ni ngumu
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 4,292
- 7,159
Sipendi tabia ya kupangiwa cha kufanya yaani hapo naweza kuchukia hata sikunde haipiti..
Nishauri utakavyo lakini usinipangie cha kufanya simalizi sekunde nabadilika hapo hapo.
Shida mama zetu na wake zetu wana huu ugonjwa wa kumpangia mtu cha kufanya...
Naweza kuwa nimekaa zangu nasoma kitabu,utasikia mwanamke kwanini usile kwanza au ufanye kitu flani hlf ndo uendelee na unachokifanya basi namjibu tu nitafanya baadae saivi najisikia kufanya hivi sasa anarudia tena kauli ile ile hapo sasa anashangaa nimebadilika ghafla nimekuwa serious...
Mtu nikimwambia kitu kinaeleweka kbs hlf anajifanya haelewi aiseee hapo nachukiaga ghafla km nimeshikwa tako vile.Unakuta wife kapiga simu nikamwambia nipo kwenye kikao siwezi kuongea mda huu tuongee badae,mtu ananiambia tuongee hata dk tano namwambia haiwezekani ananiambia basi km huoni umuhimu aiseeeee hapo naweza kata simu.Napenda nikimwmabia mtu kitu km kinaeleweka ananielewe hapo hapo,alooo alooo nipo busy kidogo nitakupigia baadae,Sawa ukiwa free nipigie,sawa.
Nishauri utakavyo lakini usinipangie cha kufanya simalizi sekunde nabadilika hapo hapo.
Shida mama zetu na wake zetu wana huu ugonjwa wa kumpangia mtu cha kufanya...
Naweza kuwa nimekaa zangu nasoma kitabu,utasikia mwanamke kwanini usile kwanza au ufanye kitu flani hlf ndo uendelee na unachokifanya basi namjibu tu nitafanya baadae saivi najisikia kufanya hivi sasa anarudia tena kauli ile ile hapo sasa anashangaa nimebadilika ghafla nimekuwa serious...
Mtu nikimwambia kitu kinaeleweka kbs hlf anajifanya haelewi aiseee hapo nachukiaga ghafla km nimeshikwa tako vile.Unakuta wife kapiga simu nikamwambia nipo kwenye kikao siwezi kuongea mda huu tuongee badae,mtu ananiambia tuongee hata dk tano namwambia haiwezekani ananiambia basi km huoni umuhimu aiseeeee hapo naweza kata simu.Napenda nikimwmabia mtu kitu km kinaeleweka ananielewe hapo hapo,alooo alooo nipo busy kidogo nitakupigia baadae,Sawa ukiwa free nipigie,sawa.