Tabora: Dk Slaa ataja orodha mpya ya mafisadi!

Tabora: Dk Slaa ataja orodha mpya ya mafisadi!

Status
Not open for further replies.
KIKWETE
ROSTA
CHENGE
LOWASA
MENGJI
MAGUFULI
HOSEA
MKAPA
MANGULA
SUMAYE
MKURUGENZI WA USALAMA WA TAIFA

aliyesikiliza wengine atupatie

source-MPAMBANAJI YUKO KWENYE MKUTANO WA SLAA
 
Wa jf kama member nimejitahid kuwajuza kadri nilivyoweza kwa kuzingatia uhuru wa maoni nawa aga mpaka kipindi kijacho,chao
 
Anazungumzia juu ya nyumba za serikali na sasa muda umeisha wa kuendelea kuvumilia kuhusu nyumba za serikali lazima sasa zirejeshwe mara moja .
Mkapa anahusika na uuzwaji wa nyumba za Serikali.
Wale wanaosema kuwa slaa anamchukia jk kwa sababu ya dini . kwani alimshughulikia sumaye .
Mkapa na Magufuli kwenye kuuza nyumba za serikali na wao ni mafisadi .
Ndege za jk za kampeni zilitoka kwa watu walioiba EPA na ndio maana ameshindwa kuchukua hatua kwani anashirikiana nao .
Kama JK kawapa mafisadi siku 90 ndani ya chama chake nay eye Tunampa JK na eye siku 90 ataje fedha za mabango yake dola 1.5 milioni aseme zilitoka wapi zilizotumwa CANADA kutengeneza 2010 election .na yeye anapaswa kujitoa kama atashindwa kuchukua hatua hizo.

Nilikuwa nina hamu sana ya kuipata orodha mpya ya mafisadi aliyoahidi kuitoa Dr. Slaa, siamini kama hili ndio bomu alilolipanga kulilipua leo na kuitikisa nchi kwa mshindo mkuu, naona sasa Mzee wetu anaelekea kuishiwa hoja.

Kwa mwendo huu siku nyingine Dr. Slaa akitangaza kutaja orodha mpya ya mafisadi sidhani kama watu watapata mshawasha wa kuisubiria.
 
Kuna fisadi gani mpya hapo?

Toka umeanza kusikia ufisadi wa Kagoda, wa wa nyumba za serikali ni miaka mingapi imepita.

Wake up people.

Serikali ndo inatakiwa iwapeleke watuhumiwa wa ufisadi mahakamani. Serikali ndo inamiliki na kuisimamia mali ya Uma, sisi wananchi kazi yetu ni kutoa ushirikiano ikiwemo kuwataja. Fedha za ufisadi zikirudi, tunaweza kujenga hospitali au nyumba za walimu kila shule. Bado huoni umuhimu wa kuwaandama hawa mafisadi ili tupate maendeleo?
Waliotajwa 2007 baadhi wamepelekwa mahamani, wengne bado, kwa nini tukae kimya? Hiyo ndio kazi ya chama cha siasa kuikosoa Serikali.
 
Kuwa na sera, mipango, mikakakti na malengo mbadala kuhusu uboreshaji wa maisha ya Mtanzania ndio njia pekee. Mwananchi akishasikia John Kato ni fisadi (tena hakuna mpango wa kuwawajibisha bali kusubiri mtu akapinge mahakamani) kutaboreshaje maisha?

Imefika wakati wa CHADEMA kuangalia upya viapaumbele vyao, kama wanataka mawazo waje hapa hapa JF tutawapa.
Mbona wamejaa tele? Wewe ungependekeza Chadema wafanye nini?
 
ningeshangaa sana kama mamgula angeendelea kuwa safi licha ya kuwa mtendaji mkuu wa ccm kwa miaka 10
 
Her ladyship of Mipasho had already quipped 'hakuna msafi ccm'
 
Kuwa na sera, mipango, mikakakti na malengo mbadala kuhusu uboreshaji wa maisha ya Mtanzania ndio njia pekee. Mwananchi akishasikia John Kato ni fisadi (tena hakuna mpango wa kuwawajibisha bali kusubiri mtu akapinge mahakamani) kutaboreshaje maisha?

Imefika wakati wa CHADEMA kuangalia upya viapaumbele vyao, kama wanataka mawazo waje hapa hapa JF tutawapa.
Je wao wana mamlaka ya kwenda kuwakamata hao mafisadi? hata kama wangekuwa na sera na mipango mizuri? Na hata kama wangewakamata, je mahakama na mahakimu wangetenda haki? Hao waliotajwa na CCM wenyewe wenye dola na kila kitu wamefanywa nini? Nadhani unachozungumzia ni KATBA tu hapo, la as long as hao chadema hawana uwezo wa kuwakamata at least watutajie hao ni akina nani, na wanafanya hivyo makusudi ili hao waliotajwa wawapeleke mahakamani na hapo ndo watakuwa na uwezo wa kutoa vithibitisho.
 
