Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,402
- 58,951
ππππ Kwa mbaali.
ππππ Kwa mbaali.
πππππ Uwiiiii...smart nimecheka mpaka watu wananishangaa....massage parlour nei nei...
Aisee..nithimulie japo kiduchu π
πππππ Hiyo hapana
Hiki kitu mimi sikipendi totallyPia sipendi mtu awe ananipigia video call ...kila saaa.. Nahisi kukereka
Uko kama mimiMimi huwa sipokei video call yoyote
Rafiki angu Tangia apate kazi nikipiga nae story utasikia tutafute maisha bro..Yani ananiona jobless mimi kama looser hivi .
maza huwa ananiboa kuwapa kuwapa stori mashosti zake jinsi tabia zangu mbaya nilikuwa nafanya zamani..kama kukojoa kitandani na kula makamasi nachukia sana
VyapombeeeNdugu zangu kila nikiwapigia simu kuwasalimia wanakuwa wamelewa hata kuongea cha maana hawawezi, ila siku wakiwa wagonjwa au shule wakihitaji ada hawana hela inabidi mimi nigharamie.