Tabia za kishamba za mabasi ya mikoani

Tabia za kishamba za mabasi ya mikoani

Tabia hzo zote ulizotaja hata kwenye mwendokasi wenu huko dar zipo pia
 
Sala zenu jamani niko kwenye basi la mkoani hapa. Kuna mama wa kilokole kakaa nyuma yangu yaani tangu saa 12 safari imeanza yeye anaongea na simu tuu na kikubwa anachoongea ni kuwasengenya waumini wenzake, wachungaji, wafanyakazi wenzie mara wanaishi kwa kutegemea mikopo, mara sijui mdada gani hawezi kuolewa yule, mara mchungaji gani sijui anatumia ndumba.. yaani tabu tupu. Imebidi niweke earphones tu maana nimechoka kusikiliza huo utopolo.
 
Kuna rafik yangu alinihadithia kitu kilimuuma sana. Ofisini kwao kuna mfanya usafi,maofisini na chooni na mazingira yote.

Kuna siku, jamaa alimkuta chooni anafanya usafi, akamsalimia, yule mfanya usafi,hakujibu na hata hakumtazama. Yule rafiki, akaona dharau na kuweka kinyongo. Kuna siku mfanya usafi alimkuta rafiki ananunua na kula matunda muda wa lunch hapo nje. Akamuongelesha boss, naona unapata matunda, Jamaa alimjibu SHIT sana hadi sio poa. Lakin kesho yake, ktk mazungumzo na wafanyakaz wenzie,aliwahadithia jamaa yule mnasemag ana dharau alishoboka, nikampa makavu, mmoja wa wafanyakaz akasema, Bro yule hana dharau hasikiii vizuri. Yaan ukimuongelesha, hadi akuone midomo ndio atakuelewa, mchizi ilimuuma sana, ika bidi akaenda kumuomba msamaha.

Alichojibiw ndio kilimuuma zaidi, akasema Bro, sasa mm nitaweza kweli kumtangazia kila mtu madhaifu yangu,ofisi yote kubwa hivi. Anasema kuna muda najikuta hata nimesukumwa, kumbe mtu tu alisema OYAA NAOMBA KUPITA, AU SOGEA KIDOGO. nisipo sikia unakuta nimesukumw huko, ila mwisho wa siku naelewa huyu itakuwa kanisemesha sija msikia, so nimeipokea hali yangu boss,kuwa na amani.

Kukoroma, ishu ya viooo unakuta mwingine anashida za kifua, sauti mwingine ndo mshamba wa maisha hana mazoea na hivo so inabid aenjoy muacheni, au asikiii vizuri. Sasa anatafta Decoy ya kupata atakacho.

Tuvumiliane tu, kuna yasio vumilika, kama ulevi, uchafu, kubebeshw majukum yasiyokuhusu nk.
Kweli mkuu...Mimi binafsi yamrnikuta mwaka huu kwenye harakati ya vitambulisho vya mpiga kura...
Tumeamka saa 11 alfajiri ikiwa ni deadline nimepanga foleni sana sasa ndo imekaribia kufika nipo mlangoni...ghafla jamaa mmoja mule ndani ( muhusika ) akatoka akarudi na mdada (Sista duu) flani hivi amemshika mkono...kelele zikaanza huko nyuma " hatukubali,hatukubali" watu wanawazuia jamaa alikua na nguvu akafanikiwa kupita ila yule Dada alikua anazuiwa na watu na Mimi kwa kua nilikua mlangoni nikazuia tu mlango asipite kwani tulihisi ni upendeleo(rushwa)...basi yule jamaa akaniambia " hebu muangalie huyu Dada" ile nainua macho daah! " Kipofu" niliachia mlangoni nikakaa pembeni faster...nikaanza kufeel guilty palepale.

Bahati nzuri sikutamka maneno yeyote mabaya kama walivyotamka watu wengi pale..sanasana wadada ambao walidiriki kumuita Dada yule mpaka kina la "Malaya" bila majibu yeyote kutoka kwa Dada yule.
Nilichojifunza Siku ile nitaishi nach o milele.
 
