Habari zenu Wakuu wangu,
Kwenye ulimwengu wa sasa kumekuwa na tabia ya wapenzi kunyonyana tupu zao wawapo faragha. Kiukweli hii tabia imekuwa ni kama jambo la kawaida kwa vijana wengi wa hovyo including wazee wa hovyo pia.
Leo Mjanja M1 ninakuletea maswali unayopaswa kujiuliza kabla ya kunyonya tupu ya mpenzi wako. Maswali yenyewe ni haya yafuatayo,
1) Ninaponyonya pameumbwa kwa kazi gani
2) Ninachofanya kina madhara kiafya
3) Ninaponyonya pameingiliwa na watu wangapi
4) Imani yangu inaruhusu ninachofanya
5) Nikipatwa na maradhi itakuaje
6) Hivi nina akili kweli
Ukijiuliza maswali hayo na ukajijibu basi matokeo ya unachofanya yapo juu yako na familia yako.
Mjanja M1 kwasasa napatikana Washington Dc
Kwenye ulimwengu wa sasa kumekuwa na tabia ya wapenzi kunyonyana tupu zao wawapo faragha. Kiukweli hii tabia imekuwa ni kama jambo la kawaida kwa vijana wengi wa hovyo including wazee wa hovyo pia.
Leo Mjanja M1 ninakuletea maswali unayopaswa kujiuliza kabla ya kunyonya tupu ya mpenzi wako. Maswali yenyewe ni haya yafuatayo,
1) Ninaponyonya pameumbwa kwa kazi gani
2) Ninachofanya kina madhara kiafya
3) Ninaponyonya pameingiliwa na watu wangapi
4) Imani yangu inaruhusu ninachofanya
5) Nikipatwa na maradhi itakuaje
6) Hivi nina akili kweli
Ukijiuliza maswali hayo na ukajijibu basi matokeo ya unachofanya yapo juu yako na familia yako.
Mjanja M1 kwasasa napatikana Washington Dc