Tabora iliyodidimia inahitaji kuinuliwa...

Tabora iliyodidimia inahitaji kuinuliwa...

Na Mbunge nae ni tatizo kwa Tabora inayodidimia ambayo inahitaji kuinuliwa. Wanyamwezi ni watani zangu, ninadhubutu kuwaambia kwamba kichwani mwao wamebebe bweha na wala siyo akili, kweli wangekuwa na akili wangemchagua Aden Rage kuwa Mbunge wao? Hebu nyie wanyamwezi msiokuwa na akili niwarudisha nyuma kidogo, kabla ya kumpa mtu madaraka ya kukuongoza au kukufanyia jambo fulani inabidi kwanza uangalie background yake.

Kwa mfano' Jeshi la Israel chini ya kamanda wao LT.COL Jonathan Netashahu waliomba kwenda Entebe Kijeshi kuwaokoa mateka wa ki.Esrael waliokuwa wamehifadhiwa huko huko enzi za utawala wa Idd Amin mwaka 1976. Bunge la Israel (knesset ) halikukubali ombi hilo kichwa kichwa waliwauliza kwanza waeleze waliisha fanikiwa mission ngapi kama hizo huko nyuma? kabla ya ombi lao hilo? Jibu lilikuwa rahisi sana , shirika lao la ujasusi (MOSSAD) ambalo wote ni wanajeshi walijinasibu:-
1. Waliiiba RADA ya kirusi huko Bagdad wakaipeleke Kwao Israel wakaisomaaaaa kiundani na kisha kuirudisha Bagdad bila warabu kujua.
2. Waliangusha jengo la makao makuu ya PFLP huko Bairut Lebanon jengo la gorofa sita kwa dakika chache sana kidogo na Carlos Jambazi anaswe ndani. N.K
Ndipo Bunge la Israel likawaruhusu haya nendeni mkafanye kazi hiyo, kilichotokea ulimwengu wote ulishuhudia, nakumbuka tarehe 4 July redio na TV zote duniani zilizungumzia tukio hilo tu la ki-historia.

Sasa nyie Wanyamwezi mlipompa Ubunge Rage mlikuwa mnafahamu background yake?
Ngoja niwasaidieni- MTU HUYU RAGE:-
1. Mwaka 1883 aiwa kwetu Dodoma kama muajiliwa wa CDA yeye na maafisa wenzake tisa walifukuzwa kazi na Nyerere kwa ubadhirifu japokwa yeye alikuwa stationed DSM kama clearing anf forwading Officer.
2. Miaka ya theminini au tisini akiwa ni katibu mkuu wa DRFA mafanikio aliyopata ni ugomvi tu na serikali wakigombea uwanja wa Kerume
3. Miaka iliyofuata akawa katibu mkuu wa Klabu ya Simba , mafanikio aliyopata ni Simba kutaka kushuka daraja shukrani kwa Yanga kukubali kufungwa 2 kwa 1.
3. Mtu huyu Rage akawa katibu mkuu wa FAT, mafanikio;
a. Ugomvi na serikali
b. kuzaliwa kwa sheria ya 18 ya FIFA,timu ya nyumbani lazima ishinde.
sheria hii ikapelekea Mpira wa Bongo ukashuka kabisa, kabisa hadi
Mzee Mwinyi kuiita timu ya Taifa kichwa cha mwenda wazimu.
C. Akitokea FAT alikuja huko Tabora kugombea Ubunge mwaka 1995
kwenye kura za maoni Rage aliongoza kwa kura nyingi lakini Kamati
kuu na Nyerere akiwepo walikata jina lake asubuhi subuhi kwa sababu
waliona Randlover 109 ikigawa ruswa akatuhumiwa mgombea aliyeku
wa anapenyeza mlungula ni yeye Rage( Usicheze na Nyerere);
D. Baadae akafungwa kwa wizi japokuwa aliweza kukata rufaa na baa
dae kutoka kwa rufaa hiyo akiwa teyari kamaliza kifungo.
Sasa mtu mwenye background kama hiyo ndo kweli wa kumpa dhamana ya Ubunge ili awe chachu ya maendeleo? Hamjifunzi kwa Israel tu? Halafu nyie wanayamwezi hivi unavyofuga fisi unategemea fisi huyo atatembelewa na swala? kama siyo fisi wenzake? Basi jitayarisheni kuvamiwa na Ma ELSHABABU. Kwa hili Tabora ididimie ife kabisa Mbwa nyie.