Kweli mkuu...Mimi binafsi yamrnikuta mwaka huu kwenye harakati ya vitambulisho vya mpiga kura...
Tumeamka saa 11 alfajiri ikiwa ni deadline nimepanga foleni sana sasa ndo imekaribia kufika nipo mlangoni...ghafla jamaa mmoja mule ndani ( muhusika ) akatoka akarudi na mdada (Sista duu) flani hivi amemshika mkono...kelele zikaanza huko nyuma " hatukubali,hatukubali" watu wanawazuia jamaa alikua na nguvu akafanikiwa kupita ila yule Dada alikua anazuiwa na watu na Mimi kwa kua nilikua mlangoni nikazuia tu mlango asipite kwani tulihisi ni upendeleo(rushwa)...basi yule jamaa akaniambia " hebu muangalie huyu Dada" ile nainua macho daah! " Kipofu" niliachia mlangoni nikakaa pembeni faster...nikaanza kufeel guilty palepale.

Bahati nzuri sikutamka maneno yeyote mabaya kama walivyotamka watu wengi pale..sanasana wadada ambao walidiriki kumuita Dada yule mpaka kina la "Malaya" bila majibu yeyote kutoka kwa Dada yule.
Nilichojifunza Siku ile nitaishi nach o milele.

Poleni sana wakuu, ila ni vema sana kuzishinda emotional zetu manake sometimes tunafikia maamuzi yasiyo sahihi na majuto hufuatia tena ukute ni kitu kitakachokuumiza zaidi na si kwa siku moja...... sambaza love ️ #Mshikaji kataja walevi ila akina sisi tunapiga kilaji ila tuko makini sana..... muhudumu mzigo umekata plz naomba one for this UZI plzzz......🤙🏾
 
Kuna wale matumbo mpakile, yakipita mahindi ya kuchoma twende, ya kuchemsha twende, mayai twende, sijui biscuit mpaka inakua kero though pesa ni zao.

Let's meet at the top, cheers 🍻
Binafsi hii inaniboa sana. Mtu asiepitwa na kitu
 
Poleni sana wakuu, ila ni vema sana kuzishinda emotional zetu manake sometimes tunafikia maamuzi yasiyo sahihi na majuto hufuatia tena ukute ni kitu kitakachokuumiza zaidi na si kwa siku moja...... sambaza love ️ #Mshikaji kataja walevi ila akina sisi tunapiga kilaji ila tuko makini sana..... muhudumu mzigo umekata plz naomba one for this UZI plzzz......🤙🏾
Pamoja mkuu!
 
Kuna rafik yangu alinihadithia kitu kilimuuma sana. Ofisini kwao kuna mfanya usafi,maofisini na chooni na mazingira yote.

Kuna siku, jamaa alimkuta chooni anafanya usafi, akamsalimia, yule mfanya usafi,hakujibu na hata hakumtazama. Yule rafiki, akaona dharau na kuweka kinyongo. Kuna siku mfanya usafi alimkuta rafiki ananunua na kula matunda muda wa lunch hapo nje. Akamuongelesha boss, naona unapata matunda, Jamaa alimjibu SHIT sana hadi sio poa. Lakin kesho yake, ktk mazungumzo na wafanyakaz wenzie,aliwahadithia jamaa yule mnasemag ana dharau alishoboka, nikampa makavu, mmoja wa wafanyakaz akasema, Bro yule hana dharau hasikiii vizuri. Yaan ukimuongelesha, hadi akuone midomo ndio atakuelewa, mchizi ilimuuma sana, ika bidi akaenda kumuomba msamaha.

Alichojibiw ndio kilimuuma zaidi, akasema Bro, sasa mm nitaweza kweli kumtangazia kila mtu madhaifu yangu,ofisi yote kubwa hivi. Anasema kuna muda najikuta hata nimesukumwa, kumbe mtu tu alisema OYAA NAOMBA KUPITA, AU SOGEA KIDOGO. nisipo sikia unakuta nimesukumw huko, ila mwisho wa siku naelewa huyu itakuwa kanisemesha sija msikia, so nimeipokea hali yangu boss,kuwa na amani.

