Tabia za kishamba za mabasi ya mikoani

Tabia za kishamba za mabasi ya mikoani

Bila kusahau wale kina mama wanaosafiri na watoto wawili huku wamekata seat moja

Nilishawahi kujikuta dada msaidizi wa mtoto mwanzo hadi mwisho wa safari,yaaani kale kadogo nimekashikilia mimi,kale kengine kadada mtu kameshikwa na mama yake

Mbaya zaidi kale katoto kalinipenda na kunizoea mapema sana,kila muda dada hivi dada vile mara kanilishe vitu kanavyopewa na mama yake

Sio kwa ubaya,lakini ni usumbufu...kama una watoto wadogo wawili jitahidi kuweka seat mbili aseee

Siku hizi namuagiza anayenikatia ticket ahakikishe nakaa na mkaka
Huyo mtoto akikua atakuwa baharia, yaani anakulisha nawe kishingo upande unapokea, dah!
 
Unavaa earphones, unageuka zako pembeni tu, period!


Let's meet at the top, cheers 🍻
 
Ila Huwa wana roho nzuri ya kugawa vitu vyao, Kuna mmoja alinikaribisha ndizi za kukaangwa na kuku af asubuhi tu, kila centre kubwa tukifika ananunua kitu cha kutafuna iwe mayai, matunda hadi mahindi.

Tulipofika kituo cha kupata lunch naye akashuka kula ubwabwa na kuku. Nilishangaa kimoyomoyo ila sikumind
Sasa huo mchanganyiko, imagine..lol! 😂😂


Let's meet at the top, cheers 🍻
 
Bila kusahau wale kina mama wanaosafiri na watoto wawili huku wamekata seat moja

Nilishawahi kujikuta dada msaidizi wa mtoto mwanzo hadi mwisho wa safari,yaaani kale kadogo nimekashikilia mimi,kale kengine kadada mtu kameshikwa na mama yake

Mbaya zaidi kale katoto kalinipenda na kunizoea mapema sana,kila muda dada hivi dada vile mara kanilishe vitu kanavyopewa na mama yake

Sio kwa ubaya,lakini ni usumbufu...kama una watoto wadogo wawili jitahidi kuweka seat mbili aseee

Siku hizi namuagiza anayenikatia ticket ahakikishe nakaa na mkaka
Aise mkuu ebu tusafiri tu tukae wote. Twende ata KIgali umbali mrefu kidogo hutojuta
 
Mi nilikuwa na kinyaa utotoni, kinyaa kilifanya nisome PCM badala PCB licha ya kuwa nilikuwa nachechemea kwenye hisabati ikilinganiswa na Bios. Ila sasa kimepungua baada ya interaction na watu wenye makuzi tofauti tofauti.

Nilikuwa nacho utotoni hadi sasa,sidhani kama kuna jambo linaweza kunibadili
 
Tupo wengi, ila me sahivi kinaenda kinapungua. Nilikuwa nina hali mbaya ambayo hata me nilikuwa sipendezwi nayo kwa baadhi ya situations...

Vinyaa vinyaa hivi visivyo na msingi kuna siku nilizingua kinyama mpaka nikaona naelekea kubaya.

Ulifanyaje kikapungua?
Hata mie sikipendi lakini ndio vile niko hivyo....mfano nikianza kukiwazia chakula nilichokula maandalizi yake naweza kutapika kabisa

Hiyo siku ulifanyaje?😂
 
Back
Top Bottom