Blayi wa Mpwapwa.

Nimeishi Tabora mika tisa, kazi kwelikweli!! Hawa watu utafikiri waling'olewa vichwa wakawekewa nazi.
 
mapinduzi yanaanzia 2015, mfumo wa kuendeshwa na Miungu watu sasa basi. Nikiwa kama kijana mzawa wa mkoa huu, tena kwa uwazi kabisa najipanga kwenda ktk jukwaa la
mapambano. Prof. Kapuya ajiandae, ni zamu ya wazalendo masikini tena wazawa, am on the way to take part of constitution ili Mkulima wa tumbaku nae apate sauti mbele ya taifa hili. Suruhu ni chama cha demokrasia na maendeleo kuinunua Tabora, nimezaliwa ulyankulu ikiwa kama ilivyo leo, what is the meaning of development? wapeni somo CCM. people
 
Tabora ni zaidi ya pemba ambako kuna CUF since 1995,sijaona mantiki ya majimbo na ccm,vitu vingine mtawaonea bure wabunge wetu, huko kwetu,ilifika kipindi tuna waziri wa ulinzi,spika wa bunge na waziri wa elimu katika jimbo moja,sidhani kama ni vyepesi kupata bahati hiyo,sema sisi wanyamwezi ni umwinyi tu kama kaka maggid alivyosema,tunaweza kunywa kahawa tu,tuwekewe pesa mifukoni labda ,hata tuongozwe nani bado itakuwa vile vile tu

Wanyamwezi wabinafisi sana mji huo unahistoria ya kuwa na watu potential sana kwa taifa lakini wapi kila mtu anjiangalia yeye tu!!wee anza kuandika majina ya potential people kutoka TBR kutoka wanasiasa, wasomi wajuu,wakurugenzi utachoka mwenyewe!!

Ngoja nikupe mfano SS amekua waziri toka awamu ya kwanza, lakini jimbo lake la Urambo limepata Umeme miaka ya juzi tu na sio kwa effort yake!! alishindwa hata na Kapuya Kaliua imekua better than Urambo!!hata barabara ya kutoka TBR kwenda Urambo ni sasa ndio yajengwa na sio kwa influence yake na alishakua waziri waujenzi toka awamu ya kwanza..

Wanyamwezi wengi wanafiki na wabinafisi sana!!
 
Inauma sana kuona mkoa ambao unarasilimali nyingi ukiwekwa kwa ajili ya manufaa ya wachache, mama yangu alikuwa akiuza pombe ya kienyeji mwanzoni mwa miaka ya 90 wakati huo Kapuya anashikiria jimbo, Mungu si athumani taratibu mafanikio yalisogea na hatimae kupata akili na kujitambua. Viongozi wetu wameendeleza umimi na kuwaona wengine hamnazo, hasa hawa CCM wasiojitambua. Mara baada ya kumaliza masomo yangu ya elimu ninania ya dhati kusimama jukwaani kwa dhamani ya jasho la masikini wenzangu.
 
Inauma sana kuona mkoa ambao unarasilimali nyingi ukiwekwa kwa ajili ya manufaa ya wachache, mama yangu alikuwa akiuza pombe ya kienyeji mwanzoni mwa miaka ya 90 wakati huo Kapuya anashikiria jimbo, Mungu si athumani taratibu mafanikio yalisogea na hatimae kupata akili na kujitambua. Viongozi wetu wameendeleza umimi na kuwaona wengine hamnazo, hasa hawa CCM wasiojitambua. Mara baada ya kumaliza masomo yangu ya elimu ninania ya dhati kusimama jukwaani kwa dhamani ya jasho la masikini wenzangu.

Kaka utaweza siasa za prof!!? we bana Kaliua kugumu ndugu yangu uliza hata ligi ya Prof. na SS ilikuaje? ni PM pagumu kidogo
 
Wanyamwezi wabinafisi sana mji huo unahistoria ya kuwa na watu potential sana kwa taifa lakini wapi kila mtu anjiangalia yeye tu!!wee anza kuandika majina ya potential people kutoka TBR kutoka wanasiasa, wasomi wajuu,wakurugenzi utachoka mwenyewe!!

Ngoja nikupe mfano SS amekua waziri toka awamu ya kwanza, lakini jimbo lake la Urambo limepata Umeme miaka ya juzi tu na sio kwa effort yake!! alishindwa hata na Kapuya Kaliua imekua better than Urambo!!hata barabara ya kutoka TBR kwenda Urambo ni sasa ndio yajengwa na sio kwa influence yake na alishakua waziri waujenzi toka awamu ya kwanza..

