Fighter
JF-Expert Member
- Aug 30, 2009
- 615
- 153
umejipangapangaje?,kama unavijecent bora uwekeze,kaka wale mpaka waamue kutoka wenyewe
Kaka only knowlege na pesa kidogo tu, mapori mengi sana tena very fertile !!let we go back bana
umejipangapangaje?,kama unavijecent bora uwekeze,kaka wale mpaka waamue kutoka wenyewe
Kutwa nzima wanakunywa kahawa,kucheza bao,draft.wataendelea saa ngapi?hawa hawapishani na wazaramo!
Nimeishi Tabora mika tisa, kazi kwelikweli!! Hawa watu utafikiri waling'olewa vichwa wakawekewa nazi.
Kaka only knowlege na pesa kidogo tu, mapori mengi sana tena very fertile !!let we go back bana
duuh mmetuchoka kweli
mapori bei rahisi sana balaaa, kwanza bure tu,najipanga
Siyo Lindi tu,mikoa ya kusini yote na vitongoji vyake(ukiiondoa Ruvuma) kulikobaki kote kumeoza na wao ndiyo mtaji mkubwa sanaMkuu Maggid, ya Tabora nakukubalia 100%, nakushauri fika LINDI, unaweza kuukimbia mji ndani ya dakika chache baada ya kuwasili
Wageni kibao wanavamia na kutajirika. Waha sasa hivi wamejazana kuliko hata wachaga. I was home the other month, si groceries, maduka ya dawa hadi mabucha ya nyama ni ya kinaWACHU tu.
Ruzoka katuanzishia chuo, nawashauri hata kama mliacha mapagara, mkarenovate nyumba sasa bei imeanza kuwa juu!
Tukijapanga wenyewe twaweza kuanza kuprocess hata maembe na matunda mengine. Wanzuki yaweza kuboreshwa tukiamua kuibrew kisasa!
There are lots to be done, twahitaji kudare tu.
OYAAAA, Mnyamwezi nimefika kwa sasa.
Kwanza wewe wa Mpwapwa, MSULA EVE. Unatuita sisi Mbwa?
Nimekaa Dodoma sana tu na nilikuwa naona vijana wakija mwaka wa Kwanza pale Mazengo, wakiwa wananuka harufu fulani ambayo unaisikia kabisa ni ya mbuzi. Wembambaa na wamekondeana na wakila kila kinachokatiza.
Wagogo ni kabila pekee wanakula ugali wa pumba. Utawasikia asubuhi wakiulizana "Chikulya Chi?" Na jibu utasikia "Wa mhumba." Sasa binadamu utakulaje ugali wa Pumba jamani? Umekuwa Nguruwe wewe? Nyie endeleeni sana kubeba mizega mizega ya Mikaa huku mnakula miwa yenu. Usiku ukifika, imbeni sana "Myujiyuji, mti wa lulenga, si wakukata zengo."
Nikija kwa ELNINO na Majjid, ntajibu baadaye maana inabidi kukaa na kutulia na siyo kukurupuka.
Kwa aliyeuliza kwa nini USA wanaita Unyamwezini, nafikiri ni kutokana na lile tusi la Mother F...... ambalo ni Wanyamwezi pekee kama sikosei, tuna tusi kama hilo. Kama unafahamu Kinyamwezi, kuna wimbo unaimbwa "Nguluve ikulyaga twingi vayaya........ nani wamleta 'Mt***** Nina/n*oko' tumlye masumule........ Nafikiri Elnino atakuwa anaufahamu zaidi.
Kuhusu Rage, kwa kweli ni makosa ya CCM kumpitisha mtu kama huyu na baadaye wanaweka U-Chama mbele ili ashinde tu CCM na Wanyamwezi acha wazike wafu wenzao.
Makala yangu itafuata jamani........
Duh...Mboka Tabora...sio siri Tabora inahitaji mwamko...WANYA MOON ..acheni kulala..Nimesoma Tabora Boys ninaujua vzuri...pipo za Tabora ni kama wapwani..kutwa taarabu kazi hawataki ...
Acha na ntonya mpwapwa sema mkuu tunaitajika mimi,wewe na wengine kuujenga mji wetu aisee!!
Wageni kibao wanavamia na kutajirika. Waha sasa hivi wamejazana kuliko hata wachaga. I was home the other month, si groceries, maduka ya dawa hadi mabucha ya nyama ni ya kinaWACHU tu.
Ruzoka katuanzishia chuo, nawashauri hata kama mliacha mapagara, mkarenovate nyumba sasa bei imeanza kuwa juu!
Tukijapanga wenyewe twaweza kuanza kuprocess hata maembe na matunda mengine. Wanzuki yaweza kuboreshwa tukiamua kuibrew kisasa!
There are lots to be done, twahitaji kudare tu.
Hatuwezi kuanzia kwenye tufanye nini. Kwanza lazima tulielewe tatizo letu na ndiyo tuje kwenye kujadili tufanye nini.
Matatizo ya Tabora wengine wameshaanza kujadili watu na wengi wanasema ukweli. Kuna yale yanaonekana na yale yasiyoonekana kwa haraka ambayo yataka mzawa uwe kwenye kilima fulani hivi ndiyo uyaone au mgeni anayekuja na kuishi na wenyeji kwa muda mrefu.
Hawa wanaosema nilisoma Tabora Boys sijui au niliishi Tabora mjini hawa hawawezi kuyaeleza matatizo ya pale Tabora kwa ufasaha.