafu Kikwete alitunisha msuli kuwa kadhalilishwa.
Kwa kuwa tupo hapa jamvini kujifunza pia, naomba nijibiwe swali langu tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!