KIKWETE
ROSTA
CHENGE
LOWASA
MENGJI
MAGUFULI
HOSEA
MKAPA
MANGULA
SUMAYE
MKURUGENZI WA USALAMA WA TAIFA

aliyesikiliza wengine atupatie

source-MPAMBANAJI YUKO KWENYE MKUTANO WA SLAA

Hawa wote katika siku 90 zijazo inabidi wajiondoe ndani ya CCM ili chama hicho kijisafishe kabisa na mafisadi na wengineo ambao majina yao hayapo kama vile Msekwa, Mramba, Karamagi, Mkono n.k.
 
Ujinga mtupu,huyo padri hiki ndicho kilichompeleka Tabora?.Hana jipya aendelee kupuliza uchochezi usio na tija.Yeye mwenyewe Mwizi na fisadi mkubwa wa wake za watu.

CCM wanaamini maneno yako?
Magufuli anaamini maneno yako?
Kiwete anaamini maneno yako?
Unadhani CC mpya ya CCM inaamini maneno yako?
Kwa kujipa moyo ruksa, piga moyo konde.
 
jamani hata mangula?? hii ni kweli jamani maana namuona kama maskini sana na ndiyo maana hata akashindwa uchaguzi kule IRINGA wa mwenyekiti wa mkoa au anaweza kuwa ana act.?? jamani tunaomba details zaidi.
 
Kama JK kawapa mafisadi siku 90 ndani ya chama chake nay eye Tunampa JK na eye siku 90 ataje fedha za mabango yake dola 1.5 milioni aseme zilitoka wapi zilizotumwa CANADA kutengeneza 2010 election .na yeye anapaswa kujitoa kama atashindwa kuchukua hatua hizo.[/SIZE][/FONT]

Dr. Slaa badala ya kueleza ufisadi uliopo nyuma ya hizo dola 1.5 Million za mabango yeye anamtaka JK aeleze huku akitambua fika kuwa JK hatasema chochote kuhusu hilo, huku ni kuwachezea akili ya wananchi.

Dr. Slaa!! next time kama una data eleza issue zilivyo ili wananchi nao waelewe fedha zao zinavyoibiwa na sio kuziachiaachia tu issues hewani,hii haikusaidii wewe wala chama chako na zaidi sana unaisitiri CCM katika hayo kama kweli yapo.
 
Huyo mkurugenzi wa UWT ni yupi mbona hatajwi jina na wengine wametajwa majina yao, inamaana na Slaa hajamtaja, ni huyu wa sasa au mstaafu? tujuze
 
Serikali ndo inatakiwa iwapeleke watuhumiwa wa ufisadi mahakamani. Serikali ndo inamiliki na kuisimamia mali ya Uma, sisi wananchi kazi yetu ni kutoa ushirikiano ikiwemo kuwataja. Fedha za ufisadi zikirudi, tunaweza kujenga hospitali au nyumba za walimu kila shule. Bado huoni umuhimu wa kuwaandama hawa mafisadi ili tupate maendeleo?
Waliotajwa 2007 baadhi wamepelekwa mahamani, wengne bado, kwa nini tukae kimya? Hiyo ndio kazi ya chama cha siasa kuikosoa Serikali.


Hakuna jina jipya, hebu tupe feedback wa nani aliyefilisiwa baada ya kutajwa fisadi? Lowassa kapelekwa mahakamani, Chenge je, Karamagi, Meghji, Sumaye - tena huyu kageuka kuwa mlaani ufisadi, lolestiest.

Kama CHADEMA walishawataja hawa mvua kadhaa zilizopita kwa nini wanarudia kuwataja - tena hata wakifanya hivyo kwa matarumbeta na brass band - sirikali haiwezi wapeleka mahakamani na wanajua hilo.

Je ndio kusema CHADEMA wameishiwa hawana mawazi mapya pamoja kuwa na vijana wengi - if Lissu is also kijana.

@ Jasusi - nawaomba CHADEMA waandae sera, mipango, mikakati na malengo mbadala kuhusu uboreshaji wa maisha ya Mtanzania. Kama wamejaa hapa mbona wamekurupuka kwenda Tabora na kurudia mambo ambayo ni 'so over'.
 
Dr. Slaa badala ya kueleza ufisadi uliopo nyuma ya hizo dola 1.5 Million za mabango yeye anamtaka JK aeleze huku akitambua fika kuwa JK hatasema chochote kuhusu hilo, huku ni kuwachezea akili ya wananchi.

Dr. Slaa!! next time kama una data eleza issue zilivyo ili wananchi nao waelewe fedha zao zinavyoibiwa na sio kuziachiaachia tu issues hewani,hii haikusaidii wewe wala chama chako na zaidi sana unaisitiri CCM katika hayo kama kweli yapo.

Sasa asingesema ungejuaje kuwa kuna ufisadi huo?Usahalifu au uwezo mdogo wa kufikiri?Kwani EPA ilianzeje?Hayo magamba ya CCM nayo yalianzaje?

Ni vigumu kwa kichwa cha elimu ya watu wazima kuelewa anachoongea genious kama Dkt Slaa
 
Maisha ya dr slaa hatarini sasa

DR. Slaa hafanyi vitu kwa kubahatisha, yule ni DR. wa ukweli, unadhani kama Dr. Wenu huyu wa kupewa? Tukimpeleka kwenye makaratasi anashindwa hata kuandika report? Mafisadi sasa kazi mnayo! Big up DR. Slaa kwa kutufungua masikio, keep it up!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom