Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,955
- 16,006
Tabia ipi hasa katika hizoHii ni tabia mbaya sana, baadhi ya abiria wanafanya hivyo, sio poa kabisa.
Tabia ipi hasa katika hizoHii ni tabia mbaya sana, baadhi ya abiria wanafanya hivyo, sio poa kabisa.
haha wazee wa "coona"
Let's meet at the top, cheers![]()
watata sana akinunua kitu kakaa siti ya mbele na jamaa yake yupo siti za nyuma atamjulisha na kitamfikia, hizo kelele zao sasa ni kero.Kuna wanaovuta sigara kwenye gari?Kukaa siti jirani na mvuta sigara
Hah hapo mwisho wa siku kuna kula tunda kimasiharaHa po TE="OKW BOBAN SUNZU, post: 36709524, member: 52569"]
tabia isiyokera ni ile unakaa na pisi kali inasinzia inaanza kukulalia

[/QUOTE]Kati ya namba 2,na 3,ulizoandika hapo huwa zinanikera Sana,maana Mara nyingi nikiwa nasafiri nakutanaga na kero hizo.Tabia ipi hasa katika hizo
Aaah kaka mkubwa kama hujaomba mzigo hiyo namba ya nini...Nipe mimi au uifuteKuna Wale wanaotapika tapika hovyo
Kuna mdada Aliwahi nitapikia kwenye Paja kidgo tuu, Likawa linasema Sorry Sorry mdogo wangu huku ananifuta...Yani nilitamani nimpige kichwaa
Yakaisha tukaongea ongea likanipa Namba , Mpaka Leo nimemsave Vomit hahah
NB, Sijaomba mzigo![]()
Acha wakuze uchumi wa nchiKuna wale matumbo mpakile, yakipita mahindi ya kuchoma twende, ya kuchemsha twende, mayai twende, sijui biscuit mpaka inakua kero though pesa ni zao.
Let's meet at the top, cheers 🍻
Dakika 45 baadaye, anatapika....wanakeraaa!Kuna wale matumbo mpakile, yakipita mahindi ya kuchoma twende, ya kuchemsha twende, mayai twende, sijui biscuit mpaka inakua kero though pesa ni zao.
Let's meet at the top, cheers 🍻
Umesahau na shombo ya karanga.Umesahau wale wanaonunua mayai, wanayamenya alafu wanakula.
Ile shombo ya mayai ni noma sana.
Ikibidi, punguzeni tabia ya kula kula hovyo.
Sisi wapiga mchokocho, tunaruhusiwa kureply comment hii?Tupo wengi, ila me sahivi kinaenda kinapungua. Nilikuwa nina hali mbaya ambayo hata me nilikuwa sipendezwi nayo kwa baadhi ya situations...
Vinyaa vinyaa hivi visivyo na msingi kuna siku nilizingua kinyama mpaka nikaona naelekea kubaya.
Pole sana kiongozi ila siyo mimi niliyeziandikaKati ya namba 2,na 3,ulizoandika hapo huwa zinanikera Sana,maana Mara nyingi nikiwa nasafiri nakutanaga na kero hizo.
Vipi lakini ushapanda basi limejaa wamasai? Utajutaa.
Let's meet at the top, cheers![]()


Al hushoom..Mkuu panda pia Abood ya Mwanza Dar, utajutraa...Al hushoom..
Ndiyo mpoje nyie?Sisi wapiga mchokocho, tunaruhusiwa kureply comment hii?
Mkuu panda pia Abood ya Mwanza Dar, utajutraa...
Aisee serikali ianzishe route, Mwanza Ifakara. Au Mwanza Kisaki!
Everyday is Saturday........................... 😎


naweza nikaanza kuliaWazibua vyoo.Ndiyo mpoje nyie?