Wanyamwezi wengi wanafiki na wabinafisi sana!!
kaka hiyo tunaita NSIKA wanyamwezi tunansika,nikikuchukia bora uchimbe shimo,ila huwezi kusema kaliua ni zaidi ya urambo,
bado urambo iko juu tu,ingawa kaliua inakuwa kwa kasi zaidi,hata wafanyakazi bado wanachukulia mishahara urambo
 
Wajameni,

Mmesema yote sasa ni juu yangu mimi Pangu Pakavu kuhitimisha mjadala huu.

Rage, Alshaabab, alipochaguliwa Tabora alishinda uchaguzi huo kwa pesa nyingi na mizengwe pamoja na uchakachuaji wa kura. Hapakuwa na mgombea makini kutoka vyama vya upinzani japokuwa CUF kilisimamisha mgombea na kutoa upinzani kidogo. Tangu achaguliwe ubunge, Mheshimiwa amehama na uswahilini kahamia uhindini kwa wenye nazo wenzie. Zaidi sana kahamia Dar maana yeye sasahivi ni mbunge wa Simba S.C. Kila siku utamuona akikenua meno kuzungumzia ya Simba S.C kwa kuwa Simba ndio Tabora mjini kwa tafsiri yake.

Nimetafakari kwa makini sana mwenendo wake, umaskini wa Wa-nyamwezi, umwinyi na tabia ya ushirikina ma majungu ya kwetu Tabora nimeona ni heri nijitoe na mimi nisaidie katika harakati za kuwasaidia ndugu zangu hawa. Sio leo tena wala kesho, wapo wengi mno wenye moyo wa kusaidia Tabora lakini niaminini kwa hili, adhabu ya kaburi aijua maiti. Usilolijua litakusumbua. Hakuna haja ya kumsumbua mgeni kutoka pande zozote Tanzania kuja na kusaidi eti maendeleo huku Tabora, no way. Ni sisi wenyewe tunatakiwa kuvaa moyo wa kizalendo huku tukisukumwa na vuguvugu la mabadiliko ya demokrasia linaloendelea nchini.

Tabora ilisifika miaka ile kwa biashara ya mbao hadi wengine tukazulumika, asali imejaa huko, maziwa ndio usiseme, mahindi yapo, maharage yamejaa, tumbaku ndio kwao, hata mbogamboga zinastawi huko kwa kuwa soil pH inafanana kabisa na Pemba.

Kwa Rage sisi kila siku kumpa salam hatutachoka, maana tunakusanya ushahidi ili siku ikifika isiwe tabu. Mtu akishupaza shingo ujue anataka shoka limkate kichwa, ni heri msitu unaoujua kuliko pori usilolijua.

Tuko njiani tunakuja.

Pangu Pakavu,
Nawasalimia.
 
Tabora kwa sasa inaweza kujiedeleza kwa jambo lipi? Kiuchumi tunaweza kukazia wapi? Je kunampango wowote wa maendeleo wa tabora? anayejua tupeane taarifa.
 
Tabora ni ngome ya CCM, na CCM lazima iwe na ngome mahala palipojaa wajinga ( Tabora ) na kama hiyo haitoshi hata Ubunge wamempa Msomali wakati Watanzania wenzao wapo. hii ni mijtu ya hovyo kweli kweli!!
 
Kaka utaweza siasa za prof!!? we bana Kaliua kugumu ndugu yangu uliza hata ligi ya Prof. na SS ilikuaje? ni PM pagumu kidogo

Nikiwa mdogo sana, niliamini anayesitahili kuingia bungeni kwa ajili ya wanachi ni mtu mwenye miujiza na aliye zaidi ya mungu mtu, lakini uhalisia na hatima ya yote ni WANANCHI PEKEE! ni wakati wa kumfanya kila Mtanzania awe na sauti huru kutoa maoni yake Kiuchumi, Kisiasa na Kijamii kupitia Mhimili wa Bunge. The day is coming,Prof. ajipange
 
kaka hiyo tunaita NSIKA wanyamwezi tunansika,nikikuchukia bora uchimbe shimo,ila huwezi kusema kaliua ni zaidi ya urambo,
bado urambo iko juu tu,ingawa kaliua inakuwa kwa kasi zaidi,hata wafanyakazi bado wanachukulia mishahara urambo

Bro! umenikumbusha mbali sana ewe unansika sana!, Kaka turudi home tupambane wababu SS na Prof. choka sasa awana issue, jamani na tujenge home tusikimbilie kwa wazaramo tuu!!
 
