maliyamtu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2017
- 2,137
- 3,876
Hapa utaambulia patipu atakua humble kwasababu mkuyenge uko wima ukishamlambisha dawa atarudi na madharau take vilevileUnamkumbusha udhaifu wake kitandani hakika atakuwa mdogo kama piritoni
Hapa utaambulia patipu atakua humble kwasababu mkuyenge uko wima ukishamlambisha dawa atarudi na madharau take vilevileUnamkumbusha udhaifu wake kitandani hakika atakuwa mdogo kama piritoni




Mwanamke mwaminifu, anayekushimu, kukusikiliza na anayekuvumilia hata ukiwa hauna shiling 50 mfukoni ni wa kumheshimu km mama mzazi. Maana huyu akiamua kukulaani laana zitakufikia bila tatizo na utachizika.Yaani ipo sana jamani badala ya kufaidi wote utasikia usinipangie chagua kuondoka au kuwa na mkemwenza, mpaka mtu kaongeza mwingine basi hapo uliepo hautoshi ndiyo maana yake, ila machozi ya huyo mvumilivu hayaendagi bure
Hiyo ndiyo mali ya mtu. Mali yangu niombe msamaha ya nini?Yani mkuu hapo 1,2, 5 in Mr wangu kabisaa yeye huwa hakosi na hajui kuomba msamaha,,tena hyo kwani ina cost shngapi kuna Siku hadi nilimtandika Kofi kwa hasira nyoko zake
Haijapata tokeana wewe ukiwemo
Wenye tabia hizo ni ulimbukeni,,wapo watu wana pesa na ni wakarimu sana tu
Unazani wanawazaga hilo? Wakipigwa huko ndipo akili huwarudia lakini anakuwa ameshachelewaMwanamke mwaminifu, anayekushimu, kukusikiliza na anayekuvumilia hata ukiwa hauna shiling 50 mfukoni ni wa kumheshimu km mama mzazi. Maana huyu akiamua kukulaani laana zitakufikia bila tatizo na utachizika.
Kuna mama nilimsikia sitaki uchumi mkubwa katika familia yangu maana huyu me hunipa shida sana akiwa na pesa, kwahiyo tupate sehemu ya kulala nzuri, tule na tuvae vizuri basi kwanini pesa itese familia yangu!Mwanaume wa hivyo aondoke na pesa zake. Ukiwa ombaomba ndo utaweza kuishi nae maana huna jisji
Pole sana jamaniYani mkuu hapo 1,2, 5 in Mr wangu kabisaa yeye huwa hakosi na hajui kuomba msamaha,,tena hyo kwani ina cost shngapi kuna Siku hadi nilimtandika Kofi kwa hasira nyoko zake
Mi hata tuwe na pesa kama Dangote ukimisbehave nakuacha kweupee. Hayo sio mapenzi ni jehanamKuna mama nilimsikia sitaki uchumi mkubwa katika familia yangu maana huyu me hunipa shida sana akiwa na pesa, kwahiyo tupate sehemu ya kulala nzuri, tule na tuvae vizuri basi kwanini pesa itese familia yangu!
Ni wangapi wanaopata hizo za tatu mzuka?!!Nawasalimu all MMU
Leo naomba nidondoshe hii habari kidogo, wanawake pia mwakaribishwa kuongezea baadhi ya tabia za wanaume wachache wakiwaga na hela
1) Yeye sio mkosaji: Hapa nazungumzia kupatikana na hatia. Yaani kama kakukosea lazima atengeneze maelezo mengi mpaka akuset ujione wewe ndie uliyekosea kumbe ni yeye.
2) Hajui kuomba/kutamka SAMAHANI: Hapa hata kama kakukosea kamwe samahani hajaumbiwa kinywani mwake.
3) Hujikweza: Hapa utakuta kila mwenzie au jirani yake akifanya jambo zuri utasikia yeye anaona kama hamna kitu.
4) Ujuaji: Hapa atataka kuonesha umwamba wa kila kitu kwamba anakijua. Mfano unakuta ye ni daktari basi akifika kwa mjenzi atampelekesha kiudaktari na wakati professional ya udaktari haiingiliani na ujenzi.
5) Kiburi: Hapa huwa hasikilizi ushauri haambiwi haambiliki anaweza akanya mlangoni kwako ukimuuliza utasikia inagharimu kiasi gani kwani? Badala hata atoe excuse.
6) Sifa: Hapa akitoa hela ndani atatangaza ukoo mzima hadi wale marafiki wa utotoni wajue au akisikia michango utaona atatoa kiwango kikubwa tofauti nakilichopangwa ili aonekane zimo.
7) Wanamsahau Allah /Mungu: Hapa ibada kwao ni mwiko siku ya Ijumaa ni siku ya kununulia bia wanaita weekend mood. Wale wa Jumapili utasikia ndio nafua.
8)----------
9)--------
10------
Nawakaribisha mmalizie sifa za wanaume baadhi wakipata hela za ghafla..
Jehanam Jehanam kweli, unajiuliza kipindi hakuna uchumi kwanini usinge mtafuta huyo tuje tugange wote ukasubiri mpaka maisha yawe mazuri? Yaani ni upuuzi tu jamaniMi hata tuwe na pesa kama Dangote ukimisbehave nakuacha kweupee. Hayo sio mapenzi ni jehanam
Kwenye maisha yangu nilishasema niko tayari kutumikia mapenzi ila sio pesa. Kwanini kitu unachoweza kukitafuta kikuweke kifungoni.Jehanam Jehanam kweli, unajiuliza kipindi hakuna uchumi kwanini usinge mtafuta huyo tuje tugange wote ukasubiri mpaka maisha yawe mazuri? Yaani ni upuuzi tu jamani
sijasoma coment yako, nimeishia kushangaa avatarYan yote uliyosema ni sahihi lakn kwa wale wanaume wenye vihela vya was wasi sio wale wenye mahela waliozoea hela toka wakiwa wadogo. mwanaume mwenye vihela vya wasiwasi ni shida tena umkute amesoma gumbaru English anaongea broken utaipenda.

Ndio maana alhaji dangote wa nigeria (sio diamond) pamoja na pesa kaachika mara mbili,,,and currently hana mke,, jiulize kwanini wanawake wa huko nigeria hawaolewi naeMi hata tuwe na pesa kama Dangote ukimisbehave nakuacha kweupee. Hayo sio mapenzi ni jehanam