Tabia za kishamba za mabasi ya mikoani

Tabia za kishamba za mabasi ya mikoani

Mmasai ule sio ushamba ni wako rigid, hata kwa mavazi wanatajirika sana lakini kuvaa mashuka hawaachi

Kwa Wasukuma ule ni USHAMBA, hata aende wapi ushamba upo palepale

😅😅 Aisee!


Let's meet at the top, cheers 🍻
 
Dar to mwanza, picha linaanza pale ubungo zinaingia familia tatu za ndugu zangu wasukuma (watu kama nane wakiwa na watoto wadogo).


Hawakukaa pamoja, wengine walikaa nyuma kabisa, wengine katikati. Kazi inaanza akina ngosha walipoamua kupiga story kwa lugha yao, yani jamaa yuko siti ya nyuma kabisa ila anapiga story na ngosha mwenzie aliekaa siti ya kati.

Balaa zaidi ni pale walipoanza kupasiana vikombe vya maji (walibeba maji ya kunywa kwenye ndoo ndogo ya lita kumi). Kikombe kinapasiwa toka nyuma kule mpaka kinamfikia mlengwa kule katikati.

Mara watoto wakaanza kuzurula ndani ya bus, toka nyuma kuja kati endivaisi vesa bila kusahau vilio vya hapa na pale. Kuna wakati nikahisi labda niko kwenye darasa la chekechea, kumbe niko kwenye bus asee!

Kusema kweli Mwanza nilifika, ila cha moto nilikiona.


Safari ya kurudi dar, najikuta nimekaa jirani na mbibi msumbufu. Anyway, hiyo ni story nyingine!
hii imenikumbusha kuna siku tulikuwa njia ya mbeya- songwe hapo kati wakapanda hao wasukuma na magwanda yao kama wamasai.

daah jamaa walikaa siti tofautitofauti wengne walikuwa mbele wengne walipata siti za pale katikati ya gari wengne nyuma basi zima ilikuwa fulu makelele halaf wanaongea wao bas nzma fulu vichekesho tumefika mahali mmoja akashuka hlf analazimisha gari imngoje anaenda kufuata mizigo yake huko ndanindani daah hawa jamaa kuna mambo wanafanya huwez kuamini hadi uone mwenyew....ila burudan sana.
 
Waha, Wasukuma, Wamasai na Wanyakyusa haya makabila ni wasumbufu sana safarini.

Waha ubishi ubishi, Wasukuma kula kula, Wamasai mafuta yao wanatopakaa na kuongea na simu kwa sauti, Wanawake wa kinyakyusa wanajamba sana akigeuka kajamba.
mkuu bila shaka ni mtani wa wanyaki?
 
Mi nilikuwa na kinyaa utotoni, kinyaa kilifanya nisome PCM badala PCB licha ya kuwa nilikuwa nachechemea kwenye hisabati ikilinganiswa na Bios. Ila sasa kimepungua baada ya interaction na watu wenye makuzi tofauti tofauti.
kama we ni mtoto wa kiume na una kinyaa basi una walakini kwenye uanaume wako...
 
Ukisema utaambiwa pesa ni zao, tabu tupu 😷



Let's meet at the top, cheers 🍻
🤣 🤣 🤣 🤣 na wakianza kutapikiana njiani na kusimamisha basi kuchimba dawa mahali pasipotakiwa inakuwa kero kwa nani? Kwao peke yao? ama
 
Waha, Wasukuma, Wamasai na Wanyakyusa haya makabila ni wasumbufu sana safarini.

Waha ubishi ubishi, Wasukuma kula kula, Wamasai mafuta yao wanatopakaa na kuongea na simu kwa sauti, Wanawake wa kinyakyusa wanajamba sana akigeuka kajamba.
Wewe wasukuma hawapandi mabasi ni ndege tu. Hao uliowaona ni wamasai na wachagga
 
Kweli mkuu...Mimi binafsi yamrnikuta mwaka huu kwenye harakati ya vitambulisho vya mpiga kura...
Tumeamka saa 11 alfajiri ikiwa ni deadline nimepanga foleni sana sasa ndo imekaribia kufika nipo mlangoni...ghafla jamaa mmoja mule ndani ( muhusika ) akatoka akarudi na mdada (Sista duu) flani hivi amemshika mkono...kelele zikaanza huko nyuma " hatukubali,hatukubali" watu wanawazuia jamaa alikua na nguvu akafanikiwa kupita ila yule Dada alikua anazuiwa na watu na Mimi kwa kua nilikua mlangoni nikazuia tu mlango asipite kwani tulihisi ni upendeleo(rushwa)...basi yule jamaa akaniambia " hebu muangalie huyu Dada" ile nainua macho daah! " Kipofu" niliachia mlangoni nikakaa pembeni faster...nikaanza kufeel guilty palepale.

Bahati nzuri sikutamka maneno yeyote mabaya kama walivyotamka watu wengi pale..sanasana wadada ambao walidiriki kumuita Dada yule mpaka kina la "Malaya" bila majibu yeyote kutoka kwa Dada yule.
Nilichojifunza Siku ile nitaishi nach o milele.
Dah...watu wanakurupuka mno kutoa hitimisho.
 
ILI maisha yawezekane ni lazima tuwe na uwezo wa kuvumiliana. Upendo kwa mwenzio hupimwa kwa namna unavyoweza kumvumilia mwenzio anapokuudhi. Anakuudhi lakini bado unampenda. Anakuumiza lakini bado una uwezo wa kusema, "Ee, Mungu naomba umsamehe mtu huyu kwa kuwa hajui alitendalo." Huo ndio upendo halisi ambao Mungu anatutaka tuwe nao.

Upendo sio kuchangiana michango ya harusi. Ni zaidi ya hapo.


YESU NI BWANA.
 
🤣 🤣 🤣 🤣 na wakianza kutapikiana njiani na kusimamisha basi kuchimba dawa mahali pasipotakiwa inakuwa kero kwa nani? Kwao peke yao? ama

Hahaha nimecheka sana mkuu, umenikumbusha kisa kimoja kwenye hizi gari za abiria ilikuwa dar-arusha nitakileta hapa nikitulia 😂😂 huku kula kula hovyo kwenye magari sio kuzuri kabisa.



Let's meet at the top, cheers 🍻
 
Nimejikuta nacheka tu, kwani kinyaa ni nini?
Kinyaa ni hali ya kuonea vitu/watu uchafu na kupelekea hali ya kujiskia kutapika na kushindwa kula/kunywa.

Sasa mwanaume kuwa na hali hii we tatizo,wapambanaji hawana kinyaa popote kambi....mabaharia ndo kabisaaa hatuna hizo mambo ndo mana tunapakua hadi tope na kuchimba chumvi
 
kwel hii kitu inaboa sana kuna wale wanaopenda kununua mizigo qfu hamn pa kuiwek zaid ya chin ya siti... nilisafir kipind flan kutokqnsehm flan kwa kwel jiran yang alikua kero...alianza kununua jiko la mkaa akawek. mara akanunua kinu akaweka alinichosha zaidi aliponunua kuku mzima kabisa jogoo akaliweka chin ya siti yan fujo tu..ahhhhj
 
Back
Top Bottom