Tabia za kishamba za mabasi ya mikoani

Tabia za kishamba za mabasi ya mikoani

Bila kusahau wale kina mama wanaosafiri na watoto wawili huku wamekata seat moja

Nilishawahi kujikuta dada msaidizi wa mtoto mwanzo hadi mwisho wa safari,yaaani kale kadogo nimekashikilia mimi,kale kengine kadada mtu kameshikwa na mama yake

Mbaya zaidi kale katoto kalinipenda na kunizoea mapema sana,kila muda dada hivi dada vile mara kanilishe vitu kanavyopewa na mama yake

Sio kwa ubaya,lakini ni usumbufu...kama una watoto wadogo wawili jitahidi kuweka seat mbili aseee

Siku hizi namuagiza anayenikatia ticket ahakikishe nakaa na mkaka
Hahaha! Watoto wanasumbua sana huwa najaribu kuwaignore siwaangalii usoni lakini wapi[emoji28][emoji28][emoji28] ndio kwanza wanaanza kunivuta masikio. Wakiambiwa "muache anko" wanaanza kulia[emoji23][emoji23]

Watoto huwa wananidominate sana.
 
Me kuna siku nilikuwa nasafiri na bus la Dar express kutoka Namanga kwenda Dar es salaam!
Sasa njiani wakaweka movie ya snake in the plane!...kumbe ile movie wakati inaanza inaonesha tukio la mapenzi live!
Kile kitendo kilinikela sana ukizingatia mule kwenye bus tulikuwa abiria wa rika tofauti!
Kweli wahudumu wa bus wanatakiwa wabadilike sana!
 
Mtu anapanga safari kabisa halafu hafanyi maandalizi ya vitu atatumia njiani.

Vitu kama waya wa chaji, powerbank, earphones, tissues, dawa ya maumivu ya kichwa na ya kuzuia tumbo kuchafukwa. Sweater, au shuka ya kimasai, pocket money ni baadhi ya vitu vya kubeba....
Mzee umetisha
 
Hahaha! Watoto wanasumbua sana huwa najaribu kuwaignore siwaangalii usoni lakini wapi[emoji28][emoji28][emoji28] ndio kwanza wanaanza kunivuta masikio. Wakiambiwa "muache anko" wanaanza kulia[emoji23][emoji23]

Watoto huwa wananidominate sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wamasai sasa, huko kwao Umasaini, balaa tupu. Wanapanda na fimbo zao kwenye basi, na yale mashuka yao yakiwa yananukia harufu nzuri ya ng'ombe au mbuzi. Mbona utatamani ushukie njiani kabla hujafika mwisho wa safari!
Hapo bado hawajatema mate pale pale walipokaa.
 
Vipi lakini ushapanda basi limejaa wamasai? Utajutaa.
Wacha bana kipindi hiyo mtera huko kuna wamasai mvumi pale wakadandia King Kross au Urafiki,ilikua tabu njia nzima,makelele,huku wamejipaka mafuta ya samli,wanatafuna ugoro njia nzima wanasukutua na miswaki ya miti basi nalo bovu basi njia yote linapigwa spana hao jamaa wanakunya wanajifuta na gunzi aisee nilikoma

Let's meet at the top, cheers 🍻
 
Kuna mwingine uyo nilkua naenda Arusha..jamaa ana ka simu ka batan afu kafungulia mziki yani imagine mtu kwenye bus ana sikiliza mziki bila earphne kwa saut ilkua kero..
 
Kero yangu:-

- Wale wanaotangaza dawa na vibiashara vingine kwenye bus. Sijui kwanini dereva na konda huwa wanawaruhusu hawa watu wenye kero hivyo watupigie kelele abiria

- Wanavyoweka filamu zilizotafsiriwa au za kibongo za hovyohovyo za kina Mau n.k filamu inaitwa Bangi, au eti mbuzi wa birthday na action za kipumbavu za bongo.

Hasa magari yanayokwenda Tanga
 
Umesahau wale wanaonunua mayai, wanayamenya alafu wanakula.

Ile shombo ya mayai ni noma sana.

Ikibidi, punguzeni tabia ya kula kula hovyo.
Karanga, Mayai, Ndizi, Parachichi, Chips Halafu Coca Cola Baridi
Baada Ya Nusu Saa Ndiyo Bus Halikaliki
 
maisha hayapo sawa, mshukuru.mungu kwa kidogo alichokujalia, hata yeye angependa watoto wake wakae kila mtoto na siti yake lakini ameshindwa. msiwaseme vibaya

Sent from my MI NOTE Pro using JamiiForums mobile app
Pia unakuta yeye wakati ni mdogo mama yake aliwahi kusafiri nae akiwa na mdogo wake na akabebwa na abiria wa jirani, Mimi sijawahi kuwanyanyasa kabisa wa mama wenye watoto na mizigo mana ndio nature ya mama zetu, Naweza kukoromeana na Age mates au Mwanaume mwenzangu ila sio wamama kabisa
 
Ha po TE="OKW BOBAN SUNZU, post: 36709524, member: 52569"]
tabia isiyokera ni ile unakaa na pisi kali inasinzia inaanza kukulalia
[/QUOTE]
Hah hapo mwisho wa siku kuna kula tunda kimasihara 😅

Let's meet at the top, cheers 🍻
 
Back
Top Bottom