Kukoroma, ishu ya viooo unakuta mwingine anashida za kifua, sauti mwingine ndo mshamba wa maisha hana mazoea na hivo so inabid aenjoy muacheni, au asikiii vizuri. Sasa anatafta Decoy ya kupata atakacho.

Tuvumiliane tu, kuna yasio vumilika, kama ulevi, uchafu, kubebeshw majukum yasiyokuhusu nk.

Joanah janamke lenye 'kinyaa' soma hii
 
Mahindi ya kuchemsha hadi michuz inachuruzika mikononi
 
Kuna mdada tulipanda basi ubungo tulikuwa seat moja kuelekea Dodoma, kufika chalinze anaanza kunilalia ,nikamwacha kabisa anilalie huku nimemshika kiuno.

Tunakaribia Dodoma nikamwambia vipi kwanini tusichukue chumba upunzike kabisa kwa uchovu wa safari.
 
Kuna mdada tulipanda basi ubungo tulikuwa seat moja kuelekea Dodoma, kufika chalinze anaanza kunilalia ,nikamwacha kabisa anilalie huku nimemshika kiuno.

Tunakaribia Dodoma nikamwambia vipi kwanini tusichukue chumba upunzike kabisa kwa uchovu wa safari.
Halafu we jamaa una makusudi....😂😂😂😂

Haufai kuwa mtunzi wa hadithi
Yaani hapo ni kama vile unataka kupiga chafya halafu ghafla chafya inayeyuka unabaki umeachia mdomo wazi kuisikiliza kama itakuja
 
Halafu we jamaa una makusudi....

Haufai kuwa mtunzi wa hadithi
Yaani hapo ni kama vile unataka kupiga chafya halafu ghafla chafya inayeyuka unabaki umeachia mdomo wazi kuisikiliza kama itakuja
Huo mzigo niliufaidi kirahisi baada ya uchovu wa safari
 
Duuu ume maliza
Bila kusahau wale kina mama wanaosafiri na watoto wawili huku wamekata seat moja

Nilishawahi kujikuta dada msaidizi wa mtoto mwanzo hadi mwisho wa safari, yaaani kale kadogo nimekashikilia mimi, kale kengine kadada mtu kameshikwa na mama yake

Mbaya zaidi kale katoto kalinipenda na kunizoea mapema sana, kila muda dada hivi dada vile mara kanilishe vitu kanavyopewa na mama yake

Sio kwa ubaya, lakini ni usumbufu... kama una watoto wadogo wawili jitahidi kuweka seat mbili aseee

Siku hizi namuagiza anayenikatia ticket ahakikishe nakaa na mkaka
 
Kuna coaster namba T 548 DRB inafanya safari zake kati ya karatu kwenda arusha davoo wa hizo gari ni mshamba sana, kwenye playlist ana nyimbo zake anazopenda akisikia wimbo/video asiyopenda atahamisha mpaka apate video/wimbo anaoupenda na hali hii ni njia nzima mpaka unafika arusha au karatu.

Kibaya zaidi, akipata wimbo anaoupenda anaongeza sauti akidhani kila mtu sawa na yeye, hali hiyo inaudhi sana ukizingatia wanafunga yale maspika makubwa nyuma so yeye amekaa mbele anataka asikie mdundo wa subwoofer akiwa pale kwenye staring, Ushamba mwimgine ni mzigo kwelikweli, shubamit,,!
 
Haya bas kunywa kijoti kwa mangi nakuja kulipa

🤣🤣🤣🤣🤣🤣 vya sukari sukari siyo kivileee ila kwa kuwa umesema mtoto Kajojo... Mangi fanya hivyo..... bwana weeee hela ya nn.... si umeambiwa unaletewa....weeee mangi acha bange basi Kajojo anakuja kukupatia....Asante Kajojo nimepata.... waiter nimerudi hizo bia zangu nitaendelea nazo ngoja kwanza nikipige kijoti zawadi kwa mtoto Kajojo...Sema Kajojo....naaam
 
Back
Top Bottom