King Loto
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,573
- 1,344
Hey! Wakuu wajukwaa hili naamini bado hamjakata tamaa kwenye lolote na bado mapambano mpaka dakika ya 90.
Basi wakuu katika pitapita nikakutana na mtoto mmoja kaloweya Dodoma, sema kwao Handeni, malezi yake kapewa na mama wote wazigua, mtoto anaitwa Hamida, anyway nisitoe utambulisho wote.
Lakini kiufupi nimemuelewa ila mimi sijazoea uswahili wake anaoniletea wakuomba omba kila dakika yaani najisemea mbona ana kuwa na njaa njaa kwani kwao wana dhiki sana, mi mwenyewe nina uswahili lakini wake umezidi.
Mara utasikia viatu, mara nywele zimefumuka, mara hospitali hapa pahospitali ndio kila saa aiseee, mara nimuite aje na rafiki yake eti tuna part tununulie madela, vyote hivyo nampa maana nimemuelewa sana.
Sema huyu mtoto ni muongo pia, afu uswahili mwingi, sijui kaniona mi danga na ujana wangu bado naonekana danga, yaani aisee hata kama anaujua mchezo,
Tabia nyingine mbovu kabisa ni kuropoka ropoka ovyo tena ukute mpo wote mbele za watu, mtoto ana mdomo, lakini anyway sifa ya mwanamke.
Sasa ananiambia anahisi ana mimba tena yang, sema uswahili wake umenishinda wakuu, ana vituko vingi kuliko maelezo, vingine siwezi andika hapa nikamaliza.
Yaani wakuu kila nikiwaza nimbadili hivi kwa kuongea au kumwelekeza unakuta hakusikilizi asharukia maelezo mengine, unakuta unamwambia labda "Hamida naomba unipe lisaa mi na wewe kuna jambo nataka tuongee" utasikia kaleta maneno au anachat yaani hasikilizi.
Natamani angekuwa angalau mstaarabu ninge enjoy kuexchange mengi, huyu mtoto anajua kinoma kwenye 6 kwa 6 afu show yake siyo ya kitoto unavotaka anakupa hapo amna shaka kwangu, mathalani naridhika ila ustaarabu ndio ivoo tena au kisa hana hizi shule za magharibi walizoenda dada zetu. She isn't such an educated, japo siangalii hilo.
Mtu wa hivi nambadili vipi wakuu maana nampenda sana.
Basi wakuu katika pitapita nikakutana na mtoto mmoja kaloweya Dodoma, sema kwao Handeni, malezi yake kapewa na mama wote wazigua, mtoto anaitwa Hamida, anyway nisitoe utambulisho wote.
Lakini kiufupi nimemuelewa ila mimi sijazoea uswahili wake anaoniletea wakuomba omba kila dakika yaani najisemea mbona ana kuwa na njaa njaa kwani kwao wana dhiki sana, mi mwenyewe nina uswahili lakini wake umezidi.
Mara utasikia viatu, mara nywele zimefumuka, mara hospitali hapa pahospitali ndio kila saa aiseee, mara nimuite aje na rafiki yake eti tuna part tununulie madela, vyote hivyo nampa maana nimemuelewa sana.
Sema huyu mtoto ni muongo pia, afu uswahili mwingi, sijui kaniona mi danga na ujana wangu bado naonekana danga, yaani aisee hata kama anaujua mchezo,
Tabia nyingine mbovu kabisa ni kuropoka ropoka ovyo tena ukute mpo wote mbele za watu, mtoto ana mdomo, lakini anyway sifa ya mwanamke.
Sasa ananiambia anahisi ana mimba tena yang, sema uswahili wake umenishinda wakuu, ana vituko vingi kuliko maelezo, vingine siwezi andika hapa nikamaliza.
Yaani wakuu kila nikiwaza nimbadili hivi kwa kuongea au kumwelekeza unakuta hakusikilizi asharukia maelezo mengine, unakuta unamwambia labda "Hamida naomba unipe lisaa mi na wewe kuna jambo nataka tuongee" utasikia kaleta maneno au anachat yaani hasikilizi.
Natamani angekuwa angalau mstaarabu ninge enjoy kuexchange mengi, huyu mtoto anajua kinoma kwenye 6 kwa 6 afu show yake siyo ya kitoto unavotaka anakupa hapo amna shaka kwangu, mathalani naridhika ila ustaarabu ndio ivoo tena au kisa hana hizi shule za magharibi walizoenda dada zetu. She isn't such an educated, japo siangalii hilo.
Mtu wa hivi nambadili vipi wakuu maana nampenda sana.