Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 24,865
- 89,802
December iyo apo sasa
Insha'Allah december tutafanya hivyo
December iyo apo sasa
Logic(1) Unakuta mtu anaongea kwa simu kwa kupaza sauti hadi inakuwa kero kwa wengine. Sijui unataka uonekane mtu wa mipango au ndo vipi? Eti unajua kwenye ile indavyuu mimi pekee ndo nilifanya vizuri. mmxxsh hiyo intavyuu yako sisi inatuhusu nini...

Haswa seat za nyuma kule wasukuma, wagogo na wamasai na yale makoti mazito utafikiri walinzi wanawekwa kule, huwa hawalipii nauli kamili, baba mama watoto na shemeji yake na mke wa shemeji yake wanapachikwa kule...
Acha roho mbaya mkuu !! Ww Ni wa kike pia ,!! Sometimes uchumi unabana ! Last week nilisafiri Mara moja kwenda mkoan nilikaa na mdada wa makamo ana katoto (babygirl) , nilimsaidia Sana kukabeba , alafu mama mtu alikuwa anajisikia ovyo Sana ! Uzuri Ni kwamba kale katoto kalinipenda so hakukuwa na shida !!! Though Ni usumbufu flani lakn , saidia tuBila kusahau wale kina mama wanaosafiri na watoto wawili huku wamekata seat moja
Nilishawahi kujikuta dada msaidizi wa mtoto mwanzo hadi mwisho wa safari,yaaani kale kadogo nimekashikilia mimi,kale kengine kadada mtu kameshikwa na mama yake...
kuna watu wana matumbo mazuri aseeSasa huo mchanganyiko, imagine..lol!
Let's meet at the top, cheers![]()

Utakaa na mimi,,Bila kusahau wale kina mama wanaosafiri na watoto wawili huku wamekata seat moja
Nilishawahi kujikuta dada msaidizi wa mtoto mwanzo hadi mwisho wa safari,yaaani kale kadogo nimekashikilia mimi,kale kengine kadada mtu kameshikwa na mama yake
Mbaya zaidi kale katoto kalinipenda na kunizoea mapema sana,kila muda dada hivi dada vile mara kanilishe vitu kanavyopewa na mama yake
Sio kwa ubaya,lakini ni usumbufu...kama una watoto wadogo wawili jitahidi kuweka seat mbili aseee
Siku hizi namuagiza anayenikatia ticket ahakikishe nakaa na mkaka


Bila kusahau wale kina mama wanaosafiri na watoto wawili huku wamekata seat moja
Nilishawahi kujikuta dada msaidizi wa mtoto mwanzo hadi mwisho wa safari,yaaani kale kadogo nimekashikilia mimi,kale kengine kadada mtu kameshikwa na mama yake
Mbaya zaidi kale katoto kalinipenda na kunizoea mapema sana,kila muda dada hivi dada vile mara kanilishe vitu kanavyopewa na mama yake
Sio kwa ubaya,lakini ni usumbufu...kama una watoto wadogo wawili jitahidi kuweka seat mbili aseee
Siku hizi namuagiza anayenikatia ticket ahakikishe nakaa na mkaka

Acha roho mbaya mkuu !! Ww Ni wa kike pia ,!! Sometimes uchumi unabana ! Last week nilisafiri Mara moja kwenda mkoan nilikaa na mdada wa makamo ana katoto (babygirl) , nilimsaidia Sana kukabeba , alafu mama mtu alikuwa anajisikia ovyo Sana ! Uzuri Ni kwamba kale katoto kalinipenda so hakukuwa na shida !!! Though Ni usumbufu flani lakn , saidia tu
Mara nyingi seat za nyuma huwa hivyo mkuu.Sijawahi kukaa seat ya nyuma kwenye safari ndefu wala kukata ticket siku ya safari
Seat yangu mara nyingi ni ile baada ya dereva dirishani
Miss youHahahaha eti "indavyuuu".
Ila mimi hii tabia ya kuwekewa mifilamu mara manyimbo safarini inakera sana maana nyingi video hazina maadili kabisa na safarini mnakuwa watu mbalimbali inakuwa sio poa. Watu wawe wabunifu sio minyimbo ya kibongo maudhui za ngono tu mwanzo wa safari hadi mwisho.
😀Ningeunga tellaSasa mfano ingekuwa ni hivi karibuni ingekuwa ni safari kwenda sehemu moja mimi na wewe?😂😂
Bora wawili, niliwahi kukaa na mama ana watoto watatu imagine, halafu kakata siti moja tu!!!
Ilibidi tu nimuelewe tubanane hivyo hivyo na kupakata mmoja maana hakukua na namna.
Sent using Jamii Forums mobile app






Kuna Wale wanaotapika tapika hovyo
Kuna mdada Aliwahi nitapikia kwenye Paja kidgo tuu, Likawa linasema Sorry Sorry mdogo wangu huku ananifuta...Yani nilitamani nimpige kichwaa
Yakaisha tukaongea ongea likanipa Namba , Mpaka Leo nimemsave Vomit hahah
NB, Sijaomba mzigo![]()






Hujawahi lea Mtoto mdogo?Hahahahh najiona nikifanya kama ulivyofanya wewe
Kudeal na matapishi napo ni mtihani....imagine mie nilishatapika sehemu halafu nikawa nawaza nimwambie nani aje adeki
Kuwa na kinyaa ni tabu sana manake kuna mambo unatakiwa kusaidia lakini inashindikana kama hivyo kwa mdogo wako
Hata baadhi ya vyakula wenzako wananunua wanakula lakini wewe unashindwa kutokana na mazingira ulivyoyatafsiri
Hebu na mie nisubiri kama kitaisha baada ya kuwa na mtoto labda nikianza kufua fua itakuwa kama wewe
Indavyuu > itakuwa mitu ya Iringa hii kitu.Hahahaha eti "indavyuuu".
Ila mimi hii tabia ya kuwekewa mifilamu mara manyimbo safarini inakera sana maana nyingi video hazina maadili kabisa na safarini mnakuwa watu mbalimbali inakuwa sio poa. Watu wawe wabunifu sio minyimbo ya kibongo maudhui za ngono tu mwanzo wa safari hadi mwisho.
Basi kinyaa sio kosa lakoSijawahi Saint Anne