Ndugu zangu,

Leo nimetembea kwa miguu kutoka mahali nilipofikia maeneo ya Ali Hassan Mwinyi Stadium hadi Chuo Cha Ualimu kunakofanyika mafunzo ya wanahabari. Umbali wa kilomita mbili hivi. Nimetembea nikiongea na wenyeji ambao wengi wanatembea kwa miguu. Kuna niliyojifunza njiani. Tabora si mji wa daladala, hazizidi nne mji mzima.

Baiskeli na pikipiki ndio daladala za Tabora Mjini. Na moja kubwa linalochangia Tabora kubaki nyuma ni miundo mbinu mibovu ikiwamo barabara na ukosefu wa usafiri wa uhakika wa treni umechangia kurudisha nyuma maendeleo ya Tabora.

Na lingine ni attitude ya umwinyi ya baadhi ya watu wa Tabora Mjini. Jana nimezunguka sana kutafuta vocha ya simu, naambiwa kuna wenyeji ambao hawataki kufanya biashara ya vocha ambayo faida yake yaweza kuwa shilingi elfu nne kwa vocha za laki moja! Tabora inahitaji muingiliano zaidi na watu wa mengine. Miundo mbinu itawezesha hilo.


Naam, Tabora iliyodidimia inahitaji kuinuliwa, na wenye jukumu la kwanza la kuifanya kazi hiyo ni Wana-Tabora wenyewe.
Maggid Mjengwa,
Tabora, Januari, 26, 2012
Mjengwa Blog::Habari,Picha,Matangazo
Tembelea pia; Tabora & Singida Press Clubs
Hilo li mkoa ni shipa ilo, hamna wa kuliinua!
 
Bro! umenikumbusha mbali sana ewe unansika sana!, Kaka turudi home tupambane wababu SS na Prof. choka sasa awana issue, jamani na tujenge home tusikimbilie kwa wazaramo tuu!!

Umeona eeh; tokeni huko Sinza mlikojazana mrudi; tukalime hata Maembe yale ya miaka 5. Mbao zimeisha kwani kina Singa wamemaliza Mininga yote na meno ya tembo.
 
Umeona eeh; tokeni huko Sinza mlikojazana mrudi; tukalime hata Maembe yale ya miaka 5. Mbao zimeisha kwani kina Singa wamemaliza Mininga yote na meno ya tembo.

Wapanga mzee Kaunga? Aise nataka go back home kwa nguvu zote aisee, otherwise watu kama Rage watajaa sana!!Am going back!!
 
Wapanga mzee Kaunga? Aise nataka go back home kwa nguvu zote aisee, otherwise watu kama Rage watajaa sana!!Am going back!!

Wapanga du, ni dada yako lkn! I am glad umeamua kitu cha maana; there is a lot to do in Tabora. Wasomi wengi wameukimbia mji, waliobaki ni waswahili tu unategemea nini?
 
Tabora ilikuwa ni mji ambao wakoloni wa kijarumani waufanye capital yao. Baada ya uhuru ulikuwa unakuja juu vizuri lakin ulianza kuwa outshined na Mwanza ambayo ndiyo jiji kubwa kanda za magharibi. Tabora ina wenyewe na wenyewe wako walitilie hili maanani.
 
Kutwa nzima wanakunywa kahawa,kucheza bao,draft.wataendelea saa ngapi?hawa hawapishani na wazaramo!
 
Bro! umenikumbusha mbali sana ewe unansika sana!, Kaka turudi home tupambane wababu SS na Prof. choka sasa awana issue, jamani na tujenge home tusikimbilie kwa wazaramo tuu!!

umejipangapangaje?,kama unavijecent bora uwekeze,kaka wale mpaka waamue kutoka wenyewe
 
Wapanga du, ni dada yako lkn! I am glad umeamua kitu cha maana; there is a lot to do in Tabora. Wasomi wengi wameukimbia mji, waliobaki ni waswahili tu unategemea nini?

Lot lot Sis , nitawasitua wote twende!! serious am going home to invest!! mabadiliko yataanza na sisi kuliko kulia lia tu wazee walitupeleka shule lazima waone payback
 
Back
Top Bottom