Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 6,134
- 6,419
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣 vya sukari sukari siyo kivileee ila kwa kuwa umesema mtoto Kajojo... Mangi fanya hivyo..... bwana weeee hela ya nn.... si umeambiwa unaletewa....weeee mangi acha bange basi Kajojo anakuja kukupatia....Asante Kajojo nimepata.... waiter nimerudi hizo biazangu nitaendelea nazo ngoja kwanza nikipige kijoti zawadi kwa mtoto Kajojo...Sema Kajojo....naaam
![]()
hahahaha uwiiiii sina mbavu et kula kugeuka wanajamba hahaha wamekuwa mbuzi akishiba kula kukihowa must ajambe hahaha,Waha, Wasukuma, Wamasai na Wanyakyusa haya makabila ni wasumbufu sana safarini.
Waha ubishi ubishi, Wasukuma kula kula, Wamasai mafuta yao wanatopakaa na kuongea na simu kwa sauti, Wanawake wa kinyakyusa wanajamba sana akigeuka kajamba.
Jamani bahati hizi lini tena una mpango wa kusafiri hivi karibuni labda na mimi niangalie uwezekano wa kusafiri pamojaBila kusahau wale kina mama wanaosafiri na watoto wawili huku wamekata seat moja
Nilishawahi kujikuta dada msaidizi wa mtoto mwanzo hadi mwisho wa safari, yaaani kale kadogo nimekashikilia mimi, kale kengine kadada mtu kameshikwa na mama yake
Mbaya zaidi kale katoto kalinipenda na kunizoea mapema sana, kila muda dada hivi dada vile mara kanilishe vitu kanavyopewa na mama yake
Sio kwa ubaya, lakini ni usumbufu... kama una watoto wadogo wawili jitahidi kuweka seat mbili aseee
Siku hizi namuagiza anayenikatia ticket ahakikishe nakaa na mkaka
angekuwa me vp!!usingemuacha salama mkuu hahahaKuna Wale wanaotapika tapika hovyo
Kuna mdada Aliwahi nitapikia kwenye Paja kidgo tuu, Likawa linasema Sorry Sorry mdogo wangu huku ananifuta...Yani nilitamani nimpige kichwaa
Yakaisha tukaongea ongea likanipa Namba , Mpaka Leo nimemsave Vomit hahah
NB, Sijaomba mzigo![]()
Unajisikiaje kuleta stori nusu isiyo na mizania?Kuna mdada tulipanda basi ubungo tulikuwa seat moja kuelekea Dodoma, kufika chalinze anaanza kunilalia ,nikamwacha kabisa anilalie huku nimemshika kiuno.
Tunakaribia Dodoma nikamwambia vipi kwanini tusichukue chumba upunzike kabisa kwa uchovu wa safari.
Mkuu hukula kimaskhara kweli?Kuna mdada tulipanda basi ubungo tulikuwa seat moja kuelekea Dodoma, kufika chalinze anaanza kunilalia ,nikamwacha kabisa anilalie huku nimemshika kiuno.
Tunakaribia Dodoma nikamwambia vipi kwanini tusichukue chumba upunzike kabisa kwa uchovu wa safari.
Shida iko wapi?Ulipanda basi bei chee
Whaaaaaat?Waha, Wasukuma, Wamasai na Wanyakyusa haya makabila ni wasumbufu sana safarini.
Waha ubishi ubishi, Wasukuma kula kula, Wamasai mafuta yao wanatopakaa na kuongea na simu kwa sauti, Wanawake wa kinyakyusa wanajamba sana akigeuka kajamba.
Sentensi ya mwisho nimeipenda. Ulimzidi huyo dada vitu vingi mpaka nywele!Mimi nishawah panda bus siti yangu pemben kulikua na mmama pamoja na mtoto wa kama miez Saba HIV
Sasa yule mtoto kwanza alinikaribisha kwa kilio kikali Kama kile Cha watoto wa nguru, tulipiga masafa marefu tukiendelea kuskiliza mlio wa yule mtoto
Baadae akanyamaza kikaingia kikwazo kingine,,,, alivobanwa na mkojo akawa anaonesha ishara za kutaka kukojoa Sasa yule mama yake ujinga aliokua anaufanya ndo ulikua unanikera Sana,. Alikua anampa kanga yule mtoto na anamwambia haya kojoa yaani alikua anaikojolea Ile kanga halaf anaendelea kuipakata ...Ile kanga ilikojolewa Mara nying Sana Jambo lililopelekea harufu kwenye eneo tulilokaa kubadilika na kuwa sio salama Tena
Tukio lingine hili mnisamehe tu kwaa kulichomekea
Mimi nikiendaga kazin huwa sinyoagi nywele kabisa had navokua narud hom so huwaga nakuwa na kale kamuonekano ka matajiri wakinga au wabena
Kuna safar nilikosa ndege nnayoipenda Ivo ikabidi nipande fly Dubai, Kama unavojua Tena Ile ndege kwa wadada wengi wanaopanda wanakuwaga ni mabeki tatu na kawaida ya Hiv viumbe Mara nyingi huwa vinatokea uswahilini na kwao ndege ni big deal
Hiyo siku nilikaa siti moja na beki tatu mmoja alikua ndo anarud bongo, jaman hakuna siku nilinyanyapaliwa Kama Ile siku yaan nilitaman mle ndan kuwepo na saloon nipunguze nywele.
