Tafadhali CAG usijiuzulu

Tafadhali CAG usijiuzulu

Alimteua hadharani na sio chumbani kwa hiyo lazima aulizwe hadharani. Over
Alikosea swali,swali lilikuwa:-
Eti sh 1.5 trilion hazijulikani zimefanya kazi gani? Hapo jibu lilikuwa NDIO,bila kupepesa macho.
Swali kama zimeibiwa sio sahihi kwani hakuna anaejua kwa sasa kama zimeibiwa au la zimetumiwa kinyume cha sheria.
 
Alimteua hadharani na sio chumbani kwa hiyo lazima aulizwe hadharani. Over

Utendaji hauendi namna hiyo, namba zinajibiwa kwa namba na maelezo ya kutosha. Tafsiri ya kumsimamisha CAG mbele ya kandamnasi ni kumtisha
 
Acha kupotosha ukweli ndugu changamoto nilazima ili nchi isonge mbele kwa ubabe hakuna kusonga mbele ndugu
 
Habari wakuu.

Pamoja na yote unayokumbana nayo ktk kazi yako. Tafadhali CAG usijiuzulu.
Kitendo cha leo ulichofanyiwa ikulu mbele ya vyombo vya usalama na umma najua kimekuudhi sana.

Ila nakuomba sana usijiuzulu. Ukikosea ukafanya hivyo itakuwa Sherehe kubwa sana kwa fisadi mkuu jiwe. Hilo ndio lengo lake.

Wewe tulia pamoja na visa vyote anavyokufanyia hadharani na sirini.

Ukweli watu wameujua.

Namba hazijibiwi na porojo au vitisho na ubabe..

Swali uliloulizwa umejibu sahihi kabisa.
Ni sawa na mtu aniulize leo. Eti Ben Saanane ameuwawa. Jibu ni Hapana.
Maelezo yake ndo HAJULIKANI ALIPO.

Bado tunasema serikali iseme ipo wapi trillion 1.5?!!!
Ajiudhulu tu, anashindwaje kuhoji ziliko 1.5trilion? Akwende
 
Amemzarau sana CAG.
If that the case mbona hawakumpelekea hayo maelezo mapema!

WAMEVULIWA NGUO......WACHUTAME.
ingekuwa mimi CAG ningejiudhuru sio tu kwa kusimamishwa bali kwa kudhalilisha u profesa wake,kwa maelezo ya naibu waziri fedha ina manisha CAG hakujua kuwa zile ni recevable! na hakujua kuwa TRA wanatumia mfumo wa accrual basis richa ya kupelekewa nyaraka na serikali na kwa maana hiyo ile report yake yote haina maana na ni takataka
 
Alikosea swali,swali lilikuwa:-
Eti sh 1.5 trilion hazijulikani zimefanya kazi gani? Hapo jibu lilikuwa NDIO,bila kupepesa macho.
Swali kama zimeibiwa sio sahihi kwani hakuna anaejua kwa sasa kama zimeibiwa au la zimetumiwa kinyume cha sheria.
 
Hawezi kujiuzulu sababu anafahamu kabisa hakuna chochote kitakachomkuta, ila angekuwa kwenye nchi ya watu wenye akili timamu tayari tungekuwa tulishamsahau kama alikuwa ni CAG
 
Habari wakuu.

Pamoja na yote unayokumbana nayo ktk kazi yako. Tafadhali CAG usijiuzulu.
Kitendo cha leo ulichofanyiwa ikulu mbele ya vyombo vya usalama na umma najua kimekuudhi sana.

Ila nakuomba sana usijiuzulu. Ukikosea ukafanya hivyo itakuwa Sherehe kubwa sana kwa fisadi mkuu jiwe. Hilo ndio lengo lake.

Wewe tulia pamoja na visa vyote anavyokufanyia hadharani na sirini.

Ukweli watu wameujua.

Namba hazijibiwi na porojo au vitisho na ubabe..

Swali uliloulizwa umejibu sahihi kabisa.
Ni sawa na mtu aniulize leo. Eti Ben Saanane ameuwawa. Jibu ni Hapana.
Maelezo yake ndo HAJULIKANI ALIPO.

Bado tunasema serikali iseme ipo wapi trillion 1.5?!!!
Kama wewe ndie uliyemteua basi atajiuzuru,ajiuzuru kwa lipi?kwa hizo habari za akina Zitto au hizi za upuuzi wa mitandaoni.
 
ingekuwa mimi CAG ningejiudhuru sio tu kwa kusimamishwa bali kwa kudhalilisha u profesa wake,kwa maelezo ya naibu waziri fedha ina manisha CAG hakujua kuwa zile ni recevable! na hakujua kuwa TRA wanatumia mfumo wa accrual basis richa ya kupelekewa nyaraka na serikali na kwa maana hiyo ile report yake yote haina maana na ni takataka
Accrue basis taasisi za kiserikali? kuna jambo halipo sawa!
 
Hawa mbwa ccm wanayemfuga huyu mbwa anayeharibu nchi laana ipo juu yao....
 
Back
Top Bottom