JFK wabongo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2015
- 3,887
- 3,200
Hiyo ndo tofauti ya mabaharia na nahodha.
Mabaharia ndo kabisaaa hatuna hizo mambo ndo mana tunapakua hadi tope na kuchimba chumvi
Hiyo ndo tofauti ya mabaharia na nahodha.
Mabaharia ndo kabisaaa hatuna hizo mambo ndo mana tunapakua hadi tope na kuchimba chumvi
Aruuuu, umenikumbusha story za watoto za *lete panga nikukatie ukabandike ukutani"😂😂😂😂
Anirudishie mwenyewe tu anavyojua alivichukua
Wewe wasukuma hawapandi mabasi ni ndege tu. Hao uliowaona ni wamasai na wachagga



Mkuu uko Nyanchabakenye nn?Naomba kuelimishwa, ni wapi ambako sio mkoani nami nihamie huko?
niko kyabatararaMkuu uko Nyanchabakenye nn?
Dar to Mbeya nilikaa siti moja na mdada mmoja mnene balaa kakaa dirishani
Yaani robo tatu ya siti mbili kaenea mwenyewe mimi nimekalia tako moja
Njiani sasa kila basi likisimama au wauzaji wakipanda mara kanunua mayai mara keki mahindi ya kuchoma/ kuchemsha chips parachichi......yaani yule mama njia nzima anakula tuuuu
Kuongea sasa khaaaa, yaani safari nzima anakuongelesha unaona ngoja nimjibu kwa kichwa tu ajue sipo interested, mdada anakuongelesha tu, nikasema ngoja nisiwe namjibu yaani ndio kwanzaaaa anakuongelesha huku mdomoni anatafuna kitu na kucheka cheka tuu
Mbaya kuliko yote, baada ya kula hayo mamichanganyiko yake akaanza kuachia mashuzi
Aisee sijawahi kutana na ushuzi unanuka kama wa yule mdada khaaaa
Halafu sijui ni ule unene hata kubana ushuzi utoke kama pancha ule wa kupuliza hawezi.....yeye alikua anuachia kabisa unasikia kabisa prraa tatataaa
Yaani akiwa anaongea ghafla utamuona kama anasitasita kama anasweta sweta halafu utasikia tu kitu kimeitika
Sasa sijui muda huo anakua anajaribu kuubana ushuzi ila inashindikana.?
Halafu atapotezea kama dakika 3 ushuzi ukipoa harufu anaanza maneno...kila kitu anajua yeye
Kama bahati kabla ya kufika Mbeya kuna abiria akashuka....yaani niliikimbilia ile siti fasta hata sikumuaga
Nimepata changamoto nyingi safarini ila nadhani hii ilikua funga kazi










kusafiri raha sana aswaaaa ukae na chibonge,






Ngoshaaaaaa...... nakuona nakuona krbu tupate kidogo tushtue koo![]()








mkuu mimi sio ngosha bwana mambo ya kupanda na ndoo ya maji huku si kuua viwanda vyetu vya ndani






Ni kula kula hovyo au kununua vyenye harufu..!? Maana anayenunua mayai manne hawezi lingana na anayenunua kuku mzimaUmesahau wale wanaonunua mayai, wanayamenya halafu wanakula.
Ile shombo ya mayai ni noma sana.
Ikibidi, punguzeni tabia ya kula kula hovyo.
Hii Id yako napoiona basi akil zangu huwa zinarud kwenye Java Programming concepts & toolsHii ni tabia mbaya sana, baadhi ya abiria wanafanya hivyo, sio poa kabisa.
Hii Id yako napoiona basi akil zangu huwa zinarud kwenye Java Programming concepts & toolsHii ni tabia mbaya sana, baadhi ya abiria wanafanya hivyo, sio poa kabisa.
Ngoja ajambe sasa ,lazima u mind hata kama pesa ni zaoKuna wale matumbo mpakile, yakipita mahindi ya kuchoma twende, ya kuchemsha twende, mayai twende, sijui biscuit mpaka inakua kero though pesa ni zao.
Let's meet at the top, cheers 🍻
Ahajahaja...uta mind vp zaid ya kufarahia na ushasema kila kitu alikua anakula anakupa na ww😂😂Ila Huwa wana roho nzuri ya kugawa vitu vyao, Kuna mmoja alinikaribisha ndizi za kukaangwa na kuku af asubuhi tu, kila centre kubwa tukifika ananunua kitu cha kutafuna iwe mayai, matunda hadi mahindi.
Tulipofika kituo cha kupata lunch naye akashuka kula ubwabwa na kuku. Nilishangaa kimoyomoyo ila sikumind
Dah umenichekesha sana mkuuWaha, Wasukuma, Wamasai na Wanyakyusa haya makabila ni wasumbufu sana safarini.
Waha ubishi ubishi, Wasukuma kula kula, Wamasai mafuta yao wanatopakaa na kuongea na simu kwa sauti, Wanawake wa kinyakyusa wanajamba sana akigeuka kajamba.