Yule dada alikua ananiona Kama kichaa iv.
Tulivofika zenji watu wengi walishuka so kulikua na siti nyingine zipo wazi, nikajitosa kwenda kukaa siti moja na mzungu(mdada) Yan tulivokua tunapiga stori unaweza kusema tumewah kuonana sehem na hakuwa na nyodo yyte
All in all wadada sometimes wanakosaga bahati kwa fikra zao potofu japo yule beki tatu hakunivutia kwa chochote Ila kunidharau na wakat nimemzd vitu vngi hyo kitu iliniuma sana
Hao wasukuma hawakubeba na ugali wa udaga?Dar to mwanza, picha linaanza pale ubungo zinaingia familia tatu za ndugu zangu wasukuma (watu kama nane wakiwa na watoto wadogo).
Hawakukaa pamoja, wengine walikaa nyuma kabisa, wengine katikati. Kazi inaanza akina ngosha walipoamua kupiga story kwa lugha yao, yani jamaa yuko siti ya nyuma kabisa ila anapiga story na ngosha mwenzie aliekaa siti ya kati.
Balaa zaidi ni pale walipoanza kupasiana vikombe vya maji (walibeba maji ya kunywa kwenye ndoo ndogo ya lita kumi). Kikombe kinapasiwa toka nyuma kule mpaka kinamfikia mlengwa kule katikati.
Mara watoto wakaanza kuzurula ndani ya bus, toka nyuma kuja kati endivaisi vesa bila kusahau vilio vya hapa na pale. Kuna wakati nikahisi labda niko kwenye darasa la chekechea, kumbe niko kwenye bus asee!
Kusema kweli Mwanza nilifika, ila cha moto nilikiona.
Safari ya kurudi dar, najikuta nimekaa jirani na mbibi msumbufu. Anyway, hiyo ni story nyingine!
Teh teh(1) Unakuta mtu anaongea kwa simu kwa kupaza sauti hadi inakuwa kero kwa wengine. Sijui unataka uonekane mtu wa mipango au ndo vipi? Eti unajua kwenye ile indavyuu mimi pekee ndo nilifanya vizuri. mmxxsh hiyo intavyuu yako sisi inatuhusu nini.
(2) Gari ina AC wenzio wooooote wamefunga vioo wanakula unyunyu wewe umeacha madirisha wazi ukidai eti hupendi AC, mbona gari zisizo na AC ni nyingi kwanini usingeenda kupanda hayo?
(3) Umewekewa video au redio kwa sauti ya wastani kuruhusu hali ya utulivu ndani ya gari. Wewe unapaaza sauti kwa konda eti sauti ni ndogo iongezwe. Sio kila mtu anapenda sauti ya juu achilia mbali hiyo video au redio unayosikiliza.
(4) Kwenye hizi video hasa za action au vichekesho. Wewe unapatwa na mdadi unaanza kurukaruka au kuchekacheka hovyohovyo tena kishabiki utafikiri mwehu. Sio kila mtu anapenda makelele.
(5) Unalala kwenye siti yako hadi unakoroma kama nyau wa mwituni. Kibaya zaidi unamuegemea mtu wa siti ya jirani na kumwagia maudenda yako.
(6) Muda wote wewe unachezeachezea simu yako wakati unajua huna chaja. Matokeo yake unaanza kugongea chaja ya simu kwa wasafiri wengine.
Ukijiona unafanya hayo kuanzia sasa ujijue wewe ni mshamba na unakera wengine, jirekebishe.
Heehee🤣🤣🤣"Dah hakuna tabia inaboa kama ukae na mdada , ila kila ukimuongelesha anakujibu kama hataki wakati bado mna safari ya masaa mengi mno".Nikionaga hivyo naishia kuweka wimbo wa safari bado by bony mwaitege.