Ni kweli mr. Kuna ardhi zingine hazikupi mzuka wa kulima kbsa. Ukipiga jembe la kwanza unahisi kuchoka lkn zingine wala huchokiDoesnt work with me.
Perfomance yangu imeshuka (umri nao sio rafiki), Wifi yako akajaribu technic yako hiyo lakini sikushtuka wala kujisikia vibaya.
Mbaya zaidi nilienda kwa jirani kujipima kama kweli, ajabu ni kuwa yule dada wa jirani ndie alieondoka na ch*pi mkononi.
Nilichogundua nguvu kupungua inategemeana na unapolima ardhi ikoje pia.
Kweli mkuu mwanamke Pekee anaeweza kukuthamini ukiwa hauna hela ni Mama mzazi tuuMzee haujawahi kukutana na wanawake makatili sanaa.
Mwanamke bila hela wewe kwake ni taka taka.
J3 unahitajika kwa Makonda kupima DNAHuyo hana adabu Na amekosa Utu.
Kuna dogo mmoja alimtakia mke wake, gari yangu ni ya thamani sana kwangu kuliko wewe.
Nilijisikia vibaya sana
Hapa kweli nakubaliana nawe, ila rekebisha kidogo isomeke "wengi wao.....maana sio woteNi wepesi kusahau kama ulimvumilia wakati kapauka kama sharti baada kupata hela anaanza kudharu uliye mvumilia kipindi cha ukame
Mama sabrina wako wapi hao ? Nitajie hata wilaya tuWenye tabia hizo ni ulimbukeni,,wapo watu wana pesa na ni wakarimu sana tu
Ndio goma langu kwa sasa.Jidanganye baba huyo alokimbia na nguo labda ulimrukia ukamchubua halafu huwajui wanawake.
Kawaida mtu akienda kiwanja cha ugenini hujiandaa sana rudia kwa huyo mara mbili kama hujaonyesha utendaji mbovu kama kwa mkeo
Kukaa kwenye match mda mrefu haimaanishi we mjuzi yaweza kuwa unatwanga tu kama mahindi kwa lisaaNdio goma langu kwa sasa.
Full foreplay
Low perfomance 30-45 minutes (baada ya goli la kwanza ambalo ofcourse ni chini ya dakika tatu)
High Perfomance ni 45 - 60 minutes.
Mechi huisha kwa 3 kwa 4 (Umenielewa wewe ni mtu mzima).
Wife nampa hela akakere viserengeti boy huko.
Hii kitu ni Two-Way traffic dada. 90% hawajaishiwa nguvu bali wameongezewa kero na msongo.
UKIKWI UPO, UNAUWA.
Nadhani anazungumzia wale waliojikwaa wakaangukia pochi la mzungu.unazungumzia wanaume wa mererani wale waliopata pesa kwa kubahatisha kwenye miamba afu kichwani hakuna shule ya kumanage hizo pesa,au unazungumzia wanaume waliopata pesa then kichwani wako smart?
Dahhh... Manyanyaso haya ..... Very sad.Huyo hana adabu na amekosa Utu.
Kuna dogo mmoja alimtakia mke wake, gari yangu ni ya thamani sana kwangu kuliko wewe. Nilijisikia vibaya sana
Sasa ulizia gari yake ni aina ganiDahhh... Manyanyaso haya ..... Very sad.
nilie nae nimempenda tangu anasoma na hata saivi hajapata kazi ila nimeoza kwake wala si limbukeni. nimeeleza kutokana na wengi wao niliobahatika kuwaona maisha yao kwenye community.Acha ujingaa wewe utakuwa unaambatana na malimbukeni tu wanaume wa ukweli hatupo hivo.
Ingekuwa ikogo vertical sawa.Kukaa kwenye match mda mrefu haimaanishi we mjuzi yaweza kuwa unatwanga tu kama mahindi kwa lisaa
Kazi kweli kweli.....Yap mamaa..... najua umenipendea hela zangu. Nisingekuwa na hela usingenipenda.
Kiukweli naringa siku hizi. Maana hata wao waliniringia.....tena Nina wanyanyasa kweli kweli..... naweza nisimtafute siku nzima....najua atanitafuta tu.....si ana shida.