TehYap mamaa.najua umenipendea hela zangu.
Nisingekuwa na hela usingenipenda.
Kiukweli naringa siku hizi.
Maana hata wao waliniringia.tena Nina wanyanyasa kweli kweli.naweza nisimtafute siku nzima..najua atanitafuta tu.si ana shida.

Yaani nakupendeaga tu hapoKweli ila bora mwanaume mwenye hela kuliko mwanamke mwenye hela aiseeee wanawake tuna dharau kiwango cha juu kabisa
kwenye ukweli unaongea tu, hupendelei jinsia yakoBidada nawe mhenga kama mimi nini....kuna neno hapo umelichomekea si la kizazi hikiWanaume wachache wenye nazo halafu akawa na masimango lkn sisi sasa tupate hizo ngawila uone nyodo zake
Yaani huyu kweli mkuu hatujui vizurYani hapo mwanaume akiwa na hela???? kumbe hutujui wanaume wewe unatuskia tu au unasimuliwa........
Afu namba saba ni uwongo kabisaaaa.......
Bila kuwataja wachaga usingeeleweka??Labda unazungumzia wahaya wasukuma waruguru na wachaga ndo tabia zao
Pesa mwanaharamu aiseehata sio ni meyashuhudia sehemu nyingi.
Tupashe habari... Ilikuwa gari ya aina gani hii yenye thamani kuliko mkewe???!!!Sasa ulizia gari yake ni aina gani
Peugeot 504Tupashe habari... Ilikuwa gari ya aina gani hii yenye thamani kuliko mkewe???!!!
Izo n tabia kama pesa umeikutia uzeenNawasalimu all MMU
Leo naomba nidondoshe hii habari kidogo, wanawake pia mwakaribishwa kuongezea baadhi ya tabia za wanaume wachache wakiwaga na hela
1) Yeye sio mkosaji: Hapa nazungumzia kupatikana na hatia. Yaani kama kakukosea lazima atengeneze maelezo mengi mpaka akuset ujione wewe ndie uliyekosea kumbe ni yeye.
2) Hajui kuomba/kutamka SAMAHANI: Hapa hata kama kakukosea kamwe samahani hajaumbiwa kinywani mwake.
3) Hujikweza: Hapa utakuta kila mwenzie au jirani yake akifanya jambo zuri utasikia yeye anaona kama hamna kitu.
4) Ujuaji: Hapa atataka kuonesha umwamba wa kila kitu kwamba anakijua. Mfano unakuta ye ni daktari basi akifika kwa mjenzi atampelekesha kiudaktari na wakati professional ya udaktari haiingiliani na ujenzi.
5) Kiburi: Hapa huwa hasikilizi ushauri haambiwi haambiliki anaweza akanya mlangoni kwako ukimuuliza utasikia inagharimu kiasi gani kwani? Badala hata atoe excuse.
6) Sifa: Hapa akitoa hela ndani atatangaza ukoo mzima hadi wale marafiki wa utotoni wajue au akisikia michango utaona atatoa kiwango kikubwa tofauti nakilichopangwa ili aonekane zimo.
7) Wanamsahau Allah /Mungu: Hapa ibada kwao ni mwiko siku ya Ijumaa ni siku ya kununulia bia wanaita weekend mood. Wale wa Jumapili utasikia ndio nafua.
8)----------
9)--------
10------
Nawakaribisha mmalizie sifa za wanaume baadhi wakipata hela za ghafla..
Mkuu kuna vitu vinakera sana humu
na wewe ukiwemommmh wangapi
Yaani ipo sana jamani badala ya kufaidi wote utasikia usinipangie chagua kuondoka au kuwa na mkemwenza, mpaka mtu kaongeza mwingine basi hapo uliepo hautoshi ndiyo maana yake, ila machozi ya huyo mvumilivu hayaendagi bureKuna baadhi ya wanawake waliwavumilia wanaume wao kwa upendo na kuwaheshimu lkn wanaume wao hawakuwatendea haki (Hapa hata mm nalaumu)
Kuna baadhi waliowavumilia wanaume wao kwa kuwasingamana, kuwadharau na kejeli kiasi kwamba mpaka iliwasababishia wanaume kuwa na mawazo. Hapa mwanaume akipata utashangaa anaoa mke mwingine anahama kwako kbsa. Kuna wakati unamvumilia mwanamke jeuri, kiburi na msaliti kwasbb hauna pesa za kutosha kipindi hicho sasa ukipata. Hakuna kugeuka nyuma.
N.B
Kama mwanamke alikuvumilia kwa upendo wa dhati na uaminifu na siku ukipata fedha ukamuacha hautafika popote. Fedha zitaaisha bila ww kujua zimeenda wapi.
Asante, wengi wao si woteHapa kweli nakubaliana nawe, ila rekebisha kidogo isomeke "wengi wao.....